Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,351
- 7,639
[emoji23][emoji23]Tumchangieni Mwigulu ili nae apate kwenda huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Tumchangieni Mwigulu ili nae apate kwenda huko
Classmates wapo vizuri...[emoji4]
Mkuu ume enda mbali sanaa...🤣🤣🤣😂😂😂😂Maswali ni mengi watujibu kwanza.
Suala la usalama limekaaje?
safari hii wameleta chombo tofauti na mwanzo au?
uchunguzi wa awali unaonyesha nini ilikuwa tatizo?Je limerekebishwa?Kwanini wasibebe nyani kwanza apelekwe tuone kama atafika salama?
Tena ajali ndio kama imewapandisha chati,watu watagombaniaWazungu vichwa vya kuku ,hapo nafasi wengine watakosa kwa hiyo safari.
Kwanini mkuu?Mkuu ume enda mbali sanaa...m
Mm hata nikipewa tiketi ya Bure siendi 😊😊Tena ajali ndio kama imewapandisha chati,watu watagombania
Mkuu ume enda mbali sanaa...🤣🤣🤣😂😂😂😂Kwanini mkuu?
Safari nyingine ya kukitafuta kifo kwa tochi.View attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.
Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
Angalao kipeleke waheshimiwa wetu zaidi ya 350... Itakuwa furaha Tena pale pressure itakapokuwa kubwa kuliko ya chombo....Tumchangieni Mwigulu ili nae apate kwenda huko
[emoji28][emoji28][emoji28],unaogopa kuliwa na samaki nini?Mm hata nikipewa tiketi ya Bure siendi [emoji4][emoji4]
Njia pekee ya kunipeleka huko ni kuniteka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenichekesha sana.Tumchangieni Mwigulu ili nae apate kwenda huko
Bermudas triangle 📐 hapo pia siwez kwenda...[emoji28][emoji28][emoji28],unaogopa kuliwa na samaki nini?
[emoji28][emoji28],lazima tuulize aisee,maana tunapoteza mabilionea humo,si unaona nauli yenyewe kiinua mgongo cha wabunge wawili wa Tz na na bado haitoshiMkuu ume enda mbali sanaa...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unafikir wale ma billionaire hawajawai kukipeleka chombo then wakawa assured 100% NDIO wakaenda wao..
Mkuu wazungu ni watu makini ndugu tena sio Kwa TRIAL & ERROR
Ile ajar ilikua ni unexpected [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Aisee,Kumbe Vasco ni Mwamba haswa,sijui aliwezaje?Bermudas triangle [emoji424] hapo pia siwez kwenda...
Hii sehemu ipo bahari ya Atlantic mtu pekee Alie wai kupita salama hapo ni Huyu bwana VASCO DAGAMA
Explorer pekee aliwai kupita pale na ngawala yake akanusurika Kifo ni VASCO DAGAMA
Kwenda Kule INABIDI uwe umelewa tilalila...😊😊🤓🤓Umenichekesha sana.
Namfikiria ndani ya sub.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Itakua ni kudra tuu za MUNGU akiamua kukuweka hai inasemwa mara kadhaa zimewai kuonekana meli zikielea bila ya kua na raia huo ukanda....Aisee,Kumbe Vasco ni Mwamba haswa,sijui aliwezaje?
Kuna watu wengine wanataka kujiua kisomi.Kwenda Kule INABIDI uwe umelewa tilalila...😊😊🤓🤓
Wabongo sijui waga mna akili gani.Kwa jinsi ambavyo binadamu wamekuwa manyumbu watatokea manyumbu wengine, tena pengine zaidi ya hao 5 nao wakajifie huko chini ya bahari.... [emoji23] [emoji23]