Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

Ukosefu wa ajira kwa vijana na kashindwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi ni moja ya sera zikizoshindwa kutekelezwa kwa awamu hii.

hatujasahau mauaji ya watanzania wenzetu wengine wametekwa na kupigwa,kupotea ,kufungia uhuru wa vyombo vya habari. Hii si aina ya uongozi tunaoutaka Tanzania. Maendeleo hata kikwete alileta kama barabara alijenga za lami,shule za sekondari kila kata nchi hii alikuwa Kikwete,ujenzi wa vyuo vikuu na mengine mengi tu.

Kwahiyo ununuzi wa ndege wa magufuli na ujenzi wa sgr isiwe sababu ya kutandika watu risasi. Wananchi tuamue viongozi tunaowataka .
Hakuna cha maana kilichofanyika zaidi ya sanaa na maigizo
 
Kwako huyo Pascal hata akija kujisaidia hadharani Kariakoo utakuja humu kusema, Pascal hawezi kunya mavi ukiangalia vizuri utaelewa.
Pasco ametumia uhuru wake kuweka hoja hapa! Sasa kwa akili zenu hizi za kutaka kila mtu anaekuja hapa aje na hoja za kumponda Magufuli na kumsifia Lisu ndio maana mnamuita ana njaa!

Ndio maana nasema mkitoka nje ya hilo box lenu la chadema mtamuelewa pasco
 
Paskali usipoteuliwa baraza lijalo (kama mtashinda [emoji23][emoji23]), jitathmini sana. Yale maswali yako kwenye press conference ya kwanza ya JPM japo yalikuwa ya msingi na ulijipambanua kutofautiana na makanjanja wengine, yalikutia doa. Na unajua fika kuwa blaza ni mtu wa visasi, so play smart this time. Uwe unamtumia mtumia maua maua kwenye WhatsApp awe anakukumbuka kumbuka.

Nashindwa kukuelewa unapozungumzia empty promises. Kwamba TAL akishinda hatatekeleza ahadi zake au? Au unamaanisha alitakiwa awe amefanya nini kwanza. Ina maana una mashaka na uwezo wa TAL au ni ile tu subjectivity kwasababu sasa hivi wewe ni kada lazima upige debe. Kwasababu wewe kama mwanahabari na chombo chako hampo huru, hiyo hali unaionaje?

Ukitaka tena credibility yako irudi kwa sasa, itisha mjadala/mdahalo kwa wagombea wote ili tuwasikie watatufanyia nini tukiwapa ridhaa.
 
Paskal kwanza hadi sekunde hii wewe huna hadhi ya kuwa nwanahabari. Ni kada wewe. Pili nadhani ungejikita kudai uwanja tambarare kwanza ndipo uingie kwenye hayo matanjibo yako. Zaidi ya hapo unatufokea tu
Abebe huu ushauri.
 
Ukweli mchungu kwa chadema &Co., Kwanza, Kanda ya Ziwa inaaamua raisi wa Tanzania sababu ya idadi ya watu (Tundu lisu hata Mwanza hakutia mguu alipitiliza, Shy walimpotezea), pili Waislamu hawawezi kuipigia kura chadema na wako wengi ambao wataipigia kura CCM, tatu chadema sababu ya ubinafsi hawawezi kuungana na upinzani wengine, hivyo hata hizo kura kidogo za upinzani zitagawanywa pia, CCM itashinda kwa > 85% kama vile Mzee Mkapa alivyoshinda awamu ya pili, ...

Ccm huwa haishindi, ila ikitangazwa kushinda kwa 85% itakuwa kama imeshindwa. Kama NEC tayari wana idadi ya wapiga kura wa kubumba, unatarajia wataingaze ccm chini ya 95%? Uliwahi kuona wapi idadi ya wananchi kwenye nchi yoyote watu wazima yaani 18 yrs+, kuwa sawa na walio chini yake? Watanzania tuko 59m+, nusu yake ni 29m+, ambao kwa mujibu wa tume isiyo huru ya uchaguzi, ndio idadi ya wapiga kura wa sasa. Inawezekana vipi nusu yote ya watanzania kuwa wamejiandikisha kupiga kura? Tulishaamka zamani. Kawaambieni tume ya uchaguzi waweke hiyo idadi yao ya kupika kwenye tovuti yao, lakini tunajua wana matokeo ya kupika tayari.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushoga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Sahihisho namba 1. JPM hajajenga Barabara hata moja, ila Serikali ya Wananchi inayoongozwa na JPM ndiyo imejenga!
Sahihisho namba 2: Rais Obama alishinda kura za Wamarekani kwa ahadi,na akaboresha mara dufu uchumi ulioharibiwa na aliyekuwa nacho cha kuonyesha. Huo ni mfano tosha kwa nini siyo lazima kuchagua aliyenacho.
Mr. Mayala, unakwama wapi?
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushoga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Zile kauli zako za CCM kutawala milele kumbe zilikuwa za ukada na si kutoka kwa free thinker!!

Hizi mada uwaachie free thinkers wewe kaa tu upande wa akina Barbarosa na jingalao ili ujitendee haki!
 
