Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unafiki ni kusema shost za mwanamke wanamtafutia danga, wakati nawe unamwambia msela wako huyo dem akija mwambie aje na rafiki akeHahahahaha unafiki ukoje?😅
kimeumanaaaaaaaa😅😅😅😅😅😅😅😅 sema kimue manaa
Pole sana Mwamba!Hahahah hebu cheki hii mkeo anavyoomba ruhusa ili akajinafasi na mjuba Co-worker ambaye wana crush ili wakalane vizuri!
We unaagwa anaenda kwenye birthday ya Millen amepitiwa home na Suzy kumbe wameachania Samaki Samaki. Suzy kamuacha mkeo na Alfred huku Suzy naye Kaenda kwa Kelvin amekuwa picked Mlimani kapelekwa kwenye apartment Masaki huko.
Hawa mashosti wakirudi saa 11 home full kulegea yani we umelala unajua wife katoka birthday kwa rafiki yao Millen kumbe katoka kuuza utu Lion Hotel! Unapewa unapiga unalala bila kujua A,B wala C!
Kuweni makini sana na wake zenu wenye mashosti. Theres alot going between huo ushosti! Ni muungano flani wa kufichiana maovu.
Nimelipenda bureMwanaume uwe mkali mkali kidogo jamani, hata me nakua najua kabisa nikifanya kitu flan mme wangu atanimeza mzima mzima.. msituachie sana kuna muda bila command hatuendi, unaongea neno moja tu hurudii, sitaki utoke, sitaki utoke no discussion..
Duh!Hatujawazidi wanaume; na tunavyopenda kuitwa "mke wetu/shemela", basi bichwa hilo. Kumbe wenzio wanajua mwenzao anaosha tu rungu kwako
Mungu atusaidie kulinda hiz ndoa .Hapo ndiyo mwanzo zile taarifa kamkatakata mke wake na kumchoma moto.Hahahah hebu cheki hii mkeo anavyoomba ruhusa ili akajinafasi na mjuba Co-worker ambaye wana crush ili wakalane vizuri!
We unaagwa anaenda kwenye birthday ya Millen amepitiwa home na Suzy kumbe wameachania Samaki Samaki. Suzy kamuacha mkeo na Alfred huku Suzy naye Kaenda kwa Kelvin amekuwa picked Mlimani kapelekwa kwenye apartment Masaki huko.
Hawa mashosti wakirudi saa 11 home full kulegea yani we umelala unajua wife katoka birthday kwa rafiki yao Millen kumbe katoka kuuza utu Lion Hotel! Unapewa unapiga unalala bila kujua A,B wala C!
Kuweni makini sana na wake zenu wenye mashosti. Theres alot going between huo ushosti! Ni muungano flani wa kufichiana maovu.
Umeongea vyema sana Mkuu!!First of all as a man lazima uwe mtu wa kuchunguza not everything but unapoingiwa na mashaka chunguza usiache wengi husema utajiumiza kumchunguza mkeo But kwaajili ya afya yako na ukuaji wa watoto its far better.
2. Wanawake wazinzi hawawezi kukupa papuchi the night wametoka kutoa utu kwasababu hata mimi lazima najua the size of that hole and the difference of me sliding In ....sio putwi pa Najua exactly kuna mshenzi alishafungua hii njia Leo.
3. Hivi nyie vijana mbona mwaendekeza ujinga sijui mambo ya birthday sijui Gala party sijui vigodoro na mnawaruhusu wake zenu wa ndoa kwenda kweli naomba niwaulize swali hivi ww kipindi unakua mpka sasa ulishafanyiwa birthday na wazazi wako kama ni kweli basi ni kizazi cha JK ila wakurungwa wazee wa Laizoni sikuwahi huu ujinga ukifanywa hata kwenye familia zenye hela.
NB: kwenye western tradition tusichukue yote mengine tuwaachie...
Kumpiga mkeo wala sio solution,hadi kufikia huko, ujue wewe mwanaume ndio una shidaanirudia saa 11 nakupiga mpka nakutengua .
Na nilivyo misogynist na sadistic utajuta
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hajakukuta weweKumpiga mkeo wala sio solution,hadi kufikia huko, ujue wewe mwanaume ndio una shida
Kuna mmoja aliwahi kujilengesha nikampiga nyama-rungu haswa, akaja kufunguka mambo mengi sana, ikiwemo hata yeye kusimuliwa jinsi navyompiga pipe shostie yake.Hahahahahah dawa ni kuwatafuna hao ma shem darling
Hapana mkuu, siyo hapendwi kubanwa anakutest kama ni boya, ukilegeza utawala, anakupanda kichwani anavyotaka. Kwa hiyo sometime inabidi uwe na msimamo kama JeiPiem (R.I.P)Wanawake wa sikuhizi hawataki kubanwa banwa kwenye uhusiano! Anatamani awe na uhuru wa kuchopekwa na wahuni ila still awe na title ya mpenzi kwako!😅
Ukimbana bana ataanza kusema hujiamini kabisa😅
Acha kabisa, halafu wanakuwaga wanaoneana wivu lowkey, ile wanavyokuwa wanahadithiana treatment wanazopata kwa wapenzi wao.Hahahahah kakuuzia file kabisa😅