Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?

Oktoba 28 ni mashindano kati ya Reality vs Ahadi Hewa? Je, Watanzania watachagua nini kati ya visible, tangible Deliverables vs The Empty Promises?


Mkuu Pascal, sijajua lengo la thread yako. Lakini any intelligent man would know that all the "visible tangible deliverables" started with "empty promises", in line with your context.

So what are you trying to say here, that promises must be "visible tangible deliverables"? That is impossible.

A promise can never be tangible or visible, because a promise is an assurance for the fulfillment of a future undertaking. Utakuwa mwendawazimu mtu anapokuambia mwezi ujao nitakununulia shati halafu unasema liko wapi mbona silioni shati unaloniahidi kwa hiyo ahadi yako ni hewa!

As such, it is wrong for you to call a promise empty bila kumpa nafasi ya anaefanya promise muda wa kuitekeleza promise yake. How for example, uta-qualify promise ya mtu kujenga barabara kuwa ni empty kabla hujampa nafasi ya kutekeleza hiyo promise katika mazingira anayokuambia umpe ili atekeleze ahadi anayotoa? That would be lack of common sense kum-judge mtu kuwa anatoa "empty promise". You can only judge a promise kuwa "empty" baada ya mtu alieitoa kuwa na nafasi na uwezo wa kuitekeleza, na asiitekeleze.

Na it is a normal thing for a promise to be forward looking, because one can only promise something that they will do in future.

Na pia it is wrong kumlinganisha mtu amabe alisha deliver na yule anaeahidi, kwa sababu hawatakuwa katika level playing field. Anae promise anachosema ni kwamba, ukinipa madaraka na access to governments funds kama ulivyompa huyu, mimi nita deliver haya ninayokuahidi. Sasa wewe utasemaje ahadi zako ni empty kulingana na huyu ambaye amesha deliver? Kwani huyo anaeahidi alifanya ahadi zake wakati mmoja na huyo alie deliver na wote walikuwa na power na access ya funds sawa? So how do you reckon hizi nyingine kuwa empty promises ikiwa anaezitoa hajapewa nafasi sawa ya kuzitekeleza?

I agree kuna ampty promises kama mtu kusema ukinichagua I will make pigs fly. Then you can call that an empty promise, lakini vinginevyo you have to be very limited in thinking capacity kumwambia mtu anafanya empty promise kabla hujamuwezesha na kumpa muda wa kutekeleza anachoahidi ikiwa utamuwezesha, ikiwa ahadi anayotoa inatekelezeka na sio ahadi ya kufanya nguruwe waruke..

Be careful with these philosophies, you might end up tarnishing your reputation.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushenga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tumpose huyo binti tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Piga kampeni mzee japo na mimi nakupigia kampeni hebu fikiria neema ya Akili aliyokutunuku mola wako kisha itazame Tanzania, kisha rejesha kumbukumbu juu ya ujasiri na uzalendo bali kipawa alichokuwanacho mzee mayalla (rip). Hoja ya yangu ni kwamba Mh jpm ni kweli hakuna wakumzidi katika hawa wapinzani si member, Lisu, lipumba n. K bali watamzidi tu kwenye kufanya siasa.
 
Kanda ya Ziwa wanaenda na mtoto wao piga, ua garagaza, isistoshe hata kura za huruma Kanda ya Ziwa chadema haipati kwa maana Tundu Lisu katumia muda wake mwingi kumtukana na kumdhalilisha mwana wao JPM, hivyo ondoa kichwani na akilini kwako kabisa hilo, kwanza Tundu Lisu hata kwao Singida hatopata kura za kutosha, kura pekee chache Tundu lisu atakazopata ni labda za wanafunzi wa sheria tena siyo wote, huyo jamaa mmejitwisha zigo la mwiba, ...
Kanda ya ziwa wanaweza kuwa na mwanawao Mhutu?
 
Wanabodi,



By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushenga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tumpose huyo binti tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho

Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali

Kwangu mimi hizi ni kejeli na matusi, watakapo kujibu naomba uvumilie.
 
Ingekuwa ni Tangibles basis ukoloni ungeendelea mpaka Leo.Wakati Nyerere anapewa Uhuru alionyesha nn??? Haya yaliyofanyika no kazi ya serikali sio juhudi binafsi.Tangible ziko positive na negative waachieni wananchi waamue ipi kwao ina faida
 
Sahihisho namba 1. JPM hajajenga Barabara hata moja, ila Serikali ya Wananchi inayoongozwa na JPM ndiyo imejenga!
Sahihisho namba 2: Rais Obama alishinda kura za Wamarekani kwa ahadi,na akaboresha mara dufu uchumi ulioharibiwa na aliyekuwa nacho cha kuonyesha. Huo ni mfano tosha kwa nini siyo lazima kuchagua aliyenacho.
Mr. Mayala, unakwama wapi?
Safi, naona umejibu vizuri sana kwamba serikali inayoongozwa na JPM imejenga barabara, kwa hiyo JPM akiwa Kama dereva ameongoza vizuri serikali hadi barabara zikajengwa, kwa hiyo JPM hastahili pongezi kwa hilo?
 
