Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata
Afadhali ya wewe uko mzima na akili timamu, kijana nenda ukachangamkie fursa wacha kusubiria urithi.

Mimi baba yangu alifariki nikiwa na miaka saba, ndugu wa baba waliamua kumtimua mama tukarudi kwa wajomba. Hatukupata senti ya urithi na nilisoma na baadae kupata kazi ya serikali. Nilipambana na kuanza kutafuta vya kwangu mwenyewe na mpaka leo sijapata hata senti ya urithi lakini nimekuwa na maisha bora kuliko wale waliotupora urithi wetu.

Kwa hivyo pambana kijana.
 
Kwa kweli Ni Aibu Sana kwa mwanaume wa miaka 42 kutaka Mali za baba yake.Hivi wewe unashindwa kupambana kweli???Mimi mwanamke lkn napambana hatari na Wala sifatilii Mali za wazazi.Sheria inasema hivi Mali zitabaki kuwa za wazazi mpaka watakapofariki.Akifariki baba,Mali zinakuwa za mama.akifariki mama,Mali zinakuwa za baba.Na wote wakifariki,Mali zinakuwa za watoto.Na kawa Kuna wosia ambao umetaja warithi wa mali,hao ndio watapata Mali.
Kwa ushauri wangu tu Ni kwamba,acha kupoteza muda kufatilia Mali za mwanaume mwenzio(Baba yako)Tafuta Mali zako.
Halafu hao wanaokushauri ukashtaki kwa serikali wanakudanganya.
Cha ajabu we msomi mzima lkn mbona kiwango chako Cha kufikiri Ni kidogo????
Usisahau kuwa wewe Ni NAZI acha kushindana na JIWE(baba yako)
NB:Acha,acha,acha,acha kabisa kulazimisha Mali isiyokuhusu may be ungekuwa under 18 serikali ingemchukulia hatua baba yako.
 
Sijui nicheke au nisikitike?

Are you Serious? Unalilia Mali za mwanaume mwenzio? Miaka 42?

Hivi na sisi wadogo zako tusio na baba,ambao tulikimbiwa na baba zetu angali tu wadogo tulilie Mali za Nani?

Uyo mzee kukulea tu Hadi kufikia umri huo na elimu hiyo ni mgao tosha hakuna unachomdai.

Aisee, Ingawa huwa tunaambiwa tuheshimu mitazamo ya watu Ila kwa hili hapana, Binafsi nakuona una matatizo Sana,

Sio kwamba hufai kupata mgao wa hiyo nyumba iliyouzwa na mzee Bali hata hao watu wa ofisi ya mtendaji wanaotaka kukusaidia hawafai .

Mm ningekutukana na kukufukuza endapo ungekuja kushtakia kwangu.

Kiukweli unakosea sana, Mara Mia ungemuomba mzee mtaji wa biashara na sio kulilia mgao wa Mali yake. Kumbuka ile ni Mali yake kaitafuta kwa jasho lake hata akifa Leo na akaacha wosia kwamba hataki urithi chochote kutoka kwake bado huwezi kumlaumu.

Ningesikitika kama ungekuwa mtoto wa kike, but imekuwa tofauti wewe ni dume,Tena dume haswa lenye mbupu zilizokomaa kuliko zangu na bado unalilia mgao.

Acha tu nikutukane Mkuu, Najua ni dhambi Ila nimeshatubu kwa mola wangu.....malalamiko yako yamenitia hasira mnoo.
 
Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu ndani.

Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.
Bold kwanza neno nyumba yake.

Nakupa true story ya mtu aliyekuwa na akili kama zako maana naona ndo unakoelekea.

Jamaa baada ya mama yao kufariki na kwaacha watoto watatu wakiwa wadogo, baba yao aliamua kuoa mke mwingine kwenye nyumba ile ile ya mke mkubwa.

Baada ya miaka kadhaa ya ndoa ile nyumba ikawa imeboreshwa zaidi ila mme akawa hamwelewi vizuri mke mdogo, ikabidi hati ya nyumba aibadirishe aandike jina la mmoja wa watoto wa mke mkubwa incase of anything aseme nyumba ya watoto na msimamizi ni huyu(na kweli ilitokea kama alivyowaza).

Baada ya yule aliyeandikwa jina akaona kama amerithishwa tayari, akaanza kuitawala na kodi za vyumba vya pembeni anataka achukue.
Mzee akaona asimpande kichwani akataka kuirudisha kwenye jina lake ila jamaa hataki; anataka waiuze apewe chake.

Baada ya vikao vingi vya ndugu mpaka serikali za mitaa akawa anapata majibu kama yako akaamua kujitundika, tumemzika baada ya xmas.
 
Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu ndani.

Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.

Tatizo lilianzia pale ulipo amua kujipongeza na ile laki mbili ambayo ndo ilikua balance yako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
yani mzee inabidi ahame nyumbani manake huyu jamaa anaweza kumuua au alale na bastola yani mtu ana 42 bado analilia ulithi sasa yeye sijui atalisisha nini watoto wake
Anaweza kumzuru huyu

Hafai kabisa

Ova
 
Huu ni zaidi ya ujuha wallah.

Yaani miaka 42 unalilia mali ya mzee? Kweli wanaume tunapungua kwa kasi kubwa sana.
 
