Ofisi ya DPP na Mahakama zimegeuka vitovu vya Rushwa, wenye pesa ndio wanaachiwa na wasio na pesa wanaozea jela na mahabusu

Ofisi ya DPP na Mahakama zimegeuka vitovu vya Rushwa, wenye pesa ndio wanaachiwa na wasio na pesa wanaozea jela na mahabusu

Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.

Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.

Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.

Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.

Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Wewe mpumbavu hujui ile plea bargaining agreement enzi za Magufuli ilikuwa rushwa na unyang'anyi kwani hela yote iliyokusanywa hadi leo haijulikani ilipo. Na ilitumika ofisi hiyo ya DPP kufanya ujambazi huu.
 
Wewe mpumbavu hujui ile plea bargaining agreement enzi za Magufuli ilikuwa rushwa na unyang'anyi kwani hela yote iliyokusanywa hadi leo haijulikani ilipo. Na ilitumika ofisi hiyo ya DPP kufanya ujambazi huu.
Unapenda sana kunyonya dudu. Acha kusumbua wanaume.
 
Hakuna anayeweza kudhibiti rushwa na ufisadi nchi hii sababu jamii yenyewe inaabudu mafisadi japo inapiga na kuua vibaka wa kuku na wakwapua simu. Itokee siku moja fisadi likamatwe na wananchi wenye hasira halafu livishwe tairi shingoni kisha limwagiwe petroli na kutiwa kiberiti mchana peupe ndiyo labda tutaanza kuona mabadiliko.

Sasa hivi ukipewa madaraka ukawa mwadilifu kabisa kabisa ukaja kuyaacha ukiwa bado hujajilimbikizia mali jamii hiyo hiyo inakucheka kuwa we ni boya ulizubaa. Hakuna incentives zo zote za kuwa mwadilifu. Wakati huo huo ukiiba sawasawa unasifiwa kuwa we ndo mtoto wa mjini...na hata ukitajwa kwenye ripoti ya CAG mara mia hakuna ambacho utafanywa.

Kuwa mkali na kubweka bweka kidogo pengine inasaidia lakini hii ya kuambiana kabisa kuwa eti kuleni kwa urefu wa kamba zenu sijui itakuwaje. Nchi inasikitisha sana hii !!!

View attachment 2200569
Umeandika kila kitu nilichotaka kuandika
 
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.

Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.

Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.

Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.

Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Wakati wa Magu DPP aligeuka mtoza ushuru bana na mpaka leo fedha walizotozwa kina Kabendera hazijulikani zilipo
Wakati wa Magu ndipo msemo wa majaji wa 'mchongo' ulipoanza wajua kwa nini?
Wakati wa Magu policcm walining'iniza watu Kama popo na kutesa wakubali kosa wasilotenda. Kesi za kubambikizwa zilitamalaki.
Mungu kaamua utawala wa sheria umerudi tena.
 
Moderators wacheni double standard,huyu choko kanitukana nimemjibu mkafuta post yangu lakini mkabakisha haya matusi yake. Wacheni hizo,najua mnanitafutia ban.
Moderators wanapaswa kudhibiti hizi lugha chafu kuzuia jukwaa linalo heshimika kuwa feastival ya kanga moko
 
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.

Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.

Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.

Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.

Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Ulianza vzr sn lakini umekuja kuharibu vibaya katikati
 
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.

Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.

Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.

Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.

Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Usipopanda kichaa mwaka huu una bahati sana
 
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.

Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.

Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.

Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.

Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Tangu awamu ya tano. Mwenye mapesa anafanya bagaini na asiye na pesa anaozea jela.
 
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.

Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.

Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.

Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.

Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Alithibiti vipi wakati ndiye alianzisha mchakato wenye pesa wanakili makosa wanatoa mpunga kwa dpp bisaro wanatoka. Hivi watanzania ndio tunakumbukumbu fupi hivi?
 
NSEMBO na mama VIKOBA wapo njian kutoka mwez wa sita

Mnaokula hela za mwanae za huduma mjiandae mrangi kamanda anarudi kitaa kwa mujibu wa mnyet wangu kila kitu kimekaa sawa unazo taarifa hizi mkuu?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hili lilijulikana mapema ikiwa.Koboko alitoka ambaye ni kingpin ashindweje Candida ambaye ni liutenant.

Suala la katiba maana hata Shkuba kwa sheria za marekani alikula 9 yrs na ametoka tayari baada ya good behaviour and cooperating with us authorities.

Hata Babu Chonji nasikia naye anakaribia kutoka.
 
Sasa hivi ni rushwa na pesa yako ndio itakufanya usiende gerezani.

Dpp na mahakama ndio imekuwa kitovu cha kuachia wenye pesa hata kama wanamakosa.

Hayati JPM alidhibiti kabisa hii hali ya rushwa hasa mahakamani na ofisi ya Dpp.

Dpp anafuta kila siku kesi za watu ambao ipo wazi kabisa wana makosa.

Mwaka mmoja tu, tunashuhudia mabadiliko makubwa. Huko polisi ndio hovyo kabisa
Wacha longolongo itikia wito huu
JamiiForums1601347157.jpg
 
Back
Top Bottom