Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
MatagaNaomba nijuzwe namna ya kupata kadi ya chama kipya cha Umoja Party hapa Dodoma jiji. Tayari nimeshawishi vijana zaidi ya 50 wapo tayari kujiunga hata leo. Pia naomba kujua gharama za fulana za chama.
#Magufulification_of_Africa