Wakati nyerere anadai uhuru hakuwa na sera za maendeleo maana wakoloni walifanya jiulze alitoa wap sera? N kwenye mapungufu
 
Hapo kwenye ushauri waufanyie kazi, sio kupinga kila kitu bila kusema the way forward and how to implement it, mm sera za ACT nimezielewa kimtindo, coz they say, we will do this and that, kisha wanaonyesha namna gani watafanya.
Ndugu mpinzani wako anapokuonyesha mapungufu yako alafu akakuonyesha namna na njia ya kuyarekebisha huyo anakua sio mshindani wako tena bali mshauri wako.
 
UPUUZI MTUPU! from another ZERO BRAIN.

Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushenga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tumpose huyo binti tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, hutoa zile makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", Watanzania tunajiandaa kwa Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani hapo Oktoba 28, Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi uchaguzi wa 2020 ambao ni uchaguzi wa mashindano kati ya deliverable visible tangibles, ambayo ni maendeleo ya vitu vya ukweli vya kuonekanika ambavyo vimefanyika na kuwa deliverable vs ahadi, promises kuwa ukinichagua mimi nitafanya hiki na kile!. Ahadi ikitolewa usually huwa ni empty promise, ikiisha tekelezwa ndio inakuwa ahadi ya ukweli, a firm commitment.

Hili ni bandiko la swali, hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, na empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Declaration of Interest
Kwa vile JF ni members generated forum, ukitokea kuna jambo unalijua, unalibandika humu ili kushare na wengine. Naomba ku declare interest kuwa mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM, na humu tuna makada wengi wa vyama vyote. Enzi zile Prof. Kitila Mkumbo akiwa very active humu alikuwa ni kada wa Chadema. Zitto Kabwe bado yuko very active ni kada wa ACT, hivyo unaweza kuwa kada na bado ukawa mchambuzi objective kwa kusoma hoja zangu na sio kuniangalia ukada wangu.

Kumhusu JPM na Uchaguzi wa 2020, Nilisema Zamani Kuwa...
Tarehe 29/10/2015 kuna kitu nilikisema kumhusu JPM na uchaguzi wa 2020!.
Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

Sasa baada ya CCM kutoa majina ya wagombea wake, kuna kitu naomba nikiseme, Je wajua kuwa kupitishwa na vikao vya uteuzi vya CCM ni kazi ngumu kuliko hata uchaguzi wenyewe?. Jee wajua kuwa jina lako likiishapitishwa na CCM, huo tayari ni ushindi tosha?. Ili CCM kupata ushindi wa kishindo, katika uchaguzi huu, hakuhitaji hata kupiga kampeni, kazi aliyoifanya JPM inaonekana wazi kabisa kwa naked eyes, wala huhitaji kuvaa miwani ya uchunguzi ndipo uone, wenye macho wanaona!.

Tunakwenda Kuchagua Nini
Watanzania tunakwenda kuingia kwenye uchaguzi huku kuna chama kimoja kinaingia kikiwa na mtaji mkubwa wa vitu ilivyofanya katika utekelezaji wa ilani yake ya uchaguzi iliyokipatia ushindi ile 2015, kikiwa na mtaji wa vitu vya kuonekanika, a strong showcase, huku vyama vingine vikija with nothing to show case, ukitegemea Watanzania watachagua visible deliverable tangible or just empty promises?.

Ushauri wa Bure
Kwavile tunaingia kwenye mashindano kati ya mwenye kitu cha kuonyesha na asiye na kitu cha kuonyesha, ili kuwatendea haki Watanzania waweze kufanya an informed decision hiyo October 28, natoa wito kwa asiyenacho, ili aweze kuchaguliwa, asije tuu na ahadi bali aonyeshe hiki kilichopo sii lolote sii chochote, ningekuwa mimi ningefanya hiki na hiki na hiki.

Mfano mzuri ni kwenye elimu bure, inatolewa toka darasa la kwanza hadi kidato cha 4. Kwa vile wewe ulisema ungekuwa wewe ungetoa elimu bure toka chekechea hadi chuo kikuu, then unaeleza ungeitoaje kwa bajeti gani, ili Watanzania wakuchague wewe.

Uchaguzi Mkuu huu, tushindanishe sera na mikakati ya utekelezaji na sio kushinda kwa kutukana na kubeza kila kilichofanyika bali kueleza namna bora zaidi ya kufanya kuliko hiki kilichofanyika.

Mfano JPM amejenga barabara za juu kwa juu, wewe ukifika, kwavile hizi barabara za juu kwa juu za JPM, unapita juu kisha unashuka chini na kuendelea na safari yako kwenye barabara za kawaida, then wewe ahidi kwamba utajenga barabara za juu kwa juu za moja kwa moja, ukipanda juu, unakwenda juu tuu straight hadi mbinguni kwa Sir God God mwenyewe!.

