Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono? Yericko; Hawezi kushinda yule

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono? Yericko; Hawezi kushinda yule

Muuliza swali ndiye Mweupe anayeuliza swali la kufikirika ambalo anajua haliwezi kutokea kamwe na katu lissu kushinda Uenyekiti. Uenyekiti wa CHADEMA siyo sawa na kupiga Domo na kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongo
Leo ndiyo umeipa CHADEMA umuhimu na ukuu huo?Punguza au acha unafiki.
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
Haahaa ni zaidi ya uchawa, jamaa hata kuelewa swali hajui.Hii ni hatari
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
hakuna mweupe. May be yeriko anajua kabisa kuwa hatashinda!
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
Huyu dogo ni mchawi kabisa
 
Daaa huyu jamaa
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
Yericko ni mweupe hii nchi bwana
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
Mimi siwezi Kuunga mkono mtu ambae naona ni mgonjwa wa akili.

Kama ambavyo sikuwahi muunga mkono Mwendazake hata Lisu siwezi.

Watu wa msimamo mkali ni hasara kwenye maisha na ustawi.
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
Hiyo damu ya wanyama unayomwaga wakati damu ya Yesu ilishwamwagwa bure! Atalia mama yake kama anaye
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
Mweupe kichwani No. 1. Yericko ila sio Nyerere.
Mweupe kichwani. No.2. Ntobi
 
Mimi siwezi Kuunga mkono mtu ambae naona ni mgonjwa wa akili.

Kama ambavyo sikuwahi muunga mkono Mwendazake hata Lisu siwezi.

Watu wa msimamo mkali ni hasara kwenye maisha na ustawi.
Ndio maana umekuwa shoga kwa sababu ya kukosa misimamo mikali, wewe unafikiria ni raha wenzako kila siku wanakupumulia tu kisogoni.
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899

Unyerere wake huyu bila shaka ni kama wa Stephano
 
Mungu huwa hapendi kudhikakiwa kwamba " Hashindi mtu duniani wala Mbinguni"- kauli hii inakwaza sana, yaani ni kama vile wanajua Mungu anapanga nini, lini na wapi... ingefaa sana ifutwe kabla ghadhabu za Mungu hazijaanza kufanya kazi.
 
Tofautisha think tanks wa Chadema na wale wa mwamba.
So far it seems "Mwamba" ndie CHADEMA na wengine wote ni wavamizi tu na wanataka kupora "business entity" yake.

Ameshakuwa recorded akisema CHADEMA ni "chama changu"
 
Back
Top Bottom