Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono? Yericko; Hawezi kushinda yule

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono? Yericko; Hawezi kushinda yule

So far it seems "Mwamba" ndie CHADEMA na wengine wote ni wavamizi tu na wanataka kupora "business entity" yake.

Ameshakuwa recorded akisema CHADEMA ni "chama changu"
Na ni chama chake kweli ila aisee wakuja wanataka kumpora Tonge
 
So far it seems "Mwamba" ndie CHADEMA na wengine wote ni wavamizi tu na wanataka kupora "business entity" yake.

Ameshakuwa recorded akisema CHADEMA ni "chama changu"

Gftjz6eXsAAXvoY.jpeg
 
Odemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Gwamaka: NDIYO,
Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.

Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,

Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??

Yericko:
Hawezi kushinda yule😆

Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.

Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.

Comments fupi fupi

View attachment 3192899
Yeriko na Ntobi ni wajinga haswa
 
Muuliza swali ndiye Mweupe anayeuliza swali la kufikirika ambalo anajua haliwezi kutokea kamwe na katu lissu kushinda Uenyekiti. Uenyekiti wa CHADEMA siyo sawa na kupiga Domo na kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongo
😂😂
 
Back
Top Bottom