Tuwe Wakweli, Tuwe na Shukrani
It's good to appreciate kilichopo, kilichofanyika na kueleza wewe ungefanya namna bora zaidi ili Watanzania wakikuchagua, wajue wanakuchagua ili kupata kilicho bora.

By The Way Jimbo la Kawe.
Kabla ya kumalizia, kwavile mimi ni mkazi wa Kawe, Mbunge wetu wa Kawe ni mwanamke, CCM imempitisha mgombea mwanaume kushindana na mwanamke, Kidunia, Kiafrika na kimila, sio vizuri kwa mwanaume kushindana na mwanamke, hivyo kwa vile Mbunge wa Kawe ni mwanamke na hana kizingiti, na kwa vile aliyepitishwa CCM pia ana sifa za ushenga, mimi nashauri kwa jimbo la Kawe, CCM hatuhitaji kabisa kufanya kampeni, kinacho hitajika kwa Kawe ni kuandika tuu barua ya posa na kumtuma mshenga aipeleke, tumpose huyo binti tutakuwa tumemaliza mchezo!.

Hitimisho
Namalizia kwa lile swali la msingi la bandiko hili hiyo October 28, Je Watanzania watachagua nini kati ya deliverable tangibles za kuonekanika, au empty promises za kuahidiwa, with nothing to show?.

Nawatakia Jumatatu Njema.
Paskali
Pascal Mayalla kumbuka kule Africa ya Kusini chama cha National Part na serikali yao walijenga kuliko ambavyo Magufuli na ccm yao wamefanya lakini hiyo haikuzuia wananchi kuikataa serikali na viongozi wao kina Botha kwa sababu ya yale waliyowatendea raia wa nchi hiyo
 
Mgombea mmoja ni kweli atakuwa na vitu vya kuonesha. Kwa mfano:
1) Jinsi alivyoteka watu
2) Jinsi alivyoua watu na miili kutupwa fukweni
3) Jinsi alivyowapoteza Ben na Azory
4) Jinsi alivyomshambulia Tundu Lisu zaidi ya anavyoshambuliwa simba mla watu
5) Jinsi alivyoangusha ukuaji wa uwekezaji toka 28% mpaka 4%
6) Jinsi alivyofanikiwa kudondosha ukuaji wa sekta ya utalii toka 15% mpaka 3.6%
7) Jinsi alivyoshusha thamani ya mauzo ya nje ya mazao ya kilimo kwa 50%
8) Jinsi alivyofanikiwa kuanzisha sheria zinazogandamiza uhuru wa watu na vyombo vya habari
9) Jinsi alivyofanikiwa kuwakimbiza wawekezaji wakubwa wa ndani na nje
10) Jinsi alivyozuia haki ya vyama vya siasa kufanya siasa wakati wote, kinyume na matakwa ya katiba
11) Jinsi alivyofanikiwa kujijengea uwanja mkubwa wa ndege kijijini kwake japo hakuna ndege za kutua
12) Jinsi alivyofanikiwa kuteua kwenye nafasi nyingi za umma kwa watu wa kanda moja

Huyu hana hata sababu hata ya kufanya kampeni maana wananchi wanajua makubwa aliyowafanyia wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchaguzi wa Raisi:

..CCM wao ni "Hapa Kazi Tu. "

..CDM ni " Kazi na Maendeleo, " pamoja na " Uhuru na Kazi ."

Jimbo la Kawe:

..Halima is an underdog candidate with the right qualifications and experience.

..Gwajima ni mgombea mwenye mapesa lakini hana uzoefu au haiba ya kuwa mbunge.
 
Hapo kwenye ushauri waufanyie kazi, sio kupinga kila kitu bila kusema the way forward and how to implement it, mm sera za ACT nimezielewa kimtindo, coz they say, we will do this and that, kisha wanaonyesha namna gani watafanya.
Lissu sera yake eti nimepigwa risasi 😂😂😂😂😂😂

Kila alikopita ananadi vidonda vyake tu. Upuuzi wa hali ya juu..
 
We sio mtu huru wa kufanya uchambuzi huru kwahiyo sisi wengine tunakupuuza tu.

No wonder japo wewe ni mwanahabari, siku hizi uko kimya kabisa kuhusu uminywaji wa uhuru wa vyombo vya habar na ni wazi wewe ukipewa uwaziri wa habari, utakandamiza sana media na hata hii JF unaweza kuigeuka

Mtu mwenye akili timamu,alie-civilised hawezi kuwa-influenced na maendeleo ya vitu kiasi cha kupuuza kukosekana kwa utu kunakofanywa au kufumbiwa macho na watawala.

Pia jiulize hayo maendeleo ya vitu, yote ni vipaumbele sahihi na yanafanywa kwa kuzingatia taratibu na sheria za nch?

Kwa kifupi,uko biased kwa malengo yako binafsi na nyinyi ndio aina ya watu ambao Bwana yule anapenda kufanya nao kazi.

Mwisho:Siku ukipewe uteuzi,usisahau kuishukuru JF.
Thread closed.
 
Back
Top Bottom