Ole Sabaya: Rais Samia Suluhu ameleta tumaini jipya katika wakati bado taifa likiwa kwenye maombolezo ya Hayati Magufuli

Ole Sabaya: Rais Samia Suluhu ameleta tumaini jipya katika wakati bado taifa likiwa kwenye maombolezo ya Hayati Magufuli

Hata ujipendekezeje wewe ni mjinga tu, subiri hatma yako
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli

"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".

"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"

"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.

Chanzo: #CloudsDigitalUpdates

Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame.
 
Nitafunga siku 3 ili jicho la mama liangazie kwa kiongozi shupavu kama Ole Sabaya. Hizi ni chembe chembe za damu ya marehemu Edward Moringe Sokoine
 
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli

"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".

"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"

"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.

Chanzo: #CloudsDigitalUpdates

Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame.

Huyu anaweza kumshahuri nini MAMA ?
 
Sabaya anatakiwa kujua Rais wa sasa ni kiongozi na sio mtawala.
Mama Samia hapumbazwi na maigizo sifa bandai, yeye hafoki wala kukurupuka ni mtu wa vitendo.

Kwa awamu hii kama huna uwezo kaa pembeni
 
Ole Sabaya ni hazina ya uongozi wa nchi hii. Huyu ndio kiboko ya manyani na waganga njaa hana chembe ya mzahanao.
Hakuna hazina wala nini! Huyo mpuuzi hana tofauti yoyote ile na kunguni tu. Na kama aliyemtia jeuri amekwisha ondoka, nitashangaa sana kama ataendelea kusalia kwenye hicho cheo alicho nacho sasa.

Hatuwezi kuwa na hazina ya watu wajinga, waimba mapambio, wala rushwa, wanafiki, waonevu, wadhulumati, wazandiki, walevi, wazinzi, wauaji na waovu wa kila aina.
 
Huyu mbwa asiongee kabisa tena ni jambazi kwa kivuli cha serekali.....Rais piga chini huyu kwanza
 
Huyu mbwa asiongee kabisa tena ni jambazi kwa kivuli cha serekali.....Rais piga chini huyu kwanza
Majemadari wa vita wanavikwa nishani sio vinginevyo. Tulia dawa iwaingie nyinyi si mlikuwa mnalilia chanjo!

Ole Sebaya ndio dawa yenu
 
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli

"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".

"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"

"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.

Chanzo: #CloudsDigitalUpdates

Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame.
ni kweli mama ameanza kwakutoa yaliyokua sirini yani gizani
 
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli

"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".

"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"

"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.

Chanzo: #CloudsDigitalUpdates

Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame.
Huyu naye Siku zake zinahesabika! Ni suala LA muda tu.
 
Huyu Sabaya asitupigie kelele, Shenzi taipu!

Alipokuwa anavamia Biashara za watu na Mabunduki usiku Wa manane alikuwa hana matumaini?

Shwain kabisa.
 
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya amesema kuwa Rais wa sasa wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameleta tumaini jipya katika nchi yetu wakati bado Taifa likiwa kwenye maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Tanzania, Hayati Dkt John Magufuli

"Katikati ya majonzi umeleta tumaini jipya,wakati wa saa ngumu umeinua tena mioyo ya watu kwa faraja ya vitendo, lile swali la 'Itakuwaje sasa' umelijibia Chamwino kwa kishindo, sauti thabiti imedhibitisha kwamba "Hautaruhusu nchi ichezewe na Watanzania wadharaulike".

"Mtakapoiona ishara ya kwanza nanyi mtajua wokovu wenu upo Karibu, Kazi ya kwanza leo imethibitisha udhabiti na namna Rais Samia alivyofuzu kwa viwango vya juu toka kwa mtu uliyemuita Mwalimu na Kaka yako Mwenda zake JPM"

"Namtakia kila la kheri Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan. Sasa ni shwari kuu katikati ya dhoruba. Italazimu kumtambua Simba mpole lakini asiyetaka mzaha" Alisema Sabaya.

Chanzo: #CloudsDigitalUpdates

Kazi yetu Kuu ni Kukushauri tu Madame.
Ukiumbwa kujipendekeza maisha yako ni lazima yawe kama Jehanam mbele ya watu wanaojitambua, utaishi kwa shida sana.
Sabaya anashindwa kusoma alama za nyakati kwamba aliyepo madarakani hivi sasa siyo mtu wa kupenda sifa za kijinga? Aliyepo madarakani kwa sasa anajua ni watu gani wakimpongeza hizo ni genuine na anajua wanafiki na wachumia tumbo na madaraka ni wakina nani na wapo tayari kusema na kufanya chochote kile ili tu wapate madaraka.
Nawashauri tu kwamba kwa style yenu ya uingozi hizi siyo nyakati zske, ni wakati sasa mjiweke kando wenyewe. Ninyomi hamna uwezo wa kuunganisha watu bali mnachoweza ni kuwagawa, kuwaumiza na kudharirisha, aina yenu hamstahili tena kuwa karibu na uongozi wa mama Samia.
Kaeni kando
 
Ole Sabaya ni hazina ya uongozi wa nchi hii. Huyu ndio kiboko ya manyani na waganga njaa hana chembe ya mzahanao.
Bado mnaendelea na hizi pumba? Aliyeingia haitaki masifa wala kiki. Fanyeni kazi halali mjipatie kipato, siyo blah blah!
 
Back
Top Bottom