Uchaguzi 2020 Ofisi ya CHADEMA kwenye video inayozunguka mitandaoni zinaonekana kuchoka na kupauka

Uchaguzi 2020 Ofisi ya CHADEMA kwenye video inayozunguka mitandaoni zinaonekana kuchoka na kupauka

usivyo na akili unaweza kukuta nyumbani kwa wazazi wako pamepauka zaidi ya hapo
 
Aache kuzitumbua na vitu maalum wake awajengee ofisi. Hapo mtu Ajaribu kuhoji aone, kama hajafungishwa virago mchana kweupe.
Ofisi hiyo hiyo ndiyo inawaangaisha CCM mpaka kuwabambikia kesi kuwapiga risasi chadema je? Chadema wangekuwa na mjengo mkubwa si mngewaua kabsa
 
Kuna video inazunguka ikionyesha msajili wa vyama vya siasa hapa nchini akitoka kwenye ofisi za makao makuu ya CHADEMA pale mitaa ya Ufipa.

Mchukua video alilenga kuonyesha msajili wa vyama anavyohangaika kupanda boda boda lakini ameishia kukidhalilisha chama chake.

Kwenye video inayozunguka zimeonekana ofisi za chama ziliochoka na kupauka vibaya! Mtu aliye mbali akiambiwa kuwa hapo ndiyo makao makuu ya CHADEMA hawezi kuamini na atabisha sana lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba hayo ndiyo makao makuu ya CHADEMA!

Kweli hata rangi imewashida kupaka?

Kweli hata tiles zimewashinda kuweka?

Hiyo ndiyo ofisi kuu ya chama anachotokea Tundu Lissu anayejimwambafai ataboresha maisha ya watanzania? Si aboreshe ofisi ya chama chake kwanza?

Tundu Lissu umeshindwa kupaka rangi ofisi ya CHADEMA utaweza kweli kuwaletea Watanzania SGR, Elimu bure, umeme wa stiglers?
Ifike mahali hapo ufipa muache unafiki.

Makao makuu ya rais mtarajiwa, shame.
 
Kuna video inazunguka ikionyesha msajili wa vyama vya siasa hapa nchini akitoka kwenye ofisi za makao makuu ya CHADEMA pale mitaa ya Ufipa.

Mchukua video alilenga kuonyesha msajili wa vyama anavyohangaika kupanda boda boda lakini ameishia kukidhalilisha chama chake.

Kwenye video inayozunguka zimeonekana ofisi za chama ziliochoka na kupauka vibaya! Mtu aliye mbali akiambiwa kuwa hapo ndiyo makao makuu ya CHADEMA hawezi kuamini na atabisha sana lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba hayo ndiyo makao makuu ya CHADEMA!

Kweli hata rangi imewashida kupaka?

Kweli hata tiles zimewashinda kuweka?

Hiyo ndiyo ofisi kuu ya chama anachotokea Tundu Lissu anayejimwambafai ataboresha maisha ya watanzania? Si aboreshe ofisi ya chama chake kwanza?

Tundu Lissu umeshindwa kupaka rangi ofisi ya CHADEMA utaweza kweli kuwaletea Watanzania SGR, Elimu bure, umeme wa stiglers?
Ifike mahali hapo ufipa muache unafiki.

Yaani ni gofu kabisa halafu tuwape nchi!! No No!
 
Kuna video inazunguka ikionyesha msajili wa vyama vya siasa hapa nchini akitoka kwenye ofisi za makao makuu ya CHADEMA pale mitaa ya Ufipa.

Mchukua video alilenga kuonyesha msajili wa vyama anavyohangaika kupanda boda boda lakini ameishia kukidhalilisha chama chake.

Kwenye video inayozunguka zimeonekana ofisi za chama ziliochoka na kupauka vibaya! Mtu aliye mbali akiambiwa kuwa hapo ndiyo makao makuu ya CHADEMA hawezi kuamini na atabisha sana lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba hayo ndiyo makao makuu ya CHADEMA!

