Ofisi ya uhamiaji watangaza nafasi mpya za kazi, November 2024

Umri ndio tatizo yan delay ya miaka mi2 ndo nishindwe kuajiriwa ther mist be away...!!!
 
hivi wakuu vyeti vinahakikiwa chuoni au kwa mwanasheria?
Maana tangazo linasema kuhakiki cheti kwenye chuo husika.
 
Kama wameshindwa kutengeneza system za kueleweka ni bora warudishe tu kuomba maombi kwa posta yaani stationery zoote watu wanatapatapa.bila msaada dah
 
Wee Mzenji, ajira za Bara zinakuhusu nn? Usubiri za kwenu huko.
 
Yeyote anayeshindwa kukamilisha maombi nicheki inbox nikusaidie.
 
Vyeti vipo shida umri 35 nafanya kazi ya kijinga sana nimeishia form six kama mbowe.maisha magumu jamani nipeni makonekisheni hata ya kufua nguo zenu nipate kula
Tafuta mchongo uende ulaya
 
jamani naomba majibu maombi haya ya ajira woite munatumia anuwani moja hata mukiwa zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…