Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

Wadau naomba kuuliza kwenye ku attach cheti cha chuo unaweka Transcript ya matokeo au Cheti cha chuo
 
Ngoja tuwatupie vijana wetu wajaribu hizi nafasi...
 
Hadi kwenye mfumo wame set umri kulingana na Elimu Yako .. diploma kuanzia 18 Hadi 25, ukizidi hapo system inakataa, degree ni kuanzia 18 Hadi 30 ukizidi hapo inakataa.. tofauti na zamani kwamba ni wote bila kuangalia Elimu utakayoitumia kuanzia 18 Hadi 30
 
Washenzi
 
Kiembe samaki hamjambo
 


Sijui lengo lao hasa ni nini? Sidhani kama lengo ni kupunguza wimbi la Ajira.. sbabu vijana wapo mtaani hawana Ajira muda mrefu ila vigezo wanavyo wapo ndani ya 30 hasa wa diploma .


Kuna wale JWTZ wamechezea mbavu wanakuja uhamiaji wanaambiwa umri
 
Kuhakiki kivip
Wewe hata kuhakiki hujui halafu unaomba kazi huko huoni unaenda kufanya madudu nyinyi ndio mmejazana kule mnachelewesha michakato na jamaa wanawataka nyinyi mabogus
 
Wewe hata kuhakiki hujui halafu unaomba kazi huko huoni unaenda kufanya madudu nyinyi ndio mmejazana kule mnachelewesha michakato na jamaa wanawataka nyinyi mabogus
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Sawa Bro mim Bogus ila nmeuliza tuu
 
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„ Sawa Bro mim Bogus ila nmeuliza tuu
Umeuliza nini hapo nyinyi ndio mmejazana kule ni mwendo wa Madudu mfululizo mnafanya kazi kwa kujivuta pumbavu, hao Mbuzi wa Bibi kizee wanabana shenzi zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…