eti alikua hamjui Anna mgwiraWanaanza kukimbiana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
eti alikua hamjui Anna mgwiraWanaanza kukimbiana?
anadai alikua hamjui jina Anna mgwiraHuyu akicheza anafungwa. Haiwezekani mahakamani useme ni siri halafu eti unasema mtu alipangiwa kwako na ofisi ya Mkurugenzi lakini haujui majukumu yake ni yapi. Lengai Lengai umeanza kuchanganyikiwa.
Kuwa kuna mti mkubwa utakatwa?Hii kesi ina jambo lingine zito mbele huko na inawezekana Sabaya yupo kazini hapo.... mtumie akili ikiwa bado asubuhi....
Roho mbaya kachukua kutoka kwa shetani mkuu aliyekuwa anamuabudu.Atajua mwenyewe na balaa lake,,, jitu likawe na roho mbaya ka shetani bana
your thinkingWewe labda hujui namna ya kutoa usjahidi yupo very composed na ushahidi wake kashauset na anauhakika wa anachokifanya kipo relevant katika ku disprove allegations against him
Kama ni siri sawa lakini nyapara lazima atazijua tu.hapo aliposema kuwa kuna baadhi ya majukum yake ni siri mteule yoyote wa rais lazma kuna majukum mazito ya serikali huwa wanapewa ndo maana hata kwenye viapo vyao huwa wanaapa kuwa hawatotoa siri, hizo siri ni zipi? vipi ukizitoa utapatwa na kipi hope msaliti adhabu yake inajulikana
kitu ambacho hutoamini ni kwamba huyo jamaa anatoka na hata akifungwa atatoka kwa msamaha wa rais au kwa njia tofauti serikali ni nzito kuliko uijuavyoKama ni siri sawa lakini nyapara lazima atazijua tu.
Hachomoki ng'oHuyu mwamba anaachiwa soon... msala wanabeba hso wahuni wengine
Huyo kilaka tu, Magufuli ndio alikuwa anampa jeuri lakini hana lolote huyo anakula mvua za kutosha kabisa.kitu ambacho hutoamini ni kwamba huyo jamaa anatoka na hata akifungwa atatoka kwa msamaha wa rais au kwa njia tofauti serikali ni nzito kuliko uijuavyo
utanambia soon baada ya kutolewa huyo jamaaHuyo kilaka tu, Magufuli ndio alikuwa anampa jeuri lakini hana lolote huyo anakula mvua za kutosha kabisa.
Acha masihara bwana usijekua ni mmoja wa mawakili wake tu.Wewe labda hujui namna ya kutoa usjahidi yupo very composed na ushahidi wake kashauset na anauhakika wa anachokifanya kipo relevant katika ku disprove allegations against him