Ole wenu wanawake hakuna mwanaume atakaye kubaliana na huu upuuzi ni mara mia usikubali kuchanua mapaja kama unajijua huwezi kuomba ruhusa kwa mumeo

Ole wenu wanawake hakuna mwanaume atakaye kubaliana na huu upuuzi ni mara mia usikubali kuchanua mapaja kama unajijua huwezi kuomba ruhusa kwa mumeo

Ruhusu
Taarifa

MTU anatoa taarifa ya anapokwenda ili ikitokea ameshindwa kurudi ujue wapi pakumpatia.


Njia bora ya kumfanya mfungwa asitoroke gerezani hakikisha unamfanya asigundue kuwa YUPO gerezani .


Maana yake nini ?

MPE mwanamke Uhuru wa kutosha then katika huo Uhuru wewe mkubushe mipaka sahihi ya Uhuru wake ni IPI

Kosa kubwa ambalo WATU hufanya ni kumnyima MTU Uhuru hilo ni kosa

Mfundishe MTU njia bora za kutumia Uhuru wake na then usimuingilie Ila mkubushe .


Mwanaume akianza kuona ana nguvu na anabidi wamtii kwa kila kitu hapo ndo kosa linapoanzia that is hell .

Muachie simu yake Ila mfundishe mambo ya kuzingatia ili asipotoke

Mruhusu kutoka -Ila mwambie katika kutoka huko mambo gani ya kuzingatia.

Usimwekee Mwanamke mipaka Ila mfundishe namna sahihi ya Ku-handle mipaka yake.
 
Ndugu zangu..

Ukweli ni kwamba mwanaume aliumbwa kutawala na kumcolonize mwanamke na vitu vyote viijazavyo dunia.

Mwanaume hakuumbwa kuomba ruhusa bali aliumbwa kutoa taarifa ya kila alichokabidhiwa kukitawala nakukiongoza yeye siku zote mwenye malaka ni mwanaume n anapaswa kuamuakupitia mamlaka aliyo nayo ikiwemo kutoa taarifa.


Wanawake wameumbwa kuwa chini ya wanaume na daima hapaswi kufanya jambo lolote bila idhini ya mwanaume na kwa mantiki hiyo anapaswa kuomba ruhusa kutoka kwa mumewe ili akubaliwe au akataliwe kulingana na vipimo husika mwanaume atakavyo vifanya ili kujiridhisha.

Wanawake wengi hawaoleki kutokana na kujifanya na wao ni wanaume kwa kujikuta wanatoa taarifa badala ya kuomba ruhusa huku wakijawa na kiburi cha hali ya juu na madharau kedekede

Enyi wanawake huu ndiyo ukweli na daima hakuna mwanamke mwezako atataka ujue ukweli huu
"Wanawake wengi hawaoleki kutokana na kujifanya na wao ni wanaume kwa kujikuta wanatoa taarifa badala ya kuomba ruhusa huku wakijawa na kiburi cha hali ya juu na madharau kedekede"📌
 
Ruhusu
Taarifa

MTU anatoa taarifa ya anapokwenda ili ikitokea ameshindwa kurudi ujue wapi pakumpatia.


Njia bora ya kumfanya mfungwa asitoroke gerezani hakikisha unamfanya asigundue kuwa YUPO gerezani .


Maana yake nini ?

MPE mwanamke Uhuru wa kutosha then katika huo Uhuru wewe mkubushe mipaka sahihi ya Uhuru wake ni IPI

Kosa kubwa ambalo WATU hufanya ni kumnyima MTU Uhuru hilo ni kosa

Mfundishe MTU njia bora za kutumia Uhuru wake na then usimuingilie Ila mkubushe .


Mwanaume akianza kuona ana nguvu na anabidi wamtii kwa kila kitu hapo ndo kosa linapoanzia that is hell .

Muachie simu yake Ila mfundishe mambo ya kuzingatia ili asipotoke

Mruhusu kutoka -Ila mwambie katika kutoka huko mambo gani ya kuzingatia.

Usimwekee Mwanamke mipaka Ila mfundishe namna sahihi ya Ku-handle mipaka yake.




Na ndo maana kabla ya kumuoa mwanamke au mwanaume kuoa ni vizuri akajiandaa kiakili kuliko hata kujiandaa kipesa

Maana yake nini 👇🏾

Kuna WATU wameolewa Ila hawajui Kama wameolewa na wengine wameoa ila hwajui kama wameoa walijiandaa kifedha, kimwili Ila sio kiakili Mtu akiwa ndo mke wako au Mme wako usipomkubusha kumbusha kuwa wewe tayari umeolewa na wewe tayari umeoa sio ajabu ukawa unamkuta anapambania kutongozwa na kutongoza kila Leo.


Mambo mengi yanayomtesa MTU baada ya kuyapata iwe fedha , ndoa ,Kazi na elimu ni mambo ambayo MTU hakuiandaa akili yake kuyapokea.


Mambo Kama
Kufatiliana
Kugauana simu
Ruhusa /taarifa
Kugombana na mwenza
Kuchukiana n.k

Haya mambo kwa kiasi kikubwa hutokea katika ndoa kwa watu amabao hawakuzianda akili zao kuishi pamoja.

