Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Mimi bado nina mashaka naye kuwa ni Mtu wa Kitengo (bado kile kitambulisho alichoshikwa nacho cha kufoji cha TISS mwaka fulani) harafu akaachiwa bado napata mashaka!
Mambo yataishia uchunguzi bado unaendelea.
Yani sinema kali yani predator inasubiri,hamduni alimvimbia akiwa rpc wa kilimanjaro...sasa hivi uso kwa uso lazima sabaya abebe mimbaOle sabaya uso kwa uso na afande Hamduni!
Mbona bangi mnaiongelea vibaya hivyo kwaajili ya huyo punda Sabaya. Yule ni mjinga tu. Marais wazuri karibia wote wa marekani kuanzia Kennedy, Clinton, Obama..wote walikuwa wavuta bangi. Hivyo vungeniHuyo ni jambazi kama majambazi mengine tena anavuta bangi haswa
Tofauti na ya Arusha mkuuMbona bangi mnaiongelea vibaya hivyo. Marais wazuri karibia wote wa marekani kuanzia Kennedy, Clinton, Obama..wote walikuwa wavuta bangi. Hivyo vungeni
Ya Arusha ina shida gani kamanda?Tofauti na ya Arusha mkuu
Kali snYa Arusha ina shida gani kamanda?
😂😂😂😂😂Kali sn
Seen😂😂😂😂😂
Nikiangalia hiyo Avarta yako ya " Nyamatare 1987". Nakumbuka juzi Sabaya akiwa Cloud TV alisema yeye ana MIAKA 34.Usitishe watu mjinga wewe,eti taasisi ya Raisi ina macho mengi,danganya wajinga,acha watu waongee wanachoamini,kamtishe mkweo huko
Hamuwezi mama. Si unaona mama baada ya Iddy ameenda mapumzikoni Zanzibar kusomewa dua nzito na wazee. Atakae mjaribu sasaiv kwisha habari yake.. tutamfukiaHuyu jamaa ni mshirikina, sasa hivi anashinda kwa waganga likamatwe hili lijitu linyang'anywe ile pete pale kwenye kidole ndio inampa kiburi! Akijisahau akaivua ile pete, au yeyote akimvua anatiwa pingu fasta! Hata huku kutumbuliwa mama alimuwahi maana alitaka kumfanyia udunduwizi kama alivyomfanyia mwendazake! Hili kima ni lishirikina!
Hahahaaaa........!Yani sinema kali yani predator inasubiri,hamduni alimvimbia akiwa rpc wa kilimanjaro...sasa hivi uso kwa uso lazima sabaya abebe mimba
Inasikitisha sana kuona wananchi wakiteseka kwa sheria ambazo zimeekwa. Ifike wakati wananchi nao kwa umoja wao wajue tatizo liko wapi na wajaribu kutafuta suluhisho.Ole Tulia tukusimange
View attachment 1786791
JAMUHURI badala ya JAMHURIView attachment 1787161
Hana ukitengo wowote pimbi huyu na vitambulisho vyake vya kutengenezea stationary za ngaramtoni
Vijana wenyewe si ndio hawa sasa.. anawalipa sh ngapi?Usitishe watu mjinga wewe,eti taasisi ya Raisi ina macho mengi,danganya wajinga,acha watu waongee wanachoamini,kamtishe mkweo huko
hakuna mtu pale, kichwani bure kabisa, profesa assad ndio aliokuwa anamaanisha watu kama hawa kwenye serikali kuwa kichwani hazimo, bado analeta propaganda kutumia account feki nyingi nyingi mitandaoniWakuu amani iwe juu yenu!
Hili naomba niliseme wazi na Sabaya mwenyewe najua yupo humu asome na asikie ujumbe impate. Kama hataki aache lakini matokeo atayapata muda sio mrefu. Hii ni tahadhari kwake kama ana masikio asikie, kama ana ubongo aelewe.
Kuna kundi la vijana wa CCM ambalo hata mimi nikiri mimi kwenye makundi hayo, wanafanya kazi kumsema Vibaya Mhe Rais wetu chini ya uamuzi wake wa kumsimashia Sabaya nafasi ya ukuu wa wilaya, makundi haya yanamtetea Sabaya kwa hali na mali akiyaandaa yeye mwenyewe. Kwa bahati mbaya sana kazi wanayofanya ni kudhihaki mamlaka za nchi. Wamesahau kuwa aliyemsimamisha kazi Sabaya si Samia Suluhu Hassan bali ni Rais Samia Suluhu Hassan. Urais ni taasisi kubwa ina macho yake ya kila aina na ni mengi.
Sabaya badala ya kutulia achunguzwe tuhuma dhidi yake ili ma majibu yajulikane na badala yake anatumia vijana kumsafisha aonekane kua hana hatia. Sabaya unataka kujihami na nini? What if matokeo ya uchunguzi yakasema aliharibu pakubwa na aende jela, wasafishaji wake watenda wapi hali ikiwa hivyo. Wewe wenzako wanatulia hata ili hata kama kuna makosa yatadhihiri hata busara inaweza kutumika kumuadhibu, leo wewe unaona umeonewa na kutuma vijana kumsema vibaya Mama?
Matukio yote unayotuhumiwa nayo Sabaya ni makubwa sana ni bora kukaa kimya. Muungwa huchutama pale akoseapo. Wajanja hukaa kimya ili hata kama kuna makosa waonewe huruma lakini wewe kichwa ngumu.
Hivi wewe unafikiri Mama hana faili lako? Unafikiri hakujui vizuri? Endelea kujiona unaonewa utapata mtu wa kukurudisha kwenye nafasi yako kama si jela.
sabaya akitiwa hatiani aondolewe ccm amechafuaKuna wengine wamefikia hatua ya kumwambia Rais Samia eti ajitafakari.
Umeona eeh!JAMUHURI badala ya JAMHURI
TISS sio wa kufanya makosa ya kipimbi hv
Huyu James Kaji ni nani au alikuwa na ni kwani?Hizo ni tabia za rika la Nyangoro kule umasaini, angekuwa real Laigwanani angechutuma.
Ninachokijua kuhusu Sabaya ni kwamba uchunguzi utafanyika tuhuma zitathibitika (kwa sababu ziko wazi)na atashitakiwa ikibidi ataenda jela. Hatofautiani sana na James Kaji tuhuma ni kama zinafanana na ukwasi is like the same sema kaji alikuwa anapiga kimya kimya.
Huyu sweettablet hapendi ujue.Ole sabaya uso kwa uso na afande Hamduni!
yaani wanamtishia rais? hawa watu huku kujiamini wanakutoa wapiKuna wengine wamefikia hatua ya kumwambia Rais Samia eti ajitafakari.