Na ni chama chake kweli ila aisee wakuja wanataka kumpora TongeSo far it seems "Mwamba" ndie CHADEMA na wengine wote ni wavamizi tu na wanataka kupora "business entity" yake.
Ameshakuwa recorded akisema CHADEMA ni "chama changu"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ni chama chake kweli ila aisee wakuja wanataka kumpora TongeSo far it seems "Mwamba" ndie CHADEMA na wengine wote ni wavamizi tu na wanataka kupora "business entity" yake.
Ameshakuwa recorded akisema CHADEMA ni "chama changu"
So far it seems "Mwamba" ndie CHADEMA na wengine wote ni wavamizi tu na wanataka kupora "business entity" yake.
Ameshakuwa recorded akisema CHADEMA ni "chama changu"
Yeriko na Ntobi ni wajinga haswaOdemba: Je endapo Mbowe atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??
Gwamaka: NDIYO, Kama atashinda kihalali nitamuunga mkono.
Lyenda: NDIYO, Nilimuheshimu, ninamuheshimu na nitaendelea kumuheshimu,
Odemba: Je, endapo Lissu atachaguliwa kuwa mwenyekiti utamuunga mkono??
Yericko: Hawezi kushinda yule😆
Ntobi: Itakuwa ngumu Lissu kushinda, ila akishinda nitamuunga mkono.
Unadhani ni nani mweupe kichwani kwa Mtazamo wako.
Comments fupi fupi
View attachment 3192899
Ndiyo CHADEMA kwa sasa ilipo
😂😂Muuliza swali ndiye Mweupe anayeuliza swali la kufikirika ambalo anajua haliwezi kutokea kamwe na katu lissu kushinda Uenyekiti. Uenyekiti wa CHADEMA siyo sawa na kupiga Domo na kuropoka ropoka tu kama mlevi wa gongo
Hawawezi kukufikia weweYeriko na Ntobi ni wajinga haswa
UWT mmepata watejaHawawezi kukufikia wewe