Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Wanakilipia kifoKwa jinsi ambavyo binadamu wamekuwa manyumbu watatokea manyumbu wengine, tena pengine zaidi ya hao 5 nao wakajifie huko chini ya bahari.... [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakilipia kifoKwa jinsi ambavyo binadamu wamekuwa manyumbu watatokea manyumbu wengine, tena pengine zaidi ya hao 5 nao wakajifie huko chini ya bahari.... [emoji23] [emoji23]
Mimi naenda kupanda naomba wana Jamii Forums mnichangie nauliView attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.
Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
Na Rostam😃Tumchangieni Mwigulu ili nae apate kwenda huko
duhh!!!watuache bac angalau tumalize matangaView attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.
Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
Naunga mkono hojaTumchangieni Mwigulu ili nae apate kwenda huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mambo ni bampa tu bampa
Watakwenda tena ila this time watarekebisha makosaView attachment 2674187Kampuni ya OceanGate Expeditions inayomiliki chombo cha majini cha Titan imetangaza safari zake kwa msimu wa 2024 kwa gharama ya $250,000 [TZS milioni 603] kwenda kuona mabaki ya meli ya Titanic.
Hivi karibuni watu watano walifariki dunia baada ya chombo chao kupotea kikiwa karibu na mabaki ya meli hiyo na kupelekea kupasuka kutokana na mgandamizo mkubwa wa maji.
😅😅😅 akiwa na tai yake shingoniUmenichekesha sana.
Namfikiria ndani ya sub.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ajali ilitegemewa mana walionywa mapema , engineers wengi Tu walitilia Shaka material ya kifaa kuweza kuhimili intense water pressure..... Japo kifaa kiliweza kwenda mara kadhaa na kurudi expert wengi hawakuwa na Imani nacho since day one ....Mkuu ume enda mbali sanaa...🤣🤣🤣😂😂😂😂
Unafikir wale ma billionaire hawajawai kukipeleka chombo then wakawa assured 100% NDIO wakaenda wao..
Mkuu wazungu ni watu makini ndugu tena sio Kwa TRIAL & ERROR
Ile ajar ilikua ni unexpected 🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Classmates wote wapo mbele huko, mimi tu ndio nilisahaulika huku kwenye nchi ya ahadi ni deni...😥Ni kazi juu ya kazi hakuna kupoteza muda
So una amini kiliwai kwenda na kurudi😊😊🤓🤓 B4 calamities happenedAjali ilitegemewa mana walionywa mapema , engineers wengi Tu walitilia Shaka material ya kifaa kuweza kuhimili intense water pressure..... Japo kifaa kiliweza kwenda mara kadhaa na kurudi expert wengi hawakuwa na Imani nacho since day one ....
Zaid ya mara mbili kimeenda na kurudi kabla ya hyo majuzi , ni biashara wanafanya mda tuSo una amini kiliwai kwenda na kurudi😊😊🤓🤓 B4 calamities happened