Ole Sabaya amkana mshirika wake katika kesi

Wewe labda hujui namna ya kutoa usjahidi yupo very composed na ushahidi wake kashauset na anauhakika wa anachokifanya kipo relevant katika ku disprove allegations against him
Hakuna kitu hapooo, DED hana mamlaka ya kupeleka mtumishi ofisi ya DC
 
Huyu akicheza anafungwa. Haiwezekani mahakamani useme ni siri halafu eti unasema mtu alipangiwa kwako na ofisi ya Mkurugenzi lakini haujui majukumu yake ni yapi. Lengai Lengai umeanza kuchanganyikiwa.
Kaulizwa kwa nini ulipokuwa unaenda huko Arusha ulikuwa humjulishi bosi wako (RC Kilimanjaro)? Eti anajibu iulizwe mamlaka ya uteuzi [emoji1787][emoji1787]
 
Kaulizwa kwa nini ulipokuwa unaenda huko Arusha ulikuwa humjulishi bosi wako (RC Kilimanjaro)? Eti anajibu iulizwe mamlaka ya uteuzi [emoji1787][emoji1787]
Kuchanganyikiwa huyu dogo
 
Kapoteza kumbukumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…