Achinje bata mwekundu.Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
Mama pia yumo umu umu jamii forum, si ajabu anafutilia comment zenu usiku huu,.Mama atuondolee wakuu wa wilaya na wa mikoa wahuni wote
Alikua anamuiga makondaHuyo Mshenzi alipandisha Mabega sana ,hafai kuwa kiongozi ,uongozi ni busara na wala si ubabe,jamaa alikuwa anatumia ubabe kuwapora mali wafanyabiashara ,pia ile skendo yake ya kumtaka msanii nandy aliyekuwa kwenye hotel flani huko kilimanjaro kwa kutumia ubabe.
Kilio chake hakikuwa cha kinafiki sababu hakuwa anaamini kilichotokea,kila akifikiria alivyowaumiza watu na nguzo yake ndio hio imeanguka ataacha kulia kweli?View attachment 1745295
Ila nadhani miongobi mwa vijana walioumia huyu anaweza kuongoza. Sijaona unafiki wa majonzi ktik kiliochake hiki.
Yampasa kujua ya kwamba haya yote ni maisha na huwa yanabadilika. Vyeo vipo na huwa vinapita.
Tena chozi la jicho moja kama mchawi hahahahahaha aende tu kima wa kijani huyo.Sabaya siku ile pale dodoma alikuwa analia na mengi yale machozi .
Tutamshangaa sana mama kama atamuacha.alimdharau sana mama Anna Mghwira ambae kimsingi ni boss wake!Mzee wa kulia jicho moja
Huenda mama akamwamini akampa ukuu wa mkoa. Mungu yuu upande wake
Akionywa abadilike aache ubabe na kunyanyua mabega. Hivi ni vitu ambavyo mapema kabisa mama samia katuonesha kuwa havipendi katika uongozi wake.Huenda akaonywa tu.
Arudie fan yake yake ya utapeli,si alikuwa anajifanya ni mtu wa system(tiss)Tena chozi la jicho moja kama mchawi hahahahahaha aende tu kima wa kijani huyo.
bashweeeeeeeeeeBwashee kama bwashee
Iringa itabaki kwani ni asiliBora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Umeona kesi za kughusi za sabaya kule hai...rejea kesi ya diwani aoiyoshinda juzi.Bora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Mtachonga sana lakini jamaa ataendelea kula kuku kwa mrija tu.Huu ni ushauri wa bure kabisa nakupa mdogo wangu Mkuu wa Wilaya ya Hai Bwana Lengai Ole Sabaya.
Ukibahatika kuendelea kuwa Mkuu wa hiyo Wilaya ya Hai katika hii pangua pangua inayokuja tafuta kondoo mweupe mchinje waite Masheikh hapo Bomang'ombe wakufanyie dua! Na usirudie tena kutumia mamlaka kuumiza wananchi.
[emoji1787][emoji1787]Achinje bata mwekundu.
Aliongea kwa hisia sana jamaa alivyokua anaongea kubambikiwa madeni yasiyo na mbele nyuma...kama unayo mkuu lete tujikumbusheKuna clip ya yule mfanyabiashara wa Moshi ile ndio hukumu ya SaaMbaya
Wote hao wataendelea na uRC wao sijui utakimbilia wapi.Bora Sabaya, ila kuna punda mbili hizo ndo uozo kabisa,
Moja ipo mbeya nyingine Iringa.
Kweli imeandikwa usimtegemee mwanadamu
Tumekuelewa numeo Sabaya atakula sana bata.Mtachonga sana lakini jamaa ataendelea kula kuku kwa mrija tu.
Mpumbavu huyu jamaa