Wewe nenda kavune mpunga kwenu Ngamanga na Kapamisya kwa bibi yako , mpunga ushakomaa utaozea kwenye majiMbona mwizi wa magari nae alitoroka nchini kwenda Canada na sikukusikia kulalamika. Kwani akienda kuishi nje wewe unakosa nini au unapata nini?
Unadhani wewe una akili kuliko serikali?
Unaijua vema CCM wewe?Hii ndiyo Taarifa ya uvunguni ambayo imevuja , kwamba yule kijana katili aliyetesa watu na kupora pesa za wafanyabiashara wa Hai anapanga kukimbia nchi hii baada uchunguzi dhidi yake kumkalia vibaya .
Lengo la kuleta Taarifa hii nyeti ni kuvitaarifu vyombo vinavyomchunguza kuhakikisha wanamuweka kwenye Zero distance ili asiwaache solemba na kukimbilia Nairobi ambako Sheria za Kenya zaweza kumlinda na asiletwe Tanzania kujibu mashitaka yake , Tafadhalini sana vyombo vya dola msije mkathubutu kumsaidia Sabaya kutoroka , hatutawaelewa na huenda mkasababisha machafuko , mwacheni afikishwe Mahakamani akajibu tuhuma zake na akawataje wote alioshirikiana nao .
Mara nyingi sana humu JF kupitia jukwaa hili hili , mimi binafsi na waungwana wengine wengi sana tumesisitiza sana vijana wanaopata bahati ya kuteuliwa kwenye uongozi kutumia uongozi wanaopewa kwa kutenda haki , wahakikishe wanafanya kazi zao kwa mujibu wa katiba ya nchi , wasithubutu kutekeleza unyama hata kama wametumwa na mkubwa , Biblia ilishaonya tangu enzi kumtegemea mwanadamu (YEREMIA 5:17) , Kila aliyetenda kinyume cha Katiba tumwache avune alichopanda .
Mbona wewe na maza wako mmeolewa na jobu miwayaKama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Ndumba hii ya leo, au unataka kusema mtoa hoja hii ndo alimroga jamaa akafanye ujambazi?!
Unaumwa wewe!Kama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Chadema Baja, baaada ya dogo kuwapoteza vimbaya, naona ndiyo time yenu kurevenji saizi.
Lisemwalo lipo kama halipo laja.Anatorokaje wakati tayari yupo kwenye mikono salama?
ZilipendwaKama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Bora wao sasa Sabaya akitoroka Nani atamuoa kama sio Machokoraa tuKama walivyotoroka Lisu na Lema na kwenda kuolewa ulaya
Alizaliwa na ugonjwa wake wa utahahira! Ugonjwa huo, ni hali ya akili kuchelewa kukuwa sambamba na ukuaji wa viungo vingine vya mwili, hasa bichwa!Unaumwa wewe!
Kwahiyo ?Si mlisema yupo chini ya ulinzi!?
MtulieKwahiyo ?