Ole wenu wanawake hakuna mwanaume atakaye kubaliana na huu upuuzi ni mara mia usikubali kuchanua mapaja kama unajijua huwezi kuomba ruhusa kwa mumeo

Ole wenu wanawake hakuna mwanaume atakaye kubaliana na huu upuuzi ni mara mia usikubali kuchanua mapaja kama unajijua huwezi kuomba ruhusa kwa mumeo

Malalamiko ya wana ndoa yamekua mengi hadi kero, kwani Ndoa lazima?

Em mtupumzishe na hizi porojo zenu, mtajuana wenyewe huko huko.
Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umri wako tafadhari.
 
Ndugu zangu..

Ukweli ni kwamba mwanaume aliumbwa kutawala na kumcolonize mwanamke na vitu vyote viijazavyo dunia.

Mwanaume hakuumbwa kuomba ruhusa bali aliumbwa kutoa taarifa ya kila alichokabidhiwa kukitawala nakukiongoza yeye siku zote mwenye malaka ni mwanaume n anapaswa kuamuakupitia mamlaka aliyo nayo ikiwemo kutoa taarifa.


Wanawake wameumbwa kuwa chini ya wanaume na daima hapaswi kufanya jambo lolote bila idhini ya mwanaume na kwa mantiki hiyo anapaswa kuomba ruhusa kutoka kwa mumewe ili akubaliwe au akataliwe kulingana na vipimo husika mwanaume atakavyo vifanya ili kujiridhisha.

Wanawake wengi hawaoleki kutokana na kujifanya na wao ni wanaume kwa kujikuta wanatoa taarifa badala ya kuomba ruhusa huku wakijawa na kiburi cha hali ya juu na madharau kedekede

Enyi wanawake huu ndiyo ukweli na daima hakuna mwanamke mwezako atataka ujue ukweli huu
Mijadala kama hii, busara ni kuisoma na kuisikiliza halafu unaacha kama ilivyo huku ukifuatilia maoni ya wengine
 
Kabinti kenyewe kamekauka kama kamekaangwa na mafuta ya transfoma, sidhani kama kuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza kuoa ujinga kama huu.

Binafsi siwezi
 
Back
Top Bottom