Uchaguzi 2020 Ole Sabaya anategemewa na CCM kumng'oa Mbowe jimbo la Hai

Uchaguzi 2020 Ole Sabaya anategemewa na CCM kumng'oa Mbowe jimbo la Hai

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Mwaka huu mwanzoni kabisa niliwaambia kuwa Jimbo la Hai ni mojawapo ya Jimbo ambalo litavuta hisia za Siasa za Tanzania, hapa hakuna kulala, ni mwendo wa mahuburi, ngumi na jino kwa jino. Hii Ni kutokana na umuhimu wa Jimbo hili kwa Upinzani na kwa CCM. Kwa Upinzani ndipo anapotokea Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni. Yaani hawatokubali inyeshe mvua liwake jua kupoteza eneo hili kwani itakuwa aibu ya mwaka. Kwa CCM hapa wanataka kumpiga mchungaji na Kondoo watawanyike, wanajua kabisa ukitaka kumuua nyoka gonga kichwani....

NGUVU YA CCM.

Mipango ya Ushindi wa CCM unaanzia Kichwani kwa Ole Lengai Sabaya, yaani CCM kwa ujumla wanategemea Ole Sabaya awasaidie kumngoa Mbowe pale Hai. Sabaya ndiye DC anayeongoza eneo gumu kuliko yote kati ya maDC wote nchini yaani kupewa jukumu la kuongoza eneo ambalo anatokea Kiongozi mkuu wa Upinzani sio kazi ndogo.

Jukumu la pili alilopewa au alilojipa Ni la kuhakikisha Mbowe hashindi Hai jukumu ambalo Ni zito ambalo hata Bashiru Ally Kakurwa hawezi kulibeba.

Sabaya anapambana kweli matokeo yake anaweza kuumia au akaishinda hii vita, lazima impact itakuwa aidha aumie au ashinde. Niliwahi kusema Kama hatopata usaidizi huyu kwa Jasusi Mbowe ataonekana hafai hata U DC. Pale CCM nani anaweza kuja kuwaongoza watu wanaomuita Mbowe kaka na akaeleweka? Mbowe Hai sio Mbunge tu Bali Ni kaka yao Kama wanavyomuita.

Nguvu ya Pili ya CCM Ni kuwa Sabaya anajitahidi Sana kufanya Siasa na watu wa Tambarare. Siasa maendeleo, siku za karibuni tunaona barabara zikichongwa, hospital ikijengwa nk. Sabaya anajitoa sana kuhakikisha image ya Serikali na Chama inaelewaka Hai. Aidha kwa kutumia mbinu nzuri au mipango Michafu lakini anapambana sana.

UDHAIFU WA CCM

Udhaifu CCM ni kwamba imejisahau, wanamtegemea Mkuu wa Wilaya afanye Kila kitu. Haitawezekana peke yake awaletee Ushindi halafu pia Ni kinyume cha Sheria mkuu wa Wilaya kufanya Siasa za wazi. Ndio maana hata waosema ni yeye ametuma watu wamshambulie Lisu hawana ushahidi wa moja kwa moja.

Udhaifu wa pili Ni kwamba CCM Haina network ambayo Mbowe anayo. Nitaelezea hapa chini nitakapokuwa naelezea nguvu za Mbowe.

Udhaifu wa tatu ambao hauonekani Ni Kifo cha Mzee Mengi. At least Mengi alikuwa Ni mmojawapo ya watu ambao walikuwa wanaweza kuwaambia Viongozi wa Dini Jambo wakalisikia, au hata jamii yake (Wachaga) jambo na wakamsikia.

Udhaifu wa nne Mkoa wa Kilimanjaro Ni Mkoa ambao hauna Agenda ya kuombea kura. Yaani hakuna Jimbo ambalo utapata kura kwa kuahidi hospital, Au umeme, au maji au barabara. Hivi Ni vitu ambavyo vipo toka uhuru. CCM Mara nyingi imekuwa ikitumia agenda hizi kuombea kura kwenye majimbo ya Kilimanjaro hizi sio agenda.

NGUVU YA CHADEMA.

