Areus
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 337
- 417
Huwezi kuwa mchambuzi huru wakati ukiwa na upande katika sehemu au pande unazochambua. Kuna upande wa Vissible tangible deliverable( CCM) na Promises(Upinzani).Umedeclare interest wewe ni kada wa CCM sijui km uchamabuzi wako haupo biased. Hapo ndo tatizo, Kazi za kiuchambuzi, political analysis tuwaachie ambao Ni non alligned. Sio Kada wa chadema au CCM aje hapa afanye analysis ya kisiasa halafu tutegemee kupata hoja za msingi zisizoegemea upande wake.
Nilikuwa nafuatilia kongamano ambalo liliandaliwa Jana Na TBC lililohusu vijana lililokuwa na mada isemayo "Matarajio ya vijana na uongozi wa baade" km sijakosea mada, lakn maudhui nzima ilikuwa hivyo, mgeni rasmi alikuwa Spika Mstaafu wa Bunge la JMT Mama Anna Makinda. Wakati anatoa hotuba yake kuhusu mada hiyo alisema tatizo linalotukumba vijana Ni inconsistence yaani hujui unataka kuwa Nani na hoby yako Ni Nini hasa katika kulijenga taifa lako. Akaeleza namna yeye alivyoingia kwenye siasa na Baadae kuwa Spika na Hadi amestaafu Kazi ya siasa akiwa bungeni. Alisema yy professional Ni Auditor lkn alipiachana na professional yake na kuingia kwenye siasa hakuwa na ndoto zingine.
Alimaanisha Nini? Km kijana inatakiwa kuwa consistence na Nini unataka kufanya. Km unaamua kuwa mwandishi Basi lisaadie Taifa kwa taaluma yako ya uandishi, na km wewe Ni mwalimu halikadhalika fanya hivyo na sio huku unafanya kidogo na huku kidogo, Baadae unakuja kuchanganya mambo na kuharibu kabisa
Kwahyo Kaka Pascal Mayalla lisaidie Taifa Hili kwa Taaluma yako ya uandishi wa habari na sio huku mwandishi wa habari na huku ni kada wa Chama Fulani. Heshima yako ya kitaaluma unashuka Sana
Nilikuwa nafuatilia kongamano ambalo liliandaliwa Jana Na TBC lililohusu vijana lililokuwa na mada isemayo "Matarajio ya vijana na uongozi wa baade" km sijakosea mada, lakn maudhui nzima ilikuwa hivyo, mgeni rasmi alikuwa Spika Mstaafu wa Bunge la JMT Mama Anna Makinda. Wakati anatoa hotuba yake kuhusu mada hiyo alisema tatizo linalotukumba vijana Ni inconsistence yaani hujui unataka kuwa Nani na hoby yako Ni Nini hasa katika kulijenga taifa lako. Akaeleza namna yeye alivyoingia kwenye siasa na Baadae kuwa Spika na Hadi amestaafu Kazi ya siasa akiwa bungeni. Alisema yy professional Ni Auditor lkn alipiachana na professional yake na kuingia kwenye siasa hakuwa na ndoto zingine.
Alimaanisha Nini? Km kijana inatakiwa kuwa consistence na Nini unataka kufanya. Km unaamua kuwa mwandishi Basi lisaadie Taifa kwa taaluma yako ya uandishi, na km wewe Ni mwalimu halikadhalika fanya hivyo na sio huku unafanya kidogo na huku kidogo, Baadae unakuja kuchanganya mambo na kuharibu kabisa
Kwahyo Kaka Pascal Mayalla lisaidie Taifa Hili kwa Taaluma yako ya uandishi wa habari na sio huku mwandishi wa habari na huku ni kada wa Chama Fulani. Heshima yako ya kitaaluma unashuka Sana