Uchaguzi 2020 Ofisi ya CHADEMA kwenye video inayozunguka mitandaoni zinaonekana kuchoka na kupauka

Uchaguzi 2020 Ofisi ya CHADEMA kwenye video inayozunguka mitandaoni zinaonekana kuchoka na kupauka

CCM ndiyo mnaweweseka mna majengo lakini kutwa kuwabambikia kesi kuwapiga risasi chadema wenye ofisi ndogo ya kawaida
Leta ushahidi kuwa kuna aliyepgwa risasi na CCM
 
Billioni 8 walizoibiwa wabunge wa Chadema hazikutosha kujenga?
Zinatumika kupangua utitiri wa kesi mnazowabambikia kila kukicha zinatumika kuwatibu mliowapiga risasi zinatumika kwenye kampeni sasa kwani hukuwapa pesa za kampeni
 
Leta ushahidi kuwa kuna aliyepgwa risasi na CCM
Ushahidi uletewe wewe punje moja ya ulezi ili iweje? Ushahidi wanapewa boss zako wewe tulia endelea kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
 
Chama ni fikra sio ofisi...watanzania tunaichagua CCM kwa sababu ya fikra Na sera zake sio ofisi nzuri.. watanzania wengi hatuijui ofisi ya CCM ilipo,ila kila mwaka tunaipa kura
 
Mnaamshwa usingizini, muhoji 8 Bilions zimeenda wapi. Zilizotengwa kwa ajili ya kuimarisha miundo mbinu ya chama ikiwemo makao makuu ya chama! Sasa ninyi mnamwagiwa maji ya baridi kutoka usingizi bado hamtaki kuamka tuwaeleweje!?

Wenyewe wamelizika so hakuna shida
Kama ww Ulivyoridhika dem wako but Kuna wengine tukimuona dem wako tunasema hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ushahidi uletewe wewe punje moja ya ulezi ili iweje? Ushahidi wanapewa boss zako wewe tulia endelea kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM
Sasa ulivonambia khs mtu kupigwa risasi ilkuwa inanihusu nn.?
 
IMG_20200929_104936.jpg
IMG_20200929_104954.jpg
 
Kuna video inazunguka ikionyesha msajili wa vyama vya siasa hapa nchini akitoka kwenye ofisi za makao makuu ya CHADEMA pale mitaa ya Ufipa.

Mchukua video alilenga kuonyesha msajili wa vyama anavyohangaika kupanda boda boda lakini ameishia kukidhalilisha chama chake.

Kwenye video inayozunguka zimeonekana ofisi za chama ziliochoka na kupauka vibaya! Mtu aliye mbali akiambiwa kuwa hapo ndiyo makao makuu ya CHADEMA hawezi kuamini na atabisha sana lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba hayo ndiyo makao makuu ya CHADEMA!

Kweli hata rangi imewashida kupaka?

Kweli hata tiles zimewashinda kuweka?

Hiyo ndiyo ofisi kuu ya chama anachotokea Tundu Lissu anayejimwambafai ataboresha maisha ya watanzania? Si aboreshe ofisi ya chama chake kwanza?

Tundu Lissu umeshindwa kupaka rangi ofisi ya CHADEMA utaweza kweli kuwaletea Watanzania SGR, Elimu bure, umeme wa stiglers?
Ifike mahali hapo ufipa muache unafiki.

Hata haowengine zinang"as kwasababu wanaweza kuchanganya shughuli zachama naserekali nadhani umegundua ninachomaanisha
 
Tunajua CCM ni Matajiri sana ,tatizo lipo wapi hapo.Ile dhana ya Masikini na Tajiri ndio inaleta maana hapa.
Hivi nukuu anayoiongea Lisu kwenye kitabu cha Mkapa juu ya kuchotwa fedha za serikali ni kweli?
 
Afu hao ndo walete maendeleo kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hella za Ruzuku zinaliwa na wenyewe, kuna watu tayari ni kama zao tu
 
Yani Chadema kopo la rangi 20lt linawashinda kweli?.
kama mnashindwa hata kujali makao makuu ya chama chenu mtaweza kuwajali watanzania?.
Miaka yote ruzuku ya chama Mbowe anapeleka wapi ikiwa hata kampeni tu wananchi ndo wanachangishwa fedha?.
Pesa za ruzuku Mbowe amepeleka wapi?.
au ndo nyani aoni kundule?
 
Kuna furaha gani kuwa na ofisi nzuri wakati watoto wa shule wanakaa chini?, watu wanakunywa maji machafu?
Hakuna furaha, ila chama kinachopokea ruzuku ya milion 300 kila mwezi kuwa hivyo ni aibu, ina maana hella zinaenda wapi
 
Mleta mada una akili za 'msalani' sana! Sishangai ndio akili za vijana wa huo 'mtaa' zilipofikia kikomo.
 
Mbonw watu walipiga picha barabara mbovu mkasema wanahujumu uchumi ila hapo kupiga picha ofisi kuwa imechakaa ni sawa?
 
Naomba kuuliza Swali: kwa hivyo tumewaafikiana kwamba miaka 5 ya kwanza ya bwana magufuki , maisha ya wananchi hayajaboreshwa? Kwani alivyoomba Kura 2015, si alisema maisha ya wananchi yataboreshwa na tutakuwa Ulaya? Kama kashindwa awamu ya kwanza, kwanini apewe awamu ya pili?
 
Ungepiga picha yenye maandishi yanayoonesha kuwa hapo ndo makao makuu ya Chadema. Uzuri naishi Kinondoni Mtaa wa Togo ambapo ni mtaa jirani na mtaa wa Ufipa
Kuna video inazunguka ikionyesha msajili wa vyama vya siasa hapa nchini akitoka kwenye ofisi za makao makuu ya CHADEMA pale mitaa ya Ufipa.

Mchukua video alilenga kuonyesha msajili wa vyama anavyohangaika kupanda boda boda lakini ameishia kukidhalilisha chama chake.

Kwenye video inayozunguka zimeonekana ofisi za chama ziliochoka na kupauka vibaya! Mtu aliye mbali akiambiwa kuwa hapo ndiyo makao makuu ya CHADEMA hawezi kuamini na atabisha sana lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba hayo ndiyo makao makuu ya CHADEMA!

Kweli hata rangi imewashida kupaka?

Kweli hata tiles zimewashinda kuweka?

Hiyo ndiyo ofisi kuu ya chama anachotokea Tundu Lissu anayejimwambafai ataboresha maisha ya watanzania? Si aboreshe ofisi ya chama chake kwanza?

Tundu Lissu umeshindwa kupaka rangi ofisi ya CHADEMA utaweza kweli kuwaletea Watanzania SGR, Elimu bure, umeme wa stiglers?
Ifike mahali hapo ufipa muache unafiki.

 
Back
Top Bottom