Mbowe karelax kabisa sidhani hata Kama anawaza Sana kuhusu Ushindi wake. Nguvu kubwa waliyoanayo Chadema Ni aina ya mgombea waliyenaye. Mbowe kwa Sasa ndiye mhimili wa Siasa za Upinzani nchini.

Uimara wa Pili wa Chadema Hai Ni network ambayo Mbowe anayo. Mbowe anaungwa mkono na taasisi za Kidini lipo chini ya capert na ndio wanaompa nguvu sana, Mbowe anaungwa mkono na wafanyabiashara wengi toka Hai, Mbowe anaungwa mkono na hata baadhi ya wanaccm waliopo Hai.

Uimara wa tatu ni desturi na Mila za Kabila la wachaga. Kabila hili likishamuamini mtu sio rahisi kuwabadili. Hawaogopi kujilipua kwa kitu wanachokipenda. Mbowe anapendwa Sana na jamii yake. Hawa ndio wanaomuitaga Kaka si rahisi kuwabadilisha mtizamo, watakuchekea usoni lakini kwenye Sanduku la kura watakuadhibu tu. Ndio maana Kabila hili linaongoza katika kuendesha Siasa za Upinzani. Ndio Kabila linalotoa Viongozi wengi wa vyama vya Upinzani nchini. Hii Ni hulka yao kwa maana hiyo ukitaka kuwawin lazima Kwanza wakupende na wakuamini.

Uimara wa nne wa Mbowe Ni kulitawala jukwaa kwa Hoja. Ukimruhusu huyu mtu akupige kwa Hoja atakuua kabisa.

UDHAIFU WA MBOWE.

Udhaifu mkubwa wa brother Mbowe hakuna Jambo kubwa ambalo amelifanya kwenye Jimbo lake.

Pili eneo analotokea si rafiki Sana kwa Siasa za sasa. Mbowe anatokea eneo la milimani, Kuna tetesi kuwa eneo la tambarare ambalo Lina watu wengi nao wameanza kuwaza kutoa mtu wao kuwa Mbunge. Hii Ni kwa sababu eneo hili halijaendelea kwa Sana Kama eneo la Milimani hivyo Wana hasira.

Udhaifu wa Tatu Mbowe amejikita zaidi kwenye siasa za kitaifa na kusahau watu wake. Huu ni udhaifu kwa wabunge wengi wa Upinzani.

Swali ninalojiuliza Sabaya atauweza huu Mbuyu ambao umeshindikana Miaka na Miaka?

Ukitaka kumshinda Mbowe kirahisi tenganisha urafiki wake na Kanisa, tenganisha urafiki wake na wafanyabiashara wa Hai. Mwisho kabisa CCM ndani ya Mkoa na nje ya Mkoa wakitaka kushinda Hai wamsaidie Sabaya, peke yake hatoweza.

Ole Mushi
0712702602.
 
Mwaka huu mwanzoni kabisa niliwaambia kuwa Jimbo la Hai ni mojawapo ya Jimbo ambalo litavuta hisia za Siasa za Tanzania, hapa hakuna kulala, ni mwendo wa mahuburi, ngumi na jino kwa jino. Hii Ni kutokana na umuhimu wa Jimbo hili kwa Upinzani na kwa CCM. Kwa Upinzani ndipo anapotokea Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni. Yaani hawatokubali inyeshe mvua liwake jua kupoteza eneo hili kwani itakuwa aibu ya mwaka. Kwa CCM hapa wanataka kumpiga mchungaji na Kondoo watawanyike, wanajua kabisa ukitaka kumuua nyoka gonga kichwani....

NGUVU YA CCM.

Mipango ya Ushindi wa CCM unaanzia Kichwani kwa Ole Lengai Sabaya, yaani CCM kwa ujumla wanategemea Ole Sabaya awasaidie kumngoa Mbowe pale Hai. Sabaya ndiye DC anayeongoza eneo gumu kuliko yote kati ya maDC wote nchini yaani kupewa jukumu la kuongoza eneo ambalo anatokea Kiongozi mkuu wa Upinzani sio kazi ndogo.

