Ole Sabaya amkana mshirika wake katika kesi

Ole Sabaya amkana mshirika wake katika kesi

kitu ambacho hutoamini ni kwamba huyo jamaa anatoka na hata akifungwa atatoka kwa msamaha wa rais au kwa njia tofauti serikali ni nzito kuliko uijuavyo
Kuna makosa ambayo Rais anaweza yatolea msamaha armed robbery siyo miongoni mwa hayo makosa.

Rais asingetaka hizi drama zote angesurpress ishu kule kule mwanzoni kama ni kweli kuna mpango wa kumtoa kwa njia ya msamaha.
 
mjiandae kwa next episode....hapo kwenye kutishiwa kuuwawa hapo, kuna movie inakuja...

Kuna bonge la TKO linakuja, mshika remote anajaribu kuvuta muda tutashangaa wote...
Gaidi direction!
 
Kuna makosa ambayo Rais anaweza yatolea msamaha armed robbery siyo miongoni mwa hayo makosa.

Rais asingetaka hizi drama zote angesurpress ishu kule kule mwanzoni kama ni kweli kuna mpango wa kumtoa kwa njia ya msamaha.
rais anauwezo wa kumtoa yeyote ndo maana babu seya yupo nje
 
Surprise gani wakati tayari ana kesi ya kujibu hapa ni utetezi tu ndio umebaki.huyu lazima ale mvua

kesi ipo na mvua atakula, sidhani kama kila siku utakuwa unaenda gerezani kukagua...

baada ya Sabaya kula mvua muwe tayari kupokea na lingine ambalo linaweza pia kuwa ndani ya part ya kesi ya Sabaya na mengine....tuwe na subiri mwenye remote anawavuta tu mkale ndoano....
 
Huyu akicheza anafungwa. Haiwezekani mahakamani useme ni siri halafu eti unasema mtu alipangiwa kwako na ofisi ya Mkurugenzi lakini haujui majukumu yake ni yapi. Lengai Lengai umeanza kuchanganyikiwa.
Hakumtii mkuu was mkoa kwa kuwa siye aliyemteua lakini alimtii mkurugenzi kwa kukubali kufanya kazi na mtu ambaye hakujua majukumu yake.
 
Tuweke chuki pembeni ole sabaya na mawakili wake wako vizuri , wasipo angalia . dogo anashinda kwa kishindo.
 
JF inafanya kesi ya jamaa inakuwa ngumu sababu naamini wanaodil na hiyo kesi pia wanapitia maoni ya wadau humu na washajua kuna watu wanachimbua mambo ki undani zaidi, hii kesi ilikuwa iishe mapema lakini kuna kipengele cha plan C kilisahaulika waliishia plan B, yaan kesi ndani ya kesi..ngoja tusikilizie utamu wa mtori maana nyama zipo chini..ila nahisi kuna mtu hapa ataongezeka siku si nyingi, hasa apo katika kuishi mafichoni kwa hofu ya kitishiwa maisha kiongozi..
 
JF inafanya kesi ya jamaa inakuwa ngumu sababu naamini wanaodil na hiyo kesi pia wanapitia maoni ya wadau humu na washajua kuna watu wanachimbua mambo ki undani zaidi, hii kesi ilikuwa iishe mapema lakini kuna kipengele cha plan C kilisahaulika waliishia plan B, yaan kesi ndani ya kesi..ngoja tusikilizie utamu wa mtori maana nyama zipo chini..ila nahisi kuna mtu hapa ataongezeka siku si nyingi, hasa apo katika kuishi mafichoni kwa hofu ya kitishiwa maisha kiongozi..

JF wanaifanya kesi kuwa ngumu!..[emoji1487].
Mmetisha magreat thinker mnainfluence hadi mahakama!!
 
Back
Top Bottom