Rula ya Mafisadi
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 404
- 852
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??
Gwamaka: NDIYO, Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.
Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,
Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??
Yericko: Hawezi kushinda yule😆
Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.
Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.
Comments fupi fupi
Gwamaka: NDIYO, Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.
Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,
Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??
Yericko: Hawezi kushinda yule😆
Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.
Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.
Comments fupi fupi