Jukumu la pili alilopewa au alilojipa Ni la kuhakikisha Mbowe hashindi Hai jukumu ambalo Ni zito ambalo hata Bashiru Ally Kakurwa hawezi kulibeba.

Sabaya anapambana kweli matokeo yake anaweza kuumia au akaishinda hii vita, lazima impact itakuwa aidha aumie au ashinde. Niliwahi kusema Kama hatopata usaidizi huyu kwa Jasusi Mbowe ataonekana hafai hata U DC. Pale CCM nani anaweza kuja kuwaongoza watu wanaomuita Mbowe kaka na akaeleweka? Mbowe Hai sio Mbunge tu Bali Ni kaka yao Kama wanavyomuita.

Nguvu ya Pili ya CCM Ni kuwa Sabaya anajitahidi Sana kufanya Siasa na watu wa Tambarare. Siasa maendeleo, siku za karibuni tunaona barabara zikichongwa, hospital ikijengwa nk. Sabaya anajitoa sana kuhakikisha image ya Serikali na Chama inaelewaka Hai. Aidha kwa kutumia mbinu nzuri au mipango Michafu lakini anapambana sana.

UDHAIFU WA CCM

Udhaifu CCM ni kwamba imejisahau, wanamtegemea Mkuu wa Wilaya afanye Kila kitu. Haitawezekana peke yake awaletee Ushindi halafu pia Ni kinyume cha Sheria mkuu wa Wilaya kufanya Siasa za wazi. Ndio maana hata waosema ni yeye ametuma watu wamshambulie Lisu hawana ushahidi wa moja kwa moja.

Udhaifu wa pili Ni kwamba CCM Haina network ambayo Mbowe anayo. Nitaelezea hapa chini nitakapokuwa naelezea nguvu za Mbowe.

Udhaifu wa tatu ambao hauonekani Ni Kifo cha Mzee Mengi. At least Mengi alikuwa Ni mmojawapo ya watu ambao walikuwa wanaweza kuwaambia Viongozi wa Dini Jambo wakalisikia, au hata jamii yake (Wachaga) jambo na wakamsikia.

Udhaifu wa nne Mkoa wa Kilimanjaro Ni Mkoa ambao hauna Agenda ya kuombea kura. Yaani hakuna Jimbo ambalo utapata kura kwa kuahidi hospital, Au umeme, au maji au barabara. Hivi Ni vitu ambavyo vipo toka uhuru. CCM Mara nyingi imekuwa ikitumia agenda hizi kuombea kura kwenye majimbo ya Kilimanjaro hizi sio agenda.

NGUVU YA CHADEMA.

Mbowe karelax kabisa sidhani hata Kama anawaza Sana kuhusu Ushindi wake. Nguvu kubwa waliyoanayo Chadema Ni aina ya mgombea waliyenaye. Mbowe kwa Sasa ndiye mhimili wa Siasa za Upinzani nchini.

Uimara wa Pili wa Chadema Hai Ni network ambayo Mbowe anayo. Mbowe anaungwa mkono na taasisi za Kidini lipo chini ya capert na ndio wanaompa nguvu sana, Mbowe anaungwa mkono na wafanyabiashara wengi toka Hai, Mbowe anaungwa mkono na hata baadhi ya wanaccm waliopo Hai.

Uimara wa tatu ni desturi na Mila za Kabila la wachaga. Kabila hili likishamuamini mtu sio rahisi kuwabadili. Hawaogopi kujilipua kwa kitu wanachokipenda. Mbowe anapendwa Sana na jamii yake. Hawa ndio wanaomuitaga Kaka si rahisi kuwabadilisha mtizamo, watakuchekea usoni lakini kwenye Sanduku la kura watakuadhibu tu. Ndio maana Kabila hili linaongoza katika kuendesha Siasa za Upinzani. Ndio Kabila linalotoa Viongozi wengi wa vyama vya Upinzani nchini. Hii Ni hulka yao kwa maana hiyo ukitaka kuwawin lazima Kwanza wakupende na wakuamini.

