Ole Sabaya apanga kutoroka nchini, huenda akajificha Nairobi nchini Kenya

Mazungumzo ya vilaza
 
Thubutu! Kwa uhusioano mzuri Kenya na Tanzania ,Sabaya atapandishwa "matatu" ya kwanza NRB -NMG na kukabidhiwa kwa vyombo yva usalama Namanga live live mchana kweupe.
 
Yupo kwenye mikono salama.
Anatoka kwenda wapi tena?
 
Siamini kama bado huyu mhalifu na jambazi mkubwa bado hajakamatwa!
 
Sabaya siyo yale mabugia unga ya Chadema na ngada yaliyooolewa Ulaya
 
Alipelekwa polisi mabatini baada ya kutoka clouds
 
Huyu anaendelea kulipa. Bado Ndugai.
 
Jikite kwenye principle ei kubadilisha katiba....
usijikite kwenye petty issues.....
ni ushauri tu nakupa
 
Sabaya siyo yale mabugia unga ya Chadema na ngada yaliyooolewa Ulaya
Wewe unakaa kwa dada yako na akiwa kwenye deiz zake shemeji yako anakupuliza wewe ndiyo maana huna akili sawa sawa. Wewe na dadako mtu na mke mwenzake
 
Jikite kwenye principle ei kubadilisha katiba....
usijikite kwenye petty issues.....
ni ushauri tu nakupa
Katiba itabadilishwa hata iweje , lakini hatuwezi kuacha hawa wanafiki watambe eti kisa katiba , A very big NO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…