Ole Sabaya akamatwa pamoja na mabaunsa wake. Ahojiwa na Vyombo vya Dola

Chalamila mbona mtu poa sana mkuu? Labda ule ucomedy wake tu, ila mengine naona yupo poa, and kipindi cha Magu wateule wote walichizika, si ulimuona Kabudi akinywa zile takataka za Covid from Madagascar?
Ha ha ha
 
Kamanda umejiongeza
 
Pata lain ya uwakala huko ulipo kwa majina yako yaan
Mpesa
Tigopesa
Airtelmoney
Halotel

Malipo baada ya kazi njoo pm
Sema hapahapa Mambo ya huko inbox tumesha pigwa sana!!
 
Jamani tumwache Mama yetu.....haya masuala ni kizungumkuti....
 
Bado makonda anajifanya anamkana msendazake anapinga mambo mchakato wa Chato leo jamani nyie unafiki huu
 
Mwamwindi aliyetembeza mapanga kwa rc...?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…