Uimara wa nne wa Mbowe Ni kulitawala jukwaa kwa Hoja. Ukimruhusu huyu mtu akupige kwa Hoja atakuua kabisa.

UDHAIFU WA MBOWE.

Udhaifu mkubwa wa brother Mbowe hakuna Jambo kubwa ambalo amelifanya kwenye Jimbo lake.

Pili eneo analotokea si rafiki Sana kwa Siasa za sasa. Mbowe anatokea eneo la milimani, Kuna tetesi kuwa eneo la tambarare ambalo Lina watu wengi nao wameanza kuwaza kutoa mtu wao kuwa Mbunge. Hii Ni kwa sababu eneo hili halijaendelea kwa Sana Kama eneo la Milimani hivyo Wana hasira.

Udhaifu wa Tatu Mbowe amejikita zaidi kwenye siasa za kitaifa na kusahau watu wake. Huu ni udhaifu kwa wabunge wengi wa Upinzani.

Swali ninalojiuliza Sabaya atauweza huu Mbuyu ambao umeshindikana Miaka na Miaka?

Ukitaka kumshinda Mbowe kirahisi tenganisha urafiki wake na Kanisa, tenganisha urafiki wake na wafanyabiashara wa Hai. Mwisho kabisa CCM ndani ya Mkoa na nje ya Mkoa wakitaka kushinda Hai wamsaidie Sabaya, peke yake hatoweza.

Ole Mushi
0712702602.
Asante kwa taarifa Tutakupigia
 
Huyo sabaya inaonekana kachunga sana ndama maana mipango yake mingi inaonekana kama ya kulawiti ndama machungani

Sabaya hana lolote zaidi ya kiburi na roho mbaya kama mfuasi wa Ibilisi.

Yaani kati ya watu wanaoinajisi taasisi ya urais iliyomteua, basi ni Sabaya.

Kuna maisha baada ya uongozi, naamini iko siku tutakuwa naye street.

Mimi CCM ila nachukia sana viongozi wanaofanya siasa za kukomoana na visasi na ulaghai
 
Nimpongeze DC Saabaya kwa kile anachokifanya pale Hai.

Hizi siasa za zomea zomea ziliasisiwa na chadema, nakumbuka Magufuli amewahi kuzomewa na wafuasi wa chadema Mbeya, keo inageukia kwao wanaanza kulialia.
 
Saashisha Mafuwe anatufaa Hai.CCM mpatieni huyo huyo aliyeongoza kura za maoni.
Huyo kijana kafanya kazi nzuri ya ubunge baada ya kuona Mbowe hakuna anachofanya.
Pia hakutumia rushwa kuongoza kura za maoni.
 
Mwaka huu mwanzoni kabisa niliwaambia kuwa Jimbo la Hai ni mojawapo ya Jimbo ambalo litavuta hisia za Siasa za Tanzania, hapa hakuna kulala, ni mwendo wa mahuburi, ngumi na jino kwa jino. Hii Ni kutokana na umuhimu wa Jimbo hili kwa Upinzani na kwa CCM. Kwa Upinzani ndipo anapotokea Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Kiongozi wa kambi ya Upinzani Bungeni. Yaani hawatokubali inyeshe mvua liwake jua kupoteza eneo hili kwani itakuwa aibu ya mwaka. Kwa CCM hapa wanataka kumpiga mchungaji na Kondoo watawanyike, wanajua kabisa ukitaka kumuua nyoka gonga kichwani....

NGUVU YA CCM.

Mipango ya Ushindi wa CCM unaanzia Kichwani kwa Ole Lengai Sabaya, yaani CCM kwa ujumla wanategemea Ole Sabaya awasaidie kumngoa Mbowe pale Hai. Sabaya ndiye DC anayeongoza eneo gumu kuliko yote kati ya maDC wote nchini yaani kupewa jukumu la kuongoza eneo ambalo anatokea Kiongozi mkuu wa Upinzani sio kazi ndogo.

Jukumu la pili alilopewa au alilojipa Ni la kuhakikisha Mbowe hashindi Hai jukumu ambalo Ni zito ambalo hata Bashiru Ally Kakurwa hawezi kulibeba.

