Ogopa sana mpenzi mwenye mashosti

Ogopa sana mpenzi mwenye mashosti

Mwanamke kurudi alfajiri ni kitu ambacho kama mwanaume siwezi kubaliana nacho. Kuna vitu kama hivi nikiona mwanamke anavyo, ni bora akatafute mwanaume atakayekubaliana navyo, maana kwa upande wangu sitaweza kuvumilia.

Kwa upande mwingine pia tuepukane na kudate au kuoa machangudoa. Wanawake decent wapo wengi tu.
Wanawake wa sikuhizi hawataki kubanwa banwa kwenye uhusiano! Anatamani awe na uhuru wa kuchopekwa na wahuni ila still awe na title ya mpenzi kwako!😅

Ukimbana bana ataanza kusema hujiamini kabisa😅
 
Mimi naona point ya mleta mada hapo sio hiyo saa kumi na moja asubuhi, ni hayo marafiki/ mashosti. Kwamba ukiwa unamruhusu mkeo kutoka na hao marafiki na ikatokea wakafika huko mbele wakabadilisha mipango, mke ataliwa tu hata akirudi saa tatu au saa nne. Imagine wametoka saa kumi na mbili home badala ya kwenda kwenye birthday ambayo kimsingi haipo akapelekwa Lion Hotel Sinza then akarudishwa na mashosti zake saa mbili usiku. Akiwa ameshaliwa na wewe utaamini kabisa kwamba walienda kukata keki ya rafiki yao, kula, kunywa na kumwimbia happy birthday to you....kumbe katoka kupigwa mashine kisawasawa.
Exactly, we ndio umeielewa dhima ya hii topic kabisa ila watu wamekuwa swayed na muda wa mke kurudi!😅

Hakikisha mkeo hana mashosti shosti wake uwe wewe mkuu! Thats how you protect the queen.
 
Extrovert Mke hawezi aga anaenda birthday halafu anarudi saa 11 alfajiri halafu mwanaume upo upo tu! Huyu anakua sio mke bali ni mwanaume mwenzako! Akiaga anaenda birthday kuanzia saa tisa mchana hadi saa kumi na mbili jioni,walau kidogo inaweza leta ukweli,japokua pia na penyewe pana taswiswi,huwezi niacha nyumbani na watoto,then unaenda kwenye birthday!

Kitu kingine,hawa wake zetu,kuna jambo akisema unamkazia tu,hata kama anaenda salimia mgonjwa,mwambie apige simu,au muende wote hasa siku hizi za weekend,hua wanaweza ua hata mtu,kisa anaomba ruhusa kwenda kuliwa! Bora sisi,hua tunachepuka wakati wa mida ya Kazi,na jioni narudi home mapema tu,nakula na wanangu,tunalala wote pamoja!
Hahahahah anaaga anaenda besdei tu ukimkatalia anamaindi anaanza kusema hujiamini😅! Ukilazimisha muende wote atajidai kule wanaenda na wanawake wenzie tu sasa wewe mwanaume unataka kwenda ili iwaje unaboa. Bora asiende tu!

Ndio silaha kubwa ya wanawake wazinzi😅
 
Hua napata hasira sana kuona mwanaume anakua nyumbu kiasi hiki. Au wewe mwanaume ndio unakua umeolewa??
😅😅😅😅😅😅😅kuna majentromeni kama akina Moze Iyobo ndio hufanyaga hizi mambo!
 
Hahahahhahaha hapa ndio ugomvi ulipo😅 kwanini umuhonge hela ambazo ulitakiwa unipe mimi😅😅😅???

Hii ndio akili yao wake zenu!
Kutokiwa na shukran tuu. Unakuta mwanaume anatimiza wajibu wake vizuri kabisa, huduma zote nyumbani zinapatikana lakini ukichepuka kiduchu tuu tayari kelele kama mtoto mdogo. Ndoa zenyewe zilivuokuwa za ngama siku hizi, wanatakiwa wawe na moyo wa kuridhika
 
Hatujawazidi wanaume; na tunavyopenda kuitwa "mke wetu/shemela", basi bichwa hilo. Kumbe wenzio wanajua mwenzao anaosha tu rungu kwako
Hahahahah wahuni sio watu, eti shemela huwa ndio maana tunakupenda yani mamisosi kama hivi kweli braza anafaidi af hii juisi ya leo tamu sana shemeji...

kumbe dah shemeji yao wa kweli wanamjua😅 kwako wanainjoy misosi tu! Mungu aturehemu mashemeji
 