Watoto mnaoendaga shule na school bus ukubwani mnakuaga waduanzi sana Sasa mwanangu umeshazeekea nyumbani alafu unasema unataka hela ya kuanza maisha? Maisha gan ukayaanze wakati muda wa kuanza maisha ulishapita?
 
Mm Niko na wee fatili bana Ila usimdhuru ilikusudi umiliki Mali isipo kuwa Kama Kuna mtu ananingilia swal la wee kutopewa mgao pambana nae haswa ..mnk hata akifa Kuna watu wanaweza kujitokkeza kuwasumbua hvyo faitilia vzr miradhi hyo hata Kama mZee Yuko hai Hawa wazee hawakawii kuoa mke mdgo akiwa na pesa na akija kufa Yule mama atakusumbua sna sna
 
Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu ndani.

Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.
Kumbe una basic certificate of computer 😝😝😝😝+ degree
 
Habarini ndugu zangu, pole na majukumu ya hapa na pale niende moja kwa moja kwenye maada usika, mimi ni Kijana mwenye umri wa miaka 42 (nimetimiza mwaka huu mwezi wa 1, tarehe 6 nashukuru Mungu nimeona mwaka na kuongeza mwaka),

Yapata week 3 sasa tangu nilete uzi wangu hapa kuwa baba yangu ameuza nyumba yake na hataki kunipatia japo pesa kidogo mimi mtoto wake nikaanze maisha, na nilikuja kwenu kuomba ushauri, baada ya kupata baadhi ya ushauri mzuri na mwingine wa kejeri na maneno makali, nikaamua nifanye yafuatayo.

Nikaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mtaa kumueleza ili suala nikaona mwenyekiti wa Serikali za mtaa nae kama anataka kunizunguka, maana baada ya kumueleza mwenyekiti akaniambia atalishughulikia badala yake wakati naondoka akampigia mzee simu na kumueleza kuwa nimeenda kuripoti kwake ili nipate mgao. Nikaona huyu mwenyekiti hatokuwa na msaada kwangu, nikapanda kwa maboss wake ambao ni ofisi ya kata

Baada ya kufika ofisi ya kata nikaelezea mkasa mzima wa baba yangu kuuza nyumba yake na hataki kunipa mgao wa hela mimi mtoto wake ambaye natakiwa nipate haki yangu nikaanze maisha yangu, ofisi ya kata walisikitika sana na kuahidi kunisaidia kwa hali na mali, na kuniambia watamuandikia barua baba angu ili aweze kufika na kueleza kwanini ananipa manyanyaso mimi mtoto wake kwenye mali ambazo na mimi nastahili mgao.

Leo asubuhi nimeitwa kwenye ofisi ya kata mimi na baba, tumefika pale cha kushangaza ofisi ya kata wote wanaanza kunishambulia mimi kwa maneno makali sana, ndugu zangu nimeumia sana na mimewaeleza nitapanda ngazi za juu zaidi ili niweze kupata haki yangu Ikiwezekana hata mahakamni nitafika haiwezekani mimi mtoto niwe naagaika hivi wakati baba yangu pesa anayo tena ni kubwa tu. Na nimepata wasiwasi mkubwa watu wote wanasimama na baba ni kwasababu ana pesa huenda wanataka pesa zake ndio maana wanaona mimi sina hela.

WanaJamiiForums nisaidieni niweze kupata mali kutoka kwa baba yangu, najua kuna wanasheria humu ndani.

Naumia sana kwa haya manyanyaso ninayopitia ukilinganisha mimi ndio mtoto ambaye nina elimu kubwa sana kupita wote pale nyumbani (nina Bcom in marketing ) kutoka chuo kikuu cha DAR ES SALAAM-UDBS, pia nina Basic Certificate ya computer application natakiwa nipewe kipaumbele kwa kila kitu kwenye kuendeleza mali za mzee.
Mbona Mgao wako ulishapewaga wewe sema unazulula tu
 
Kijana BURE kabisa wewe. Yaani unakuja hapa unataka tukwambiaje?? Nani kakwambia Mali za Baba yako una haki nazo kwa kumlazimisha akupatie hasa akiwa bado yupo hai na afya njema??

Hiyo elimu unayofikiri ni kubwa umeipata haijakusaidia hata kidogo kukuondoa kwenye fikra pevu za ufukara na umasikini.

Pathetic!
 
Poa

Mwache kwanza afuatilie hizo pesa,kitaeleweka baadae

MKE BILA PESA??
Kama ndo hivyo bora nikuoe mimi

Maana huyo hayupo kwenye kundi la wanaume yupo kwenye kundi la wavulana

Sifa kuu ya mwanaume ni kutafuta sio kusubiri urithi

Kwanza huko alipoenda kulalamika ilibidi wamtandike viboko kwanza kisha wamweke selo kama wiki hivi ili akitoka atakua na akili za kutafuta pesa
 
Hivi hapa tunasogeza mda tu au hilo jambo ni la ukweli kabisa!
 
Wewe kweli ni Kikoozi tena ni Kikoozi kikavu ............eti BABA kauza nyumba yake hataki kunipa mtaji na nitakwenda mbele zaidi kutafuta haki yangu hakika wewe unahitaji kupimwa mkojo unaweza kuwa unamatumizi ya vitu hatarishi ya afya ya akili.

Sent from my SM-G975F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom