Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 2,603
- 7,501
Ndugu zangu..
Ukweli ni kwamba mwanaume aliumbwa kutawala na kumcolonize mwanamke na vitu vyote viijazavyo dunia.
Mwanaume hakuumbwa kuomba ruhusa bali aliumbwa kutoa taarifa ya kila alichokabidhiwa kukitawala nakukiongoza yeye siku zote mwenye malaka ni mwanaume n anapaswa kuamuakupitia mamlaka aliyo nayo ikiwemo kutoa taarifa.
Wanawake wameumbwa kuwa chini ya wanaume na daima hapaswi kufanya jambo lolote bila idhini ya mwanaume na kwa mantiki hiyo anapaswa kuomba ruhusa kutoka kwa mumewe ili akubaliwe au akataliwe kulingana na vipimo husika mwanaume atakavyo vifanya ili kujiridhisha.
Wanawake wengi hawaoleki kutokana na kujifanya na wao ni wanaume kwa kujikuta wanatoa taarifa badala ya kuomba ruhusa huku wakijawa na kiburi cha hali ya juu na madharau kedekede
Enyi wanawake huu ndiyo ukweli na daima hakuna mwanamke mwezako atataka ujue ukweli huu
Ukweli ni kwamba mwanaume aliumbwa kutawala na kumcolonize mwanamke na vitu vyote viijazavyo dunia.
Mwanaume hakuumbwa kuomba ruhusa bali aliumbwa kutoa taarifa ya kila alichokabidhiwa kukitawala nakukiongoza yeye siku zote mwenye malaka ni mwanaume n anapaswa kuamuakupitia mamlaka aliyo nayo ikiwemo kutoa taarifa.
Wanawake wameumbwa kuwa chini ya wanaume na daima hapaswi kufanya jambo lolote bila idhini ya mwanaume na kwa mantiki hiyo anapaswa kuomba ruhusa kutoka kwa mumewe ili akubaliwe au akataliwe kulingana na vipimo husika mwanaume atakavyo vifanya ili kujiridhisha.
Wanawake wengi hawaoleki kutokana na kujifanya na wao ni wanaume kwa kujikuta wanatoa taarifa badala ya kuomba ruhusa huku wakijawa na kiburi cha hali ya juu na madharau kedekede
Enyi wanawake huu ndiyo ukweli na daima hakuna mwanamke mwezako atataka ujue ukweli huu