Na MTU mmoja akasema "Divorce Talaka huwa inatokea hata kabla haujaoa au kuolewa -hivyo waweza kuzuizua talaka kabala hata ya ndoa
 
Mazingira ndio yanayoamua Kama umeoa mwanamke Hana kazi yeyote Ina maana kuwa akitaka kutoka nyumbani Hana mahala pa msingi pa kwenda hivyo nilazima kuomba ruhusa Kama Umeoa mwanamke msomi mwenye kazi inahoeleweka au hata mfanyabiashara au mkulima akitoka hawezi kusema naomba ruhusa ya kwenda Shambani au naomba ruhusa ya kwenda kazini. Ukiona anaomba ruhusa moja kwa moja anaenda sehemu isiyokuwa na umuhimu.
Mkeo akikuambia "mume wangu naenda kazini".

Je, hapo kwa akili ya uanaume huyo mkeo kaomba ruhusa , kaaga au katoa taarifa?
 
Tafadhali em jiangalie kwenye kioo
Tena siyo kwa binadam tu, tazama hata wanyama, wadudu, wa kiume wote ni watumwa wa mwanamke.

Yamekuingia?

Wanaume msijidai kujitutumuwa, hamna lolote zaidi ya utumwa tu, ndivyo mlivyoumbwa, hamuwezi kubadili hilo.
 
Tena siyo kwa binadam tu, tazama hata wanyama, wadudu, wa kiume wote ni watumwa wa mwanamke.

Yamekuingia?

Wanaume msijidai kujitutumuwa, hamna lolote zaidi ya utumwa tu, ndivyo mlivyoumbwa, hamuwezi kubadili hilo.
Tatizo wewe ndio wa kwanza Kula lile tunda
 
Mkeo akikuambia "mume wangu naenda kazini".

Je, hapo kwa akili ya uanaume huyo mkeo kaomba ruhusa , kaaga au katoa taarifa?
Katoa taarifa , au tunaweza kusema kuaga. kuomba ruhusa Ni pale anaenda mahala ambapo kimsingi anajua wewe mwanume unaweza kutokumruhusu ndiposa anaomba ruhusa yako aende. Sehemu Kama kazini sio ya kuomba ruhusa kwasababu anajua huwezi kumzuia kwenda kazini otherwise uwe na matatizo ya akili
 
Tena siyo kwa binadam tu, tazama hata wanyama, wadudu, wa kiume wote ni watumwa wa mwanamke.

Yamekuingia?

Wanaume msijidai kujitutumuwa, hamna lolote zaidi ya utumwa tu, ndivyo mlivyoumbwa, hamuwezi kubadili hilo.
Wanaume sio watumwa wa mwanamke Wala mwanamke sio mtumwa wa mwanaume. Utumwa upo kiuchumi na sio kijamii (kuhusiana) Ukiona kula yako inategemea mfuko wa mtu mwingine wewe Ni mtumwa maana utafanya kile anachotaka kiwe kibaya au kizuri

Ukitaka kuwa guru duniani Ujiweze kiuchumi basi
 
Ruhusu
Taarifa

MTU anatoa taarifa ya anapokwenda ili ikitokea ameshindwa kurudi ujue wapi pakumpatia.


Njia bora ya kumfanya mfungwa asitoroke gerezani hakikisha unamfanya asigundue kuwa YUPO gerezani .


Maana yake nini ?

MPE mwanamke Uhuru wa kutosha then katika huo Uhuru wewe mkubushe mipaka sahihi ya Uhuru wake ni IPI

Kosa kubwa ambalo WATU hufanya ni kumnyima MTU Uhuru hilo ni kosa

Mfundishe MTU njia bora za kutumia Uhuru wake na then usimuingilie Ila mkubushe .


Mwanaume akianza kuona ana nguvu na anabidi wamtii kwa kila kitu hapo ndo kosa linapoanzia that is hell .

Muachie simu yake Ila mfundishe mambo ya kuzingatia ili asipotoke

Mruhusu kutoka -Ila mwambie katika kutoka huko mambo gani ya kuzingatia.

Usimwekee Mwanamke mipaka Ila mfundishe namna sahihi ya Ku-handle mipaka yake.
Nje ya ndoa upo sahihi lakini ndani ya ndoa mke uomba ruhusa baada ya taarifa.Zingatia msingi wa "NDOA" ni DINI,nje ya DINI hakuna ndoa.
 
Jadda unaitwa huku.
Mkuu hilo litawezekana ikiwa tu huyo mwanamke ni mama wa nyumbani anayemtegemea mumewe kwa kila kitu, ila kwa hawa wanaume wa siku hizi wanaodai kila mtu ajitafutie pesa na mali zake hawana budi kukubali kupoteza hayo mamlaka, huwezi kukitawala kiumbe usichokiwajibikia inaonekana wanaume wengi hawajui kwanini walipewa hiyo mamlaka wanayoililia
 
Hakuna mahusiano yatayodumu endapo hakuna UTII kwa mkubwa au kiongozi.
UTII sio ombi huwa ni lazima.
Mungu hatuombi kumtii, ni lazima TUMTII vinginevyo hayuko nasi
 
Back
Top Bottom