Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Mbna bungeni walitoa hicho kigezo?Kam hujapita jkt Nd bas ten Yan hairuhusu kuendelea step nyengn bila kujaz hapo upuuz kwel
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbna bungeni walitoa hicho kigezo?Kam hujapita jkt Nd bas ten Yan hairuhusu kuendelea step nyengn bila kujaz hapo upuuz kwel
Sio kweli mbona wengine imekubaliKam hujapita jkt Nd bas ten Yan hairuhusu kuendelea step nyengn bila kujaz hapo upuuz kwel
Wapi huko mkuuDah huku kwetu wengine mtandao hausomi vzr yni huwezi kuapply mpaka muda huu
Kuna mwenzangu yupo dar mm nipo zenji kila siku mtandao ni holaaa ukishalogin tu hmna kituWapi huko mkuu
Kwamba ukilogin inakuwa haionyeshi kitu hata mojaKuna mwenzangu yupo dar mm nipo zenji kila siku mtandao ni holaaa ukishalogin tu hmna kitu
Ndio ni kweupe peeeeKwamba ukilogin inakuwa haionyeshi kitu hata moja
Jaribu kuiweka hiyo website kwenye desktop mode.Ndio ni kweupe peeee
Lakini kukoment jf mtandao unasomaDah huku kwetu wengine mtandao hausomi vzr yni huwezi kuapply mpaka muda huu
Kamdomo kamdomoLakini kukoment jf mtandao unasoma
Kwamba unakwama wapi mkuu?Kama wameshindwa kutengeneza system za kueleweka ni bora warudishe tu kuomba maombi kwa posta yaani stationery zoote watu wanatapatapa.bila msaada dah
Wee Mzenji, ajira za Bara zinakuhusu nn? Usubiri za kwenu huko.Mimi ni mdau wa jamii forum kutoka kiembe samaki unguja zanzibar nina ombi juu ya idara ya uhamiaji tanzania kuhusu ombi la kazi lililotolewa November 29,2024 nilikuwa naombi kuhusu vigezo vilivotolewa na idara iyo kama kigezo cha umri na kigezo cha elimu kwamba Kuna changamoto tulionayo Kuna baadhi ya waombaji washamaliza stashahada taaluma zao Lakini kutoka na muda wa kuchelewesha kutoka kwa vyeti vyao kutoka mavyuoni walivosoma watapelekea kukosa izo nafasi za kujiunga na jeshi la uhamiaji kwahiyo ushauri wangu waturuhusu idara ya uhamiaji tanzania kutumia kama utambulisho kutoka vyuoni ili utusaidie kufanya maombi mpaka muda wa kutolewa vyeti tutaambatanisha na kufikisha sehemu husika katika idara iyo.,ahsanteni sana jamii forum natumai mtanisaidia kufikisha haya maombi yanguView attachment 3168200
Mbona wengine fresh tuKama wameshindwa kutengeneza system za kueleweka ni bora warudishe tu kuomba maombi kwa posta yaani stationery zoote watu wanatapatapa.bila msaada dah
Tafuta mchongo uende ulayaVyeti vipo shida umri 35 nafanya kazi ya kijinga sana nimeishia form six kama mbowe.maisha magumu jamani nipeni makonekisheni hata ya kufua nguo zenu nipate kula