Sabaya anapambana kweli matokeo yake anaweza kuumia au akaishinda hii vita, lazima impact itakuwa aidha aumie au ashinde. Niliwahi kusema Kama hatopata usaidizi huyu kwa Jasusi Mbowe ataonekana hafai hata U DC. Pale CCM nani anaweza kuja kuwaongoza watu wanaomuita Mbowe kaka na akaeleweka? Mbowe Hai sio Mbunge tu Bali Ni kaka yao Kama wanavyomuita.

Nguvu ya Pili ya CCM Ni kuwa Sabaya anajitahidi Sana kufanya Siasa na watu wa Tambarare. Siasa maendeleo, siku za karibuni tunaona barabara zikichongwa, hospital ikijengwa nk. Sabaya anajitoa sana kuhakikisha image ya Serikali na Chama inaelewaka Hai. Aidha kwa kutumia mbinu nzuri au mipango Michafu lakini anapambana sana.

UDHAIFU WA CCM

Udhaifu CCM ni kwamba imejisahau, wanamtegemea Mkuu wa Wilaya afanye Kila kitu. Haitawezekana peke yake awaletee Ushindi halafu pia Ni kinyume cha Sheria mkuu wa Wilaya kufanya Siasa za wazi. Ndio maana hata waosema ni yeye ametuma watu wamshambulie Lisu hawana ushahidi wa moja kwa moja.

Udhaifu wa pili Ni kwamba CCM Haina network ambayo Mbowe anayo. Nitaelezea hapa chini nitakapokuwa naelezea nguvu za Mbowe.

Udhaifu wa tatu ambao hauonekani Ni Kifo cha Mzee Mengi. At least Mengi alikuwa Ni mmojawapo ya watu ambao walikuwa wanaweza kuwaambia Viongozi wa Dini Jambo wakalisikia, au hata jamii yake (Wachaga) jambo na wakamsikia.

Udhaifu wa nne Mkoa wa Kilimanjaro Ni Mkoa ambao hauna Agenda ya kuombea kura. Yaani hakuna Jimbo ambalo utapata kura kwa kuahidi hospital, Au umeme, au maji au barabara. Hivi Ni vitu ambavyo vipo toka uhuru. CCM Mara nyingi imekuwa ikitumia agenda hizi kuombea kura kwenye majimbo ya Kilimanjaro hizi sio agenda.

NGUVU YA CHADEMA.

Mbowe karelax kabisa sidhani hata Kama anawaza Sana kuhusu Ushindi wake. Nguvu kubwa waliyoanayo Chadema Ni aina ya mgombea waliyenaye. Mbowe kwa Sasa ndiye mhimili wa Siasa za Upinzani nchini.

Uimara wa Pili wa Chadema Hai Ni network ambayo Mbowe anayo. Mbowe anaungwa mkono na taasisi za Kidini lipo chini ya capert na ndio wanaompa nguvu sana, Mbowe anaungwa mkono na wafanyabiashara wengi toka Hai, Mbowe anaungwa mkono na hata baadhi ya wanaccm waliopo Hai.

Uimara wa tatu ni desturi na Mila za Kabila la wachaga. Kabila hili likishamuamini mtu sio rahisi kuwabadili. Hawaogopi kujilipua kwa kitu wanachokipenda. Mbowe anapendwa Sana na jamii yake. Hawa ndio wanaomuitaga Kaka si rahisi kuwabadilisha mtizamo, watakuchekea usoni lakini kwenye Sanduku la kura watakuadhibu tu. Ndio maana Kabila hili linaongoza katika kuendesha Siasa za Upinzani. Ndio Kabila linalotoa Viongozi wengi wa vyama vya Upinzani nchini. Hii Ni hulka yao kwa maana hiyo ukitaka kuwawin lazima Kwanza wakupende na wakuamini.

Uimara wa nne wa Mbowe Ni kulitawala jukwaa kwa Hoja. Ukimruhusu huyu mtu akupige kwa Hoja atakuua kabisa.

