Ocean Gate yatangaza safari nyingine ya kuangalia Titanic

Ocean Gate yatangaza safari nyingine ya kuangalia Titanic

View attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.

Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
Mimi naenda kupanda naomba wana Jamii Forums mnichangie nauli
 
View attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.

Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
duhh!!!watuache bac angalau tumalize matanga
 
View attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.

Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
Watakwenda tena ila this time watarekebisha makosa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_1688120532820.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napendekeza bunge letu lote walipiwe nauli wapande waende

Hata wakichukua pesa za bunge sioni shida watanzania turuhusu wabunge wote waende tu kwa gharama za kodi zetu

Naomba kutoa hoja
 
Mkuu ume enda mbali sanaa...🤣🤣🤣😂😂😂😂

Unafikir wale ma billionaire hawajawai kukipeleka chombo then wakawa assured 100% NDIO wakaenda wao..

Mkuu wazungu ni watu makini ndugu tena sio Kwa TRIAL & ERROR

Ile ajar ilikua ni unexpected 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Ajali ilitegemewa mana walionywa mapema , engineers wengi Tu walitilia Shaka material ya kifaa kuweza kuhimili intense water pressure..... Japo kifaa kiliweza kwenda mara kadhaa na kurudi expert wengi hawakuwa na Imani nacho since day one ....
 
Ajali ilitegemewa mana walionywa mapema , engineers wengi Tu walitilia Shaka material ya kifaa kuweza kuhimili intense water pressure..... Japo kifaa kiliweza kwenda mara kadhaa na kurudi expert wengi hawakuwa na Imani nacho since day one ....
So una amini kiliwai kwenda na kurudi😊😊🤓🤓 B4 calamities happened
 
Precision bado inaendelea na safari za bukoba kama kawa, sembuse hao Advanced technologist
 
Back
Top Bottom