Okwi atimiza miaka 32, ni mmoja ya wachezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu nchini

Okwi atimiza miaka 32, ni mmoja ya wachezaji bora wa kigeni kuwahi kucheza ligi kuu nchini

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetu
IMG_4776.jpeg
 
Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi.
Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetuView attachment 3188574
Samahani, naomba kuuliza kwa anayefahamu, hivi kwanini wachezaji hua hawazeeki kiumri??? Wao huzeeka sura tu... kuna mahusiano yoyote na mambo ya genetics labda...

Maana kama huyu ni babu kabisa ila leo ndio katimiza miaka 32... aseee
 
Back
Top Bottom