Kuna makosa ambayo Rais anaweza yatolea msamaha armed robbery siyo miongoni mwa hayo makosa.kitu ambacho hutoamini ni kwamba huyo jamaa anatoka na hata akifungwa atatoka kwa msamaha wa rais au kwa njia tofauti serikali ni nzito kuliko uijuavyo
Gaidi direction!mjiandae kwa next episode....hapo kwenye kutishiwa kuuwawa hapo, kuna movie inakuja...
Kuna bonge la TKO linakuja, mshika remote anajaribu kuvuta muda tutashangaa wote...
Surprise gani wakati tayari ana kesi ya kujibu hapa ni utetezi tu ndio umebaki.huyu lazima ale mvuamuda unavutwa halafu mnapigwa bonge la surprise sasa mtachagua wenyewe muende huku au kule...naogopa kuwabumburusha ndugu zangu wale wajuaji.....
Hachomoki huyukitu ambacho hutoamini ni kwamba huyo jamaa anatoka na hata akifungwa atatoka kwa msamaha wa rais au kwa njia tofauti serikali ni nzito kuliko uijuavyo
rais anauwezo wa kumtoa yeyote ndo maana babu seya yupo njeKuna makosa ambayo Rais anaweza yatolea msamaha armed robbery siyo miongoni mwa hayo makosa.
Rais asingetaka hizi drama zote angesurpress ishu kule kule mwanzoni kama ni kweli kuna mpango wa kumtoa kwa njia ya msamaha.
Surprise gani wakati tayari ana kesi ya kujibu hapa ni utetezi tu ndio umebaki.huyu lazima ale mvua
Huwezi jua kituJenerali Lengai Ole Sabaya anajichanganya kweli kweli!
Kwa jinsi anavyojichanganya mahakamani,hakika anakula mvua huyu. Mark my words, days are numberedMovie ilisha isha amna wa kufungwa apa zimebaki porojo tu
Huyu itakuwa dishi limeyumba kidogoeti alikua hamjui Anna mgwira
Kwa hoja ipi?Aisee anaweza chomoa hii..
Ndio kilivyosema?Eti mengine ni siri, hawezi kueleza....
Hiki kijamaa bhana...
Bado kinaleta jeuri, hakijui mungu wake liyekuwa anamtegemea keshaliwa na funza....Ndio kilivyosema?
Hakumtii mkuu was mkoa kwa kuwa siye aliyemteua lakini alimtii mkurugenzi kwa kukubali kufanya kazi na mtu ambaye hakujua majukumu yake.Huyu akicheza anafungwa. Haiwezekani mahakamani useme ni siri halafu eti unasema mtu alipangiwa kwako na ofisi ya Mkurugenzi lakini haujui majukumu yake ni yapi. Lengai Lengai umeanza kuchanganyikiwa.
JF inafanya kesi ya jamaa inakuwa ngumu sababu naamini wanaodil na hiyo kesi pia wanapitia maoni ya wadau humu na washajua kuna watu wanachimbua mambo ki undani zaidi, hii kesi ilikuwa iishe mapema lakini kuna kipengele cha plan C kilisahaulika waliishia plan B, yaan kesi ndani ya kesi..ngoja tusikilizie utamu wa mtori maana nyama zipo chini..ila nahisi kuna mtu hapa ataongezeka siku si nyingi, hasa apo katika kuishi mafichoni kwa hofu ya kitishiwa maisha kiongozi..
Mmh, unajipata matumaini hewa,tafuta mume tu mwingine Huyo Sabaya anafungwaHii kesi ina jambo lingine zito mbele huko na inawezekana Sabaya yupo kazini hapo.... mtumie akili ikiwa bado asubuhi....
unajipa matumaini hewa, tafuta tu bwana mwingine, Sabaya anafungwaHuyu mwamba anaachiwa soon... msala wanabeba hso wahuni wengine
we ni mbumbumbu!!! πππTuweke chuki pembeni ole sabaya na mawakili wake wako vizuri , wasipo angalia . dogo anashinda kwa kishindo.