Ogopa sana mpenzi mwenye mashosti

Ogopa sana mpenzi mwenye mashosti

Hahahah hebu cheki hii mkeo anavyoomba ruhusa ili akajinafasi na mjuba Co-worker ambaye wana crush ili wakalane vizuri!

We unaagwa anaenda kwenye birthday ya Millen amepitiwa home na Suzy kumbe wameachania Samaki Samaki. Suzy kamuacha mkeo na Alfred huku Suzy naye Kaunda kwa Kelvin amekuwa picked Mlimani kapelekwa kwenye apartment Masaki huko.

Hawa mashosti wakirudi saa 11 home full kulegea yani we umelala unajua wife katoka birthday kwa rafiki yao Millen kumbe katoka kuuza utu Lion Hotel! Unapewa unapiga unalala bila kujua A,B wala C!

Kuweni makini sana na wake zenu wenye mashosti. Theres alot going between huo ushosti! Ni muungano flani wa kufichiana maovu.

Extrovert
 
Mkuu polepole sasa hivi kuna mauaji yanaendelea huko mitaan,sijui mfanyakazi wa milembe tena tena pale ndugu zetu wanajiandaa kwenda kaskazi kama kawaida kuna yule sijui alikuwa anauza porkuu na mkewe alikuwa maarufu na wenyewe ndo hivyo tena
Basi pole pole watu hawatanii siku hizi[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Hilo ni kweli kabisa mkuu.[emoji4]

Nyongeza ya Hilo,
Sema na wee unazingua mkuu,

Mkeo anarudije saa 11 alfajiri aisee, iyo birthday gani inafanyika usiku kucha?[emoji4]
Mkuu hujui mambo ya warembo hawa wa mjini. Si wanaunganisha na bar wakitoka bethdei au we sio jentromeni mwenzetu?
 
Nyoo...hizi somjo tuu....inavyowaumaga kujua kuwa jamaa kaenda kufuja hela kwa mbususu nyingine mnakuwa wakali. Kinacho waumaga nyie sio kwamba jamaa kala mbususu ila kwamba huyo mrimbwende mwengine kahudumiwa na kupewa mihela
Hahahahhahaha hapa ndio ugomvi ulipo😅 kwanini umuhonge hela ambazo ulitakiwa unipe mimi😅😅😅???

Hii ndio akili yao wake zenu!
 
Akifanya hivyo basi nitaridhika tu😂😂 mh ila sidhani mimi huyu😂😂😂😂😂😂, uwe na asubuhi njema black beauty
Utaridhika na kimoko hafifu namna hio😂 hapo sindio kesi inaanzia mbona hatujanjunju week nzima ila umetoa vitone tu mbona linakuwaga jingi 😅
 
First of all as a man lazima uwe mtu wa kuchunguza not everything but unapoingiwa na mashaka chunguza usiache wengi husema utajiumiza kumchunguza mkeo But kwaajili ya afya yako na ukuaji wa watoto its far better.

2. Wanawake wazinzi hawawezi kukupa papuchi the night wametoka kutoa utu kwasababu hata mimi lazima najua the size of that hole and the difference of me sliding In ....sio putwi pa Najua exactly kuna mshenzi alishafungua hii njia Leo.

3. Hivi nyie vijana mbona mwaendekeza ujinga sijui mambo ya birthday sijui Gala party sijui vigodoro na mnawaruhusu wake zenu wa ndoa kwenda kweli naomba niwaulize swali hivi ww kipindi unakua mpka sasa ulishafanyiwa birthday na wazazi wako kama ni kweli basi ni kizazi cha JK ila wakurungwa wazee wa Laizoni sikuwahi huu ujinga ukifanywa hata kwenye familia zenye hela.

NB: kwenye western tradition tusichukue yote mengine tuwaachie...
Hahahahah wana ile ankwambia ntakupa kesho bebi😅 ukilazimisha lazma uibuke na shahawa za mwizi wako😅 huko ndio maana wanagomaga!

Atasingizia hata kichwa kuuma ila wanawake hawa Mungu aturehemu tu. Hujuma zao ni kubwa sana.
 
Duuhh Watu mnauzungu aiseeee, huyo ni Wife ? Au demu tu?

Yaan Wife, akuache wewe au wewe na watoto kisa BETHIDEI ? Na arudi 11??

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi naona point ya mleta mada hapo sio hiyo saa kumi na moja asubuhi, ni hayo marafiki/ mashosti. Kwamba ukiwa unamruhusu mkeo kutoka na hao marafiki na ikatokea wakafika huko mbele wakabadilisha mipango, mke ataliwa tu hata akirudi saa tatu au saa nne. Imagine wametoka saa kumi na mbili home badala ya kwenda kwenye birthday ambayo kimsingi haipo akapelekwa Lion Hotel Sinza then akarudishwa na mashosti zake saa mbili usiku. Akiwa ameshaliwa na wewe utaamini kabisa kwamba walienda kukata keki ya rafiki yao, kula, kunywa na kumwimbia happy birthday to you....kumbe katoka kupigwa mashine kisawasawa.
 
Back
Top Bottom