Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Msemo wa 'Customer is always the King' , hatuwezi kuwalazimisha wateja bali tunafuata vile wateja wanavyopenda. Yaani nyama za makopo zilizosindikwa hazina biashara kubwa zaidi ya nyama za buchani zilizotoka ktk machinjio ya jirani na kwao.

Tamaduni za wateja ziheshimiwe na biashara ilenge vile mteja anataka na tuifanye vizuri ndivyo tutakavyowashinda washindani wetu wa soko la wanyama hai .
Si kila Mara customer huwa ni king
biashara yoyote ni vile ulivyoamuaa kuifanya. Tunanunua nguzo sana kutoka china, kwa hiyo leo tuliwaambia wachina hatununui nguo zao tena mpaka wajenge viwanda vyao huku watakubali?
Leo tunauza maparachichi nje ya nchi, kwa hiyo wakisema tuwauzie miti ya miparachichi badala ya parachichi napo tutakubali?
 
Akina Tembo lazima iwe meli
Wanyama Hai, Wanyama Hai, Wanyama Hai.
Sidhani kama tembo analiwa! Au Simba analiwa? Au Fisi analiwa? Au Kima analiwa!!!
Nafikiri kauli hii inahusisha wanyama ambao wamekuwa wakisafirishwa baada ya kuchinjwa.
 
Hoja yako ilikua ni kuhamisha wanyama na ukasema oman ni ndugu zetu, ndio nikakuuliza Marekani alisema pia atawapa nao ni ndugu zetu?
Serious business ya kuuza wanyama hai?
Nchi zote duniani zimeendelea kwa kuwa na viwanda vya kuzalisha finished products na kuuza nje. Kwa nn hao wa oman wasije kuwekeza viwanda vya nyama hapa?
Ndugu zenu? Usinilishe maneno!

BTW:Mimi huwajibika kwa ninachokiandika tu na si uelewa wa mtu
 
View attachment 2259291
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................

Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini
Hivi kweli duniani kuna uuzaji wa vitoweo wakiwa hai? Ngombe, nguruwe, kuku sungura wote huuzwa kama nyama na sio wakiwa hai. Hii ni pamoja na kuepuka kusambaza magonjwa.

Lakini pia tunazungumza kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani mazao yetu huku kuuza live animal hakuna afya kwa viwanda na ajira nchini
 
yaani apo watakao 'safirishwa' (kuibiwa) ni wild animals kama twiga, faru, tembo, simba & Nyati etc. na wala si domestic animals kitimoto, mbuzi au ng'ombe

UWT sijui wanakwama wapi, yaani wamelala usingizi wa pono wakati mama anaelekea kuihujumu nchi ya Tanganyika tena live kabisaa,
Sharjah wameshaanzisha mbuga ya wanyamapori wa Africa.

Kitakachotikea watalii wanaokuja Africa wataenda Sharjah.

Samia amerudia habari hi,i za kutaka kupeleka wanyama nje, alilisema New York City, tena bila kuulizwa.

Alipita Central Park akajiropokea tu kwamba hapa tunaweza kuwapa wanyama muwaweke.
 
Sharjah wameshaanzisha mbuga ya wanyamapori wa Africa.

Kitakachotikea watalii wanaokuja Africa wataenda Sharjah.

Samia amerudia habari hi,i za kutaka kupeleka wanyama nje, alilisema New York City, tena bila kuulizwa.

Alipita Central Park akajiropokea tu kwamba hapa tunaweza kuwapa wanyama muwaweke.
Huwa najiuliza bila kuwaambia atawapa wanyama hawawezi kumsikiliza?
 
Amesahau kuwakumbusha sasa kuacha kuwanyanyasa dada zetu wanaoenda kuganga njia kwenye majumba yao na ku end human trafficking
 
Wanyama Hai, Wanyama Hai, Wanyama Hai.
Sidhani kama tembo analiwa! Au Simba analiwa? Au Fisi analiwa? Au Kima analiwa!!!
Nafikiri kauli hii inahusisha wanyama ambao wamekuwa wakisafirishwa baada ya kuchinjwa.
Tembo analiwa bwashee

Waziri Kigwangalla alikuwa alileta nyamae za Tembo Swala Pofu Mamba nk nk na kutuuzia pale kijiji cha makumbusho
 
Hivi kweli duniani kuna uuzaji wa vitoweo wakiwa hai? Ngombe, nguruwe, kuku sungura wote huuzwa kama nyama na sio wakiwa hai. Hii ni pamoja na kuepuka kusambaza magonjwa.

Lakini pia tunazungumza kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani mazao yetu huku kuuza live animal hakuna afya kwa viwanda na ajira nchini
Nchi ya vituko hii, badala ya kuwamba wake wajenge viwanda vya nyama unawabia utawauzia wanyama hai. Alafu unataka maendeleo
Haya ndio yamefanya nchi za Africa kuwa hapa zilipo
 
Wanyama Hai, Wanyama Hai, Wanyama Hai.
Sidhani kama tembo analiwa! Au Simba analiwa? Au Fisi analiwa? Au Kima analiwa!!!
Nafikiri kauli hii inahusisha wanyama ambao wamekuwa wakisafirishwa baada ya kuchinjwa.
Kuhusu hao Simba na tembo aalisema alipokua Marekani kuwa anaomba awape hao wanyama maana kwao wapo wachache
 
Kuuza nyama na kuuza ng'ombe ipi ni fixed mentality?
Anayeuza nyama ndio amechangamkia fursa kwa kuwa anauza finished product. Na ataongeza thamani ya bidhaa yake kuliko kuuza ng'ombe
Matatizo unayoyaona Leo kwenye nchi zote za Africa ni sababu ya huo ujinga wa kuuza malighafi na sio finished products.
Kwahiyo nchi kama Australia wanaosafirisha Kondoo huko ni wajinga ila wewe ndio una akili kuwazidi? Kama hao wahitaji wametaka Ng'ombe hai,wewe tatizo lako ni nini?
 
Mambo haya yalianza na Mwinyi kuuza kipande cha Serengeti mpakani mwa Loliondo.
Akaja Kikwete kuwapa Ngorongoro na twiga kusafirishwa mchana.
Mama anafuata nyayo tu
Kwanini hawa wote dini yao ni moja?? Au ni maagizo ya dini kuuza wanyama na ardhi za Tanzania
 
Hakuna dili lolote hapo. Wao wanapaswa kuuziwa finished products Kama nyama. Viwanda hapa vipo Kama havipo serikali iweke mazingira viongezwe au hao waoman waje kujenga viwanda huku wasafirishe hizo nyama

Kama Australia waliwapelekea nyama ya kangaroo kwa jina la kondoo
Unafikiri Sisi tutawapelekea nini?

Ila wapo wanaopeleka nyama kutoka Dar na Dodoma pia
Ila nchi nyingi wanapenda wanyama hai wachinje wenyewe nalijua sana hili
Lakini ni mawazo pia ila mwisho wa siku watamalizana wao
 
Back
Top Bottom