Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hata Kwa tiketi ya Bure siendi 😊 njia pekee ya kunipeleka huko ni kuniteka na kuswekwa kwenye Submarine 😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂kuna wabongo watakuja kusema wao hawaendi utadhani hata pesa ya kulipa huko wanayo.. millioni mia 600 ndio nauli nawakumbusha tu.
I agree 💯💯Zaid ya mara mbili kimeenda na kurudi kabla ya hyo majuzi , ni biashara wanafanya mda tu
Wewe unaumia nini Sasa? Au utachangia gharama za kwenda huko?Kwa jinsi ambavyo binadamu wamekuwa manyumbu watatokea manyumbu wengine, tena pengine zaidi ya hao 5 nao wakajifie huko chini ya bahari.... [emoji23] [emoji23]
Sasa wewe upo Kisiju huko namna ana muda wa kuhangaika na Ngumbaru?Mimi hata Kwa tiketi ya Bure siendi 😊 njia pekee ya kunipeleka huko ni kuniteka na kuswekwa kwenye Submarine 😂😂🤣🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂
Mama na baba zako NDIO ngumbaru!!Sasa wewe upo Kisiju huko namna ana muda wa kuhangaika na Ngumbaru?
Tumchangieni Mwigulu ili nae apate kwenda huko
Hapana hapana,siyo vichwa vya kuku,wao Huwa wanaangalia percentage ya hizo ajali zilizokwisha kutolea,yaani idadi ya safari zilizofanikiwa ni nyingi sana hiyo iliyotokea,ni bahati mbaya tu. Ukilinganisha na ajali za mabasi zinazotokea barabarani safari ya kuiona Titanic inabakua kuwa salama.
Unaowaita vichwa vya kuku ndio hao wametutengenezea ndege na leo mpaka viongozi wetu wanapangana Airport kuzipokea...unajua Ni vichwa vingapi vya kuku unavyoviita vilikufa na kuteketea kwa sababu ya utafiti na majaribio ya safari za Angani? Wangekuwa waoga leo dunia ingekuwa nyuma sana...
Kwa hiyo huko chini ktk Titanic wataleta nini?Unaowaita vichwa vya kuku ndio hao wametutengenezea ndege na leo mpaka viongozi wetu wanapangana Airport kuzipokea...unajua Ni vichwa vingapi vya kuku unavyoviita vilikufa na kuteketea kwa sababu ya utafiti na majaribio ya safari za Angani? Wangekuwa waoga leo dunia ingekuwa nyuma sana...Internet unayotumia kupost hapa kuna watu wengi sana wamekufa na wengine kupotelea angani na hawajapatikana mpaka leo kwa sababu walijitoa kufa na kupona kwenda anga za juu kufanya utafiti na matokeo yake ndiyo teknolojia unayoiona leo...
Bila ya hivyo au watu wa aina hiyo basi dunia isingefika hapa ilipo sasa.Kwa jinsi ambavyo binadamu wamekuwa manyumbu watatokea manyumbu wengine, tena pengine zaidi ya hao 5 nao wakajifie huko chini ya bahari.... [emoji23] [emoji23]
Watu wa fantasies...wanajua mtu kufa atakufa tuWazungu vichwa vya kuku ,hapo nafasi wengine watakosa kwa hiyo safari.