SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe mpumbavu hujui ile plea bargaining agreement enzi za Magufuli ilikuwa rushwa na unyang'anyi kwani hela yote iliyokusanywa hadi leo haijulikani ilipo. Na ilitumika ofisi hiyo ya DPP kufanya ujambazi huu.Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Unapenda sana kunyonya dudu. Acha kusumbua wanaume.Wewe mpumbavu hujui ile plea bargaining agreement enzi za Magufuli ilikuwa rushwa na unyang'anyi kwani hela yote iliyokusanywa hadi leo haijulikani ilipo. Na ilitumika ofisi hiyo ya DPP kufanya ujambazi huu.
Umeandika kila kitu nilichotaka kuandikaHakuna anayeweza kudhibiti rushwa na ufisadi nchi hii sababu jamii yenyewe inaabudu mafisadi japo inapiga na kuua vibaka wa kuku na wakwapua simu. Itokee siku moja fisadi likamatwe na wananchi wenye hasira halafu livishwe tairi shingoni kisha limwagiwe petroli na kutiwa kiberiti mchana peupe ndiyo labda tutaanza kuona mabadiliko.
Sasa hivi ukipewa madaraka ukawa mwadilifu kabisa kabisa ukaja kuyaacha ukiwa bado hujajilimbikizia mali jamii hiyo hiyo inakucheka kuwa we ni boya ulizubaa. Hakuna incentives zo zote za kuwa mwadilifu. Wakati huo huo ukiiba sawasawa unasifiwa kuwa we ndo mtoto wa mjini...na hata ukitajwa kwenye ripoti ya CAG mara mia hakuna ambacho utafanywa.
Kuwa mkali na kubweka bweka kidogo pengine inasaidia lakini hii ya kuambiana kabisa kuwa eti kuleni kwa urefu wa kamba zenu sijui itakuwaje. Nchi inasikitisha sana hii !!!
View attachment 2200569
Moderators wacheni double standard,huyu choko kanitukana nimemjibu mkafuta post yangu lakini mkabakisha haya matusi yake. Wacheni hizo,najua mnanitafutia ban.Unapenda sana kunyonya dudu. Acha kusumbua wanaume.
Wakati wa Magu DPP aligeuka mtoza ushuru bana na mpaka leo fedha walizotozwa kina Kabendera hazijulikani zilipoSasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Moderators wanapaswa kudhibiti hizi lugha chafu kuzuia jukwaa linalo heshimika kuwa feastival ya kanga mokoModerators wacheni double standard,huyu choko kanitukana nimemjibu mkafuta post yangu lakini mkabakisha haya matusi yake. Wacheni hizo,najua mnanitafutia ban.
Goodumeharibu pale uliposema JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa. Kupata hicho kichekesho unabonyeza ngapi
Ulianza vzr sn lakini umekuja kuharibu vibaya katikatiSasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Kulitukana lile linyama liuaji lililo jahanam kwa sasa ni jambo sahihi kabisa.Mbona una matusi kama sio binadamu ndugu. Kwanini unakua na roho mbaya hivi.
Usipopanda kichaa mwaka huu una bahati sanaSasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Tangu awamu ya tano. Mwenye mapesa anafanya bagaini na asiye na pesa anaozea jela.Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Alithibiti vipi wakati ndiye alianzisha mchakato wenye pesa wanakili makosa wanatoa mpunga kwa dpp bisaro wanatoka. Hivi watanzania ndio tunakumbukumbu fupi hivi?Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Hili lilijulikana mapema ikiwa.Koboko alitoka ambaye ni kingpin ashindweje Candida ambaye ni liutenant.NSEMBO na mama VIKOBA wapo njian kutoka mwez wa sita
Mnaokula hela za mwanae za huduma mjiandae mrangi kamanda anarudi kitaa kwa mujibu wa mnyet wangu kila kitu kimekaa sawa unazo taarifa hizi mkuu?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wacha longolongo itikia wito huuSasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.
Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.
Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.
Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.
Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Wewe lini uliacha kubokolewa?Umevamia uzi huu sio saizi yako. Maana huu sio uzi wa mashoga.
Hawajielewi kabisa.Wanasumbua sana hawa.