UDHAIFU WA MBOWE.

Udhaifu mkubwa wa brother Mbowe hakuna Jambo kubwa ambalo amelifanya kwenye Jimbo lake.

Pili eneo analotokea si rafiki Sana kwa Siasa za sasa. Mbowe anatokea eneo la milimani, Kuna tetesi kuwa eneo la tambarare ambalo Lina watu wengi nao wameanza kuwaza kutoa mtu wao kuwa Mbunge. Hii Ni kwa sababu eneo hili halijaendelea kwa Sana Kama eneo la Milimani hivyo Wana hasira.

Udhaifu wa Tatu Mbowe amejikita zaidi kwenye siasa za kitaifa na kusahau watu wake. Huu ni udhaifu kwa wabunge wengi wa Upinzani.

Swali ninalojiuliza Sabaya atauweza huu Mbuyu ambao umeshindikana Miaka na Miaka?

Ukitaka kumshinda Mbowe kirahisi tenganisha urafiki wake na Kanisa, tenganisha urafiki wake na wafanyabiashara wa Hai. Mwisho kabisa CCM ndani ya Mkoa na nje ya Mkoa wakitaka kushinda Hai wamsaidie Sabaya, peke yake hatoweza.

Ole Mushi
0712702602.

Mkuu Mushi, umetoa maelezo marefu lakini nadhani ama sio mkazi wa Hai wa kila siku au umeambiwa kwa ushabiki.

Nijuavyo mimi ambae nina shuguli zangu hapa na siwezi kukosa kuwepo Hai kwa uchache siku 8 kila mwezi na nina wafanyakazi zaidi ya 35 ambao wako Wilaya ya Hai, huu ufuatao ndio ukweli; CCM hawana mtu mzuri wa kumuondoa Mbowe kwa sasa hivi lakini Mbowe Hai wamemchoka, na hana mvuto tena.

Katika kata zifuatazo hii ndio muono wangu na Wamachame wengi, na sio kweli unavyosema kuwa hawajali. Wamachame idadi kubwa wameanza kuamini Mbowe ndio anasababisha dhiki walizo nazo na ukosefu wa kazi japo kuwa sio kweli.

Ila Wamachame wamechoka kabisa kuendelea kubaki upinzani na hasa Wakazi wa kudumu wa Wilaya ya Hai. Na Mbowe anaheshimika na kupendwa zaidi nje ya kilimanjaro , kuliko Kilimanjaro kwenyewe.

Uchambuzi wangu kata kwa kata za Wilaya ya Hai upo kama ifuatavyo.

1) Barangata --- Hapa Mbowe hapati kitu.
2) Boma la Ngombe -- Hapa Mbowe hapati kitu.
3) Bondeni Boloti -- Hapa Mbowe hapati kitu.
4) Engare Nairobi -- Hpa Mbowe hapati kitu.
5) Kibohehe -- Anaweza kuwapindua, japo pagumu sana.
6) Kibongoto --- Hapa atafanikiwa.
7) Kibosho --- nusu kwa nusu.
8) Kware ---- anaweza kuwapindua.
9) Lemira ---- anaweza kuwapindua.
10) Lyamungu----- pagumu sana kwake.
11) Mabire --- anaweza kuwapindua.
12) Machame --- pagumu sana kwake.
13) Masama ---- anaweza kuwapindua.
14) Sanya Juu --- anaweza kuwapindua.
15) Shiri -- ana kazi kubwa,
16) Uru -- anakazi kubwa.
17) Uswaa ---- anaweza kuwapindua japo wamemchoka.
18) Weru Weru ----- anaweza kuwapindua.

Pamoja na unavyo sema kuhusu makanisa, lakini naamini Hai ni jimbo lina waislamu wa kutosha ingawa Wakristo ndio wengi zaidi.
Wilaya ya Hai inafanana kidogo sana na Jimbo la Mwanga kwa hali ya kidini, kwa Mkoa wetu wa Kilimanjaro.
Ajitayarishe kwa mapambano hali ni tete sana kwa Mbowe.
 
Back
Top Bottom