Kaka Pasco hata huyo Magu aliingia kwakutumia empty promises...ndio akafanya au unataka kusema hayo aliyoyafanya Magu aliyafanya akiwa mtu wakawaida na si Rais?
Wacha kujitoa ufahamu bhana...anayo yasema LISSU atuwezi kumuhukumu nayo tukaacha kumchagua eti kisa Ni ahadi tu...wacha tumpe Ikulu tuone atatufanyia nini....!
Paschal alinyimwa vibali vingi sana baada ya kumuuliza swali bwana mkubwa pale Ikulu 2016, walimbana haswa so hii ni ahadi aliyoitoa bungeni kwa kamati ya Ndugai kumsifia baba Makonda, ndiyo maana sasahivi ameanza kupewa vibali vya kuripoti matukio kama mwanzo.
 
Pasco ametumia uhuru wake kuweka hoja hapa! Sasa kwa akili zenu hizi za kutaka kila mtu anaekuja hapa aje na hoja za kumponda Magufuli na kumsifia Lisu ndio maana mnamuita ana njaa!

Ndio maana nasema mkitoka nje ya hilo box lenu la chadema mtamuelewa pasco
Sisi hatumkatazi kuweka mawazo yake hapa

Tunachokataa ni kutulazimisha wanaJF tuone anachosema yuko Neutral, mtabiri, msema kweli, whatever you name it

Wakati ni kada la chama cha mbogamboga lililoko mawindoni Kwasababu ya njaaa.
 
Ccm ikishinda kwa 85% itakuwa kama imeshindwa. Kama NEC tayari wana idadi ya wapiga kura wa kubumba, unatarajia wataingaze ccm chini ya 95%? Uliwahi kuona wapi idadi ya wananchi kwenye nchi yoyote watu wazima yaani 18 yrs+, kuwa sawa na walio chini yake? Watanzania tuko 59m+, nusu yake ni 29m+, ambao kwa mujibu wa tume isiyo huru ya uchaguzi, ndio idadi ya wapiga kura wa sasa. Inawezekana vipi nusu yote ya watanzania kuwa wamejiandikisha kupiga kura? Tulishaamka zamani. Kawaambieni tume ya uchaguzi waweke hiyo idadi yao ya kupika kwenye tovuti yao, lakini tunajua wana matokeo ya kupika tayari.


Watanzania tumefikia milioni 59? Hizo takwimu umezitoa wapi?
 
Napenda kuuliza wakati Magufuli anagombea 2015 alikuwa na nini cha kuonyesha?.
Ingawa ulichoandika hakina maana ila kwa hapa nikuelewa vizuri.
20200824_084259.jpg
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo October 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushoga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
KWA ASILI YA MPINZANI WA TANZANIA, HAPA ATAKUJA KUPOPOMEA TU NA WALA SI KUSOMA NA KUELEWA ULICHOKICHAMBUA (ANA MENTALITY YA KUPINGA KILA KITU, AND WE GET USED TO THEM). KAMA MGOMBEA ANADIRIKI KUFANANISHA BWAWA LA MWL. NYERERE NA MTERA, KUNA KAZI PALE? UTASAMAJE TANZANIA KUNA KORONA WATU WANAKUFA OVYO NA KUZIKWA USIKU NA HALI SISI WANANCHI TUNAJUA HALI HALISI VYO? HAKUNA CHA SOCIAL DISTANCING NA HALI WEWE UNAYESEMA HAUTEKELEZI UNACHOKISEMA? THEY REJECT EACH AND EVERYTHING, AND I DARE TO CALL THEM UNOBJECTIVE POLITICIANS. NA KAMA WAKIENDA NA NAMNA HII YA KAMPENI, KUFIKISHA HATA 10% YA KURA, ITAKUWA KAZI MNO.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushoga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Hizo elimu bure hazijaanza leo, zilikuwepo kipindi cha 1974 na nyakati za EFA

Miundombinu ilianza kujengwa toka ukoloni, by the way, anajenga kwa kodi zetu 'not his solely funds'
 
Ukumbuke hata huyo Magufuli nae wakati anaanza hakuwa na chochote cha kuwaonesha wananchi, miaka mitano ukijumlisha na kodi za wananchi ndio vimempa hicho kiburi unachoona wewe ni kitu kikubwa sana, kwangu hilo ni jukumu lake provided alijitoa kuwatumikia watanzania kwa kutumia kodi zao.

Pasko umeshapoteza ile sifa ya mwanzo uliyojitambulisha nayo "hauna chama" sasa hivi wewe hauna tofauti na kina bia yetu na wenzake.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushoga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali

Hata ww wakati unaanza uandishi hakuwa na kitu cha kuonesha Ila Watu walikupa nafasi
 
Watanzania tumefikia milioni 59? Hizo takwimu umezitoa wapi?

Ww utakuwa ni mzee ndio maana uko so outdated. Ingia google uone taarifa latest za idadi ya watu Tanzania. Hii ndio sababu unaleta tathmini za kizee kwenye uchaguzi huu. Huo mchanganuo nimekupa sijakosea, na nina uhakika moja kwa moja kuwa tayari Magufuli ameiagiza tume imtangaze kwa 90%+ kutoka hiyo figure aliyoiagiza tume ipike. Kibaya zaidi tume nayo imetii maagizo yake, bila kutumia akili na bila kujua kizazi hiki kimebadilika na kinajua ukweli.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushoga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Kama milioni50 kila Kijiji,Tanzania ya viwanda na Tanzania kuwa Kama ulaya baada ya awamu iliyopita kumpa maisha Bora kila mtanzania
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushoga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali

Kwenye uzi wako nimeelewa zaidi hapo uliposema Gwajima ana sifa za ushoga. Huko kwingine ni repetition ya vibwagizo vya kada yoyote wa ccm, awe amesoma au hajasoma.
 
Back
Top Bottom