Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,720
- 6,957
Kabla ya kumuoa ni yeye aliyekuwa wa kwanza kukata "utepe"?
Zingatia neno UTEPE.
Kama alikuta utepe ulishakatwa na wengine hana haja ya kuona wivu. Amruhusu bibie aende Marekani, maisha mengine yaendelee.
Sisi Wanaume tuna shida sana. Unakuwaje na wivu kwa mwanamke ambaye wewe sio mtu wake wa kwanza??????
Zingatia neno UTEPE.
Kama alikuta utepe ulishakatwa na wengine hana haja ya kuona wivu. Amruhusu bibie aende Marekani, maisha mengine yaendelee.
Sisi Wanaume tuna shida sana. Unakuwaje na wivu kwa mwanamke ambaye wewe sio mtu wake wa kwanza??????