Kutokiwa na shukran tuu. Unakuta mwanaume anatimiza wajibu wake vizuri kabisa, huduma zote nyumbani zinapatikana lakini ukichepuka kiduchu tuu tayari kelele kama mtoto mdogo. Ndoa zenyewe zilivuokuwa za ngama siku hizi, wanatakiwa wawe na moyo wa kuridhika
Hahahahahah utaskia we umekosa nini kwangu kutwa kuhangaika tu😅
Ila ikifika mida ya ala za roho haishi hizi kauli..,

”Mie nimechoka bana”...”Ntakupa badae acha kwanza tulale kidogo”...”Kwani ni chakula hiki kwamba ukikosa utakufa”...”Mi sinipo jamani ntakupa asubuhi”

Wanawake zetu hebu mtuache jamani, raha ya mbususu iliwe by suprise😅
 
Mimi naona point ya mleta mada hapo sio hiyo saa kumi na moja asubuhi, ni hayo marafiki/ mashosti. Kwamba ukiwa unamruhusu mkeo kutoka na hao marafiki na ikatokea wakafika huko mbele wakabadilisha mipango, mke ataliwa tu hata akirudi saa tatu au saa nne. Imagine wametoka saa kumi na mbili home badala ya kwenda kwenye birthday ambayo kimsingi haipo akapelekwa Lion Hotel Sinza then akarudishwa na mashosti zake saa mbili usiku. Akiwa ameshaliwa na wewe utaamini kabisa kwamba walienda kukata keki ya rafiki yao, kula, kunywa na kumwimbia happy birthday to you....kumbe katoka kupigwa mashine kisawasawa.
Suala la Kuliwa, hata kama hana Mashost, analiwa .


Kuliwa wanaliwa, inshu ni NIDHAM, NA AJUE YEYE NI MKE ,MAMA, IVO LAZIMA AWAJIBIKE KATIKA YOTE YANAYOMUHITAJI KAMA MWANAMKE.


ukianza kuhofia kuliwa, basi Bora usioe tu, maana waliwa makazin muda wa lunch,muda wa kutoka, wanaliwa ukiwa umesafiri, wanaliwa unapoenda job.
 
Wee unaongelea warembo wa mjini au mke wa mtu?[emoji848]

Yaan MKE wa mtu atoke birthday usiku kisha aunganishe bar?[emoji848]

Au mi ndo sijakuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama Mkeo kasoma Olympio kisha Mbezi High. ama Baobab halafu chuo IFM ama UDSM sini mrembo wa town tu?

Utafananisha na wenzetu waliosomea Swilla Sec.?
 
Wanawake wa sikuhizi hawataki kubanwa banwa kwenye uhusiano! Anatamani awe na uhuru wa kuchopekwa na wahuni ila still awe na title ya mpenzi kwako![emoji28]

Ukimbana bana ataanza kusema hujiamini kabisa[emoji28]
Mahusiano always yanaendeshwa na control ya mwanaume.

Ukiruhusu mwanamke kutake control kwa kuogopa atakufikiriaje utapata shida sana mkuu[emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahah utaskia we umekosa nini kwangu kutwa kuhangaika tu😅
Ila ikifika mida ya ala za roho haishi hizi kauli..,

”Mie nimechoka bana”...”Ntakupa badae acha kwanza tulale kidogo”...”Kwani ni chakula hiki kwamba ukikosa utakufa”...”Mi sinipo jamani ntakupa asubuhi”

Wanawake zetu hebu mtuache jamani, raha ya mbususu iliwe by suprise😅
HAkuna mwanamke mpumbafu duniani kama yule anayemnyima muwewe mbususu....wacha mwanaiwane tupigage diversion tuu hamna namna cha msingi hakikisha huduma zote ndani ya nyumba wanazipata.

Alafu hawa bwana wasitutishe walivyokuwa wagwadu na kutumia hela zao🤣🤣🤣🤣🤣wee chepuka na nakwambia hataondoka hapo nyumbani as long as anapata huduma na umuulizi kuhusu hela yake....atavumilia tuu
 
Mahusiano always yanaendeshwa na control ya mwanaume.

Ukiruhusu mwanamke kutake control kwa kuogopa atakufikiriaje utapata shida sana mkuu[emoji4]


Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu ila sio wanaume wote wana Guts! Ukiweza kujisimamia ukamuonesha mkeo kuwa hata asipokuwepo huathiriki hapo ndipo utapojijengea heshima kubwa!
 
Back
Top Bottom