Ofisi ya Kata wanashirikiana na baba yangu mzazi kuninyima haki yangu ya mali

Duuh! Kwanza nakusikitikia sana mkuu yaan miaka 42 bado unakaa kwa mzee na bado unadai upatiwe fungu na wew la mauzo ya nyumba yenu ilihali ushasema nyumba ni yake na alijenga yeye wewe hukuchangia hata senti mkuu kubali matokeo tena shukuru kwa hifadhi aliyokupa kwa age yako saai ungekuwa umeoa na una kwako.
 
Natamani nikutandike vitasa vyakutosha mpaka akili yako ikae sawa.
 
Huyo unae muita baba ako sio baba ako mzazi hataki kukwambia ukweli Tu.
Ur not his biological son period
 
Chuo Kikuu cha DSM Ndo kimefikia Kuzalisha haya Mazabe Kweli?

Eti mi ni mhitimu wa UDSM, Walimu wako hapo Chuo wakiona huu Upuuzi Lazima Wazimie!
 
Hapana mkuu sijaoa bado, ndio nategemea nikipata ela kwenye hii issue ya nyumba ilio uzwa niweze kuoa na kufungua biashara
Daaah! Mkuu, hivi ni kweli upo serious?
Na una mtoto au watoto?
 

Wasted sperms!
 
Huu ni zaidi ya ujuha wallah.

Yaani miaka 42 unalilia mali ya mzee? Kweli wanaume tunapungua kwa kasi kubwa sana.
huyu jamaa ni type ya kina LEMUTUZ mzee wake akifa atawasumbua sana dada zake wale
 
Hahahaa dah mkuu hivi upo serious kweli au unataka kuchangamsha genge tu?
 
Yaan wew ni zaidi ya mburukenge

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 

Mkuu Sio Nyie Ndo Mnaouwa Wazazi Wenu kwa Tamaa Ya Mali??? Yaan mzazi Akusomeshe Akufanyie kila Kitu alafu Auze na Mali yake nayo Mgawane[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe Kaka Sidhan Kama Upstairs pako vizuri, kwanza Inaonekana Huna Adab na Heshima Ndo Maana Mzee wako kakunyima, Na Yamkini Alishawahi Kukupa Kitu zama za nyuma ukakipukutisha Hivyo akaona Haina Haja Ya Kukupa Hata Shilingi, Bora Auze kabla Hajafa Ale Hela Yake Kihalali Asikuachie Mjinga Kama Wewe Uchezee hela Yake.
Siku zote cha Mzazi sio CHAKO, Hata kama Anacho akikupa Ni Upendo Tu lakin Sio lazima Akupe,
Toka Kwenu na Hiyo Elimu yako unayojinadi nayo Ukafanya Kazi hata Ya kuuza Maji, Si umesoma Marketing wewe Brand maji Na Karanga Utapa Hela uache kulilia Hela za Mzee wa watu.

Aibu Yakooo[emoji35][emoji35][emoji35]
 

Kabisaaa
 
Hao watoto wengine (ndugu zako) walipewa chochote? Nani aliyekusomesha? Je baba yako amesharudi kijijini kama ulivyosema? Kwa sasa takribani mwezi tangu nyumba iuzwe wewe na baba yako mnakaa wapi? Na Baba yako anafanya nini na hizo hela as of now. Chondechonde usije ukamuua baba ili uzipate hizo pesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…