ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Hayo ni mashtaka.... kazi ya Jamuhuri ni kuthibitisha kama ni kweliKasome hati ya mashtaka π ππ. Anavuna alichopanda, afadhali yeye kapewa nafasi ya kufikishwa mahakamani kuliko wale aliokuwa anawaminya kimya kimya na kuwafanyia unyama.
ngoja tusubiriMkuu j3 anapandishwa kizimbani kilimanjaro,then manyara,dom,dar...arusha kosemewa tuhuma za arusha tu.anakesi 900 na ushee hivi......jambazi kavuna alichopanda
Kwi kwi kwiukfuatiliakwa umakini utaona kabisa ni ungese mtupu Mama naye anashikwa akili na wapika majungu na yeye anaigia king tu.
huyu Mama naye ni ovyo hana maana
Sasa mbona mshaanza kupiga kelele kama mnajua kuwa ni mashtaka. Kasomewa mashtaka sasa subiri jamhuri ithibitishe kwani shida iko wapi.Hayo ni mashtaka.... kazi ya Jamuhuri ni kuthibitisha kama ni kweli
Akili zimewasambaa hata mnachoongea hakina uhusiano na kilichopo.Mbowe hajawahi kufikishwa mahakamani?
Yaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
Bado wewe , Wanafiki wakubwa nyie ! wewe si ndio kinara wa kutetea uchafu humu ?Hivi vyeo kama ukuu wa wilaya na ukuu wa mikoa ni vikubwa mno kupewa vijana wa umri wa miaka 30!. Ni vya watu mature wenye umri zaidi ya miaka 45 wenye uzoefu wa maisha na dunia hii. Imagine unakapa kakijana ka miaka 22 ukuu wa mkoa, unategemea nini? Si unakaharibia maisha tu? Katakapofika miaka 50 unategemea kawe kamefikia cheo gani kikubwa zaidi ya hicho kalichoanzia? Urais au zaidi ya urais?
Tulionya humu mara kadhaa watu walitia pamba masikioni wakijua dunia imeacha kuzunguka katika mhimili wake... cheo ni dhamana na utu ni busara.Aliyekuwa mkuu DC wa Hai amesomea mashaka yake sita UHUJUMU UCHUMI UJAMBAZI KWA SILAHA KUTAKATISHA FEDHA NK AMEKWENDA RUMANDE MPAKA TAREHE 18/6/2021
View attachment 1808139
View attachment 1808140
View attachment 1808141
=======
Aliyekuwa mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya (34) na walinzi wake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha wakikabiliwa na makosa mbalimbali likiwemo la uhujumu uchumi, utakatishaji fedha na kupokea rushwa.
Sabaya ambaye alisimamishwa na Rais Samia Suluhu Hassan Mei 13, 2021 kupisha uchunguzi alifikishwa mahakamani hapo akiwa amefungwa pingu na baada ya wote kushuka kwenye magari ya polisi, walitakiwa kuchuchumaa na kisha kupelekwa katika chumba maalum na baadaye kuingizwa mahakamani.
Waendesha mashtaka wa Serikali, Tumaini Kweka, Abdallah Chaula na Tresla Garvas mbele ya Hakimu Mfawidhi, Martha Mahumbuga na Hakimu Mkazi Mkuu, Salome Mshasha wamesema Sabaya na wenzake walitenda makosa hayo Januari 20 na Februari 9, 2021.
Kweka amesema Sabaya na wenzake watano anatuhumiwa kwa makosa ya kuunda genge la uhalifu, uhujumu uchumi, kujipatia fedha kwa njia ya rushwa na utakatishaji fedha ambapo Sabaya alijipatia Sh90 milioni kutoka kwa mfanyabiashara, Francis Mroso mkazi wa kwa Mromboo ambaye alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya ukwepaji kodi ili amsaidie jambo ambalo ni makosa.
Pia, Sabaya na walinzi wake wawili, Sylivester Nyengu (26) maarufu kicheche na Daniel Mbura (38) wanakabiliwa na makosa mawili ya ujambazi wa kutumia silaha wakidaiwa kuyatenda Februari 9, 2021.
Wanadaiwa walimfunga pingu na kumpiga Bakari Msangi ambaye ni diwani wa CCM kata ya Sombetin na kumuibia Sh390,000 na pia katika eneo la Bondeni jijini Arusha wakitumia silaha, Sabaya na walinzi hao wanatuhumiwa kumpiga, kumtishia silaha na kumpora Ramadhani Ayoub simu na Sh35,000.
Kwa kuwa makosa hayo hayana dhamana watuhumiwa hao walipelekwa mahabusu Gereza Kuu la Kisongo na kesi hiyo kuahirishwa hadi Juni 18, 2021.
Mkuu waswahili wana misemo...Shikamononi JF staff members.
Bila shaka Moderator au Mhariri au Active mnakumbuka uzi nilio leta kuhusu tuhuma za Sabaya na mafuta(Haikuwa vibaya kwa vile hamukujua). Kwa vile sasa ni rasmi mmesikia au kuona Nazani mnaweza kurejesha uzi wangu.
Hata kama aliye husika kufuta sijamtaja hapa, mnaweza kumdokeza ili arejeshe huo uzi ambao ulikuwa na video ya CCTV footage.
NB: Siwapangii majukumu ila mnafanya majukumu kwa uwepo wetu
Au nasema uongo ndugu zangu.
Mo na Roma mkatoliki Tundu lisu wapo mbioni kumfungulia kesi BashiteMAKONDA ashukuru alijitoa mapema
Bashite alikwenda Dodoma kumpiga risasi Tundu lisu alimteka MO, Msanii Roma mkatoliki, alimpoteza Ben sanane wa chadema anayo matukio mengi kupindukiaUkimlinganisha makonda na Sabaya ,makonda anaobekana alikuwa malaika hiv
We fala dikteta magufuli aliwahi kukuambia wasamalia waliokuwa wanabambikwa mikesi ya uhujumu- uliwah ambiwa ni nini walihujumuYaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
Acha kufikiri kwa kutumia makalio yani unatafuta ushahidi JF ? Si uende huko mahakamani ukasikilize kesi yake ndio ujuwe anashtakiwa kwa makosa gani.Yaani wayu wa humu jf bwana .mtuambie kafanya makosa gani andikeni humu tujue sio mnaleta polojo tu uhujumu uchumi ni enwo pana je kahujumu nini?
Hakuna anapiga kelele......Sasa mbona mshaanza kupiga kelele kama mnajua kuwa ni mashtaka. Kasomewa mashtaka sasa subiri jamhuri ithibitishe kwani shida iko wapi.
Mbona akina rugemalira wako ndani mpaka leo jamhuri mwaka wa nne imeshndwa kuthibitisha mashtaka, au wao siyo watu mtu ni sabaya π
Tulia wewe mke wa sabaya mmeo ananyolewa kwa chupaMtu wa Hai anaenda kusomewa mashitaka Arusha ili iweje?
Hai hamna mahakama? Na mkoa wa Kilimanjaro je?
Wameogopa mafuriko ya watu mahakamani.
Mahakamani ni sehemu ya kutoa haki kwa hiyo ni vizuri amepelekwa huko ili sasa akina Mbowe wawe wanaenda mahakamani kutoa ushahidi juu ya madai yao.
Mbowe asipoenda kutoa ushahidi mahakamani tutajua ni unafiki tu
Hata Mbowe alikaa Segerea kwa miezi nne na madawa ya kulevya yakaisha mtaani