Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Tena bungeni ccm huwa wanaichana-chana bajeti mbadala wakati wakiwa wanatoa michango yao na Spika Ndugai akichekelea, leo CCM hawa-hawa wametandikwa spana za maana na Lissu hadi wanamlilia Bashiru atafute ilani ya Chadema na kuiba sera na kuzifanyia kazi muda huu wa uchaguzi ili kuwapambuza wapiga kuraš¤£Ni wazo zuri, lakini, vya upinzani si huwa mnaona hayafai..?
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]Ahaaaa ahaaaa, umegundua single ya ndege haiuzi na mgombea wako amekata pumzi, hivyo bora arukie ilani za ukweli na kudesa baadhi ya mambo ili mjinisuru? Lisu piga hapo hapo Mataga wameanza kutema hirizi.
Yaani mimi bado namshangaa mtoa hoja...!! Yaani leo hii ndo waone sera za vyama vya upinzani ni mahitaji ya wananchi..!!! Wonders shall never end... wallah tenaTena bungeni ccm huwa wanaichana-chana bajeti mbadala wakati wakiwa wanatoa michango yao na Spika Ndugai akichekelea, leo CCM hawa-hawa wametandikwa spana za maana na Lissu hadi wanamlilia Bashiru atafute ilani ya Chadema na kuiba sera na kuzifanyia kazi muda huu wa uchaguzi ili kuwapambuza wapiga kuraš¤£
Kwani wale Wabunge na Viongozi wa Upinzani mliowanunua hawakuwaletea Ilani?Sio kila kitu kitachukuliwa umesoma vizuri nimesema chenye mantiki na kilicho ndani ya uwezo kilichomo ilani za vyama vyote hata CCM ikiwemo pia vinavyowezekana kufanyiwa kazi Sasa sio kila kitu
Imbeni tu Kama yako kwenye ilani zenu Kama hayamo hamuitendei haki ikani yenu ili Watu waijue ilani ya chama chenu hayo yako kwenye ilani ya CCM kwenu Hakuna SGR flyover Wala Ndege!!!Umeponda Weee,ukatukana Weee Sasa unaona panya Anamng'ata paka unajitia una akili timamu.
Hatutaki hiyo hoja yako,tunataka tuendelee na nyimbo za ndege,SGR,Mabarabara,na fly over na wengine Waendelee na uhuru,mishahara nk
Juzi jioni nilikuwa naongea na Mwenyekiti wa CCM wa Wilaya Mojawapo Dar,nikamuuliza kuhus hali ya kampeni inaendaje kwa Upinzani na CCM. Kwa mdomo wake akaniambia kiukweli Lissu anatupeleka kibra na pia ametupa ujasiri na kutufumbua macho mambo mengi ya huyu Magufuli,tunachosubiri ni October ifike.Vipi tena madege 11 na madaraja hayauziki majukwaani hadi mataga mmeghafilika namna hii [emoji1787][emoji1787]
Aisee ni dhahiri CCM maji yamewafika utosini mafisadi wakubwa nyie.
Maninaa leo umekuwa mpole kama yatima,na badoImbeni tu Kama yako kwenye ilani zenu Kama hayamo hamuitendei haki ikani yenu ili Watu waijue ilani ya chama chenu hayo yako kwenye ilani ya CCM kwenu Hakuna SGR flyover Wala Ndege!!!
Upinzani Tanzania hamjawahi andaa bajeti mbadala huwa mna vihotuba tu vya kuponda bajeti ya serikali .Hiyo Sio bajeti ya Upinzani.Tena bungeni ccm huwa wanaichana-chana bajeti mbadala wakati wakiwa wanatoa michango yao na Spika Ndugai akichekelea, leo CCM hawa-hawa wametandikwa spana za maana na Lissu hadi wanamlilia Bashiru atafute ilani ya Chadema na kuiba sera na kuzifanyia kazi muda huu wa uchaguzi ili kuwapambuza wapiga kuraš¤£
Upinzani Tanzania hamjawahi andaa bajeti mbadala huwa mna vihotuba tu vya kuponda bajeti ya serikali .Hiyo Sio bajeti ya Upinzani.
Bajeti ya Upinzani unaandaa full bajeti mbadala ya ile ya serikali Sio unakuja ohh nwlaani majambazi kuuawa ukisoma bajeti mfano ya wizara ya Mambo ya ndani .Andaa bajeti full mbadala ya wizara ukiwa waziri kivuli Sio porojo ndio maana spika huwa anatupa kwenye Dustibin
Rais Tundu Lissu hahitaji ilani ya mtu mwingine yeyote.... ilani yake ni universal and all inclusive!Ilani za vyama ni mawakilisho ya mahitaji ya wananchi kupitia vyama vyao vya siasa.
Ofisi ya Rais na Waziri Mkuu chukueni ilani za vyama vyote vya siasa chukueni humo yale yanayoonekana Yana mantiki na yawezekanayo kufanyiwa kazi haraka yafanyiwe.
Wapeni wakuu wa Idara na Taasisi husika wayafanyie kazi Yale ambayo yako ndani ya uwezo wao yasisubiri hadi uchaguzi mkuu upite.
Ivi sera ya ccm ni Nini??Ilani za vyama ni mawakilisho ya mahitaji ya wananchi kupitia vyama vyao vya siasa.
Ofisi ya Rais na Waziri Mkuu chukueni ilani za vyama vyote vya siasa chukueni humo yale yanayoonekana Yana mantiki na yawezekanayo kufanyiwa kazi haraka yafanyiwe.
Wapeni wakuu wa Idara na Taasisi husika wayafanyie kazi Yale ambayo yako ndani ya uwezo wao yasisubiri hadi uchaguzi mkuu upite.
Ndiyo main wanaitamani waibadilishe jina iwe yao.Hata ilani ya Chadema pia?