Kweli hata rangi imewashida kupaka?

Kweli hata tiles zimewashinda kuweka?

Hiyo ndiyo ofisi kuu ya chama anachotokea Tundu Lissu anayejimwambafai ataboresha maisha ya watanzania? Si aboreshe ofisi ya chama chake kwanza?

Tundu Lissu umeshindwa kupaka rangi ofisi ya CHADEMA utaweza kweli kuwaletea Watanzania SGR, Elimu bure, umeme wa stiglers?
Ifike mahali hapo ufipa muache unafiki.

Ushawajengea Choo wazee kule nyumbani au bado una hela unasikilizia?
 
Yaani ni gofu kabisa halafu tuwape nchi!! No No!
Gofu hilo hilo ndilo linawakosesha usingizi kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi na sasa Tumeccm NECCCM wanaifanyia CCM kampeni, je? Chadema wangekuwa na gorofa mjini si mngewalipua na nyukilia
 
Gofu hilo hilo ndilo linawakosesha usingizi kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi kuwapora ushindi na sasa Tumeccm NECCCM wanaifanyia CCM kampeni, je? Chadema wangekuwa na gorofa mjini si mngewalipua na nyukilia
Haya endeleeni kukaa kwenye gofu lenu!
 
Ruzuku mnapeleka wapi, acha kutetea ujinga. Chama huko, anafaidi Mbowe na genge lake la watu wachache tu.
Ruzuku inatumika kupambana na utitri wa kesi za kubambikiwa na CCM inatumika kupangua hujuma za CCM inatumika kuimarisha kueneza chama kote Nchini,
 
Nilifikiri Godown flani hivi la kuweka vyuma chakavu kumbe ndio makao makuu ya Chama kinachotaka kutuletea maendeleo zaidi ya Ulaya??
Tuwaombee na wao wajengewe ofisi na serikali ya China
 
Haya endeleeni kukaa kwenye gofu lenu!
Nyumba mali viwanja vya CCM ni mali ya vyama vyote vya siasa inafaa igawanywe kwa usawa kwani baada ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1991 CCM ilipora mali zote ikajimilikisha kienyeji kwa njia haramu za kishetani, chadema wakiingia ikulu mali nyumba zote za CCM zitagawanywa kwa vyama vyote kwa usawa ndiyo maana chadema hawana shida na ofisi kwani wanajua ofisi zao zipo kwa CCM wanagonjea kukabidhiwa tu.
 
Nyumba mali viwanja vya CCM ni mali ya vyama vyote vya siasa inafaa igawanywe kwa usawa kwani baada ya mfumo wa vyama vingi mwaka 1991 CCM ilipora mali zote ikajimilikisha kienyeji kwa njia haramu za kishetani, chadema wakiingia ikulu mali nyumba zote za CCM zitagawanywa kwa vyama vyote kwa usawa ndiyo maana chadema hawana shida na ofisi kwani wanajua ofisi zao zipo kwa CCM wanagonjea kukabidhiwa tu.
Sheria hujui kabisa mkuu.
 
Aache kuzitumbua na vitu maalum wake awajengee ofisi. Hapo mtu Ajaribu kuhoji aone, kama hajafungishwa virago mchana kweupe.
Ofisi viwanja mali zote za CCM ni mali halali ya vyama vya upinzani tokea mwaka 1991 baada ya kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi,chadema hawatajenga ofisi ingine kwani ofisi zao wanazo CCM wamezikumbatia kienyeji kinyume cha Sheria
 
Mkuu kwanza wanaokandia ofisi za Chadema, za kwao walirithi toka mfumo wa chama kimoja.

Sidhani kama wameshawahi kujenga ofisi hata moja mpya!
Ofisi za CCM ni mali ya vyama vyote
 
Back
Top Bottom