Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Oman: Rais Samia ataka kuwepo Maritime transport ya kusafirishia Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman

Kwa dunia ya sasa jamani, kwanini tusiwasafirishie final product kama ni nyama, au ngozi zilizokwisha andaliwa kama final product.
Kusudi tuweze kutengeneza ajira kwa wanachi wetu, mbali na iyo nakutengeneza mzunguko makubwa wa pesa(multiplication of income).
 
Hapa wanaua viwanda vya ndani.

Sijui nani anatoa mawazo mabovu ya kuliangamiza Taifa kwa Rais.

Na Rais naye sidhani kama anapata muda wa kuwa na second thought.
Kivipi mzee, mbona unaleta ubishi wa kipumbavu hapa?? Umewahi hata kufika bara tofauti na Afrika??
Yaan unawaza kitoto sana. Nenda Australia ukajionee hizo biashara, hata USA wanauza NGURUWE hai kwenda nchi nyingi tu.

Umetawaliwa na ujima, na obvious umetokea familia duni mno, huna exposure yoyote zaidi ya kusoma kwenye magazeti au movie.

Go extra mile nigga, dunia haiendeshwi hivyo mkuu.
 
Kivipi mzee, mbona unaleta ubishi wa kipumbavu hapa?? Umewahi hata kufika bara tofauti na Afrika??
Yaan unawaza kitoto sana. Nenda Australia ukajionee hizo biashara, hata USA wanauza NGURUWE hai kwenda nchi nyingi tu.

Umetawaliwa na ujima, na obvious umetokea familia duni mno, huna exposure yoyote zaidi ya kusoma kwenye magazeti au movie.

Go extra mile nigga, dunia haiendeshwi hivyo mkuu.
Hawa hua wana ongopeana huko kwenye vijiwe vya kahawa kisha wanayabeba hayo maneno kama yalivyo.

🤣🤣🤣🤣
 
Mama anazingua sana Sasa hivi.

Anatuuza mchana kweupe, Hapo ametumia Tu lugha ya staha Ila kinacholengwa ni wild animals.


Now, nimeelewa sasa kwanini ilisemwa mwanamke ni kiumbe dhaifu even if amesoma Ila Bado haiondoi udhaifu wake wa kiasili.

Pamoja na mazuri yake Ila kwa haya yanayoendelea mama anatuangusha sana.

Namuombea kwa Mungu apate kuamshwa kwenye usingizi wa fikra.
Kwambaaaaali naanza kumuelewa Ndugai hapo simpendi kutoka moyoni. Na pia kwanini Wamasai wanaondolewa Kwa nguvu kutoka Wilayani Ngorongoro.
 
Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.
Mwisho wa siku tutaachwa tukiwa mifupa mitupu
 
Hongera sana Rais, haya ndio mambo tunataka kuyasikia, fursa, fursa, fursa.... Watanzania ni muda wa kuamka sasa na kuendana na fursa zilizopo Duniani, tusiwe Watu wa kulalamika hovyo.
 
yaani apo watakao 'safirishwa' (kuibiwa) ni wild animals kama twiga, faru, tembo, simba & Nyati etc. na wala si domestic animals kitimoto, mbuzi au ng'ombe

UWT sijui wanakwama wapi, yaani wamelala usingizi wa pono wakati mama anaelekea kuihujumu nchi ya Tanganyika tena live kabisaa,
Mkuu tuliambiwa anaupiga mwingi,au sasa hivi anabutua?
 
Nchi kama Somali wanasafirisha Mbuzi na Kondoo huko Oman,Australia wanasafirisha Kondoo huko Oman,

Naona badala ya kuchangamkia fursa mmekimbili sijui Twiga mara Tembo!

Bila kubadili hizi fixed mind mentality mtu atajikuta yupo pale pale tu miaka na miaka.
Wewe umeelewa vipi? Na je umeelewa alichomanisha? Je ni wanyama gani?
 
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................


Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini.
Yaniiii maji mtaita mma.... Acha kabisa... Eeeeee
 
Salaam Wakuu,

Rais Samia katika Kongamano la Wafanyabiashara wa Oman na Tanzania, amesema kuna umuhimu Mkubwa wa kuangalia Usafiri wa Majini akimanisha Meli yenye Uwezo wa kusafirisha Wanyama wakiwa hai kutoka Tanzania kwenda Oman.

Watu hapa wasifikilie Wanyama Pori tu, Bali ni Habari njema kwa Wafugaji wa Tanzania kwani sasa Wataanza Kusafirisha Ng'ombe, Sungura, Kitimoto, Mbuzi, Swala, Twiga nk hasa kwa wawindaji wenye Vitaru.

Pia kazungumzia kuhusu meli za Kuvua samaki Bahari Kuu.

Amewataka Oman waje kuwekeza Tanzania ardhi ipo ya kutosha.

Watanzania Kaeni Mkao wa kula.

............................................................................


Rais Samia akiwa kwenye kongamano Kiuchumi nchini Oman, amesema kuwepo kwa vyombo vya usafirishaji vya majini kusafirisha wanyama walio hai na bidhaa mbalimbali kwenda Oman kutaboresha biashara kati ya pande hizo mbili

Pia amegusia japokuwa tuna makubwa ya kuvua, kwa sasa hamna uvuvi wenye tija kwa taifa, amesema “kuna nchi zinakuja Tanzania kuvua na hatuwezi kuwafukuza kwa sababu hatuna vifaa, hivyo wanavua na kuondoka, hili ni eneo lingine ambalo tunaweza kushirikiana kwa pamoja”

Amesema kuwa kongamano la mwaka huu limekusudia kuangazia namna Tanzania itashirikiana na Oman katika sekta za utalii, kilimo, Uzalishaji (viwanda) mifugo na uvuvi na usafirishaji wa majini.
Nafkiri washauri wangejikita kushauri kwamba, kusafirisha wanyama hai, tutapoteza thamani ya bidhaa nyingi zitokanazo na wanyama husika kama,ngozi, nyama (processed meat) na viwanda kwa ujumla,hivyo tungejikita kuhimiza uwekezaji wa viwanda vya nyama na ngozi viwepo hapa nchini as faida itakuwa huku zaidi.hawa ndugu zetu kwa uwezo walionao kifedha wanaweza kununua hata mifugo yote then tukabakiwa na hewa .
 
Nafkiri washauri wangejikita kushauri kwamba, kusafirisha wanyama hai, tutapoteza thamani ya bidhaa nyingi zitokanazo na wanyama husika kama,ngozi, nyama (processed meat) na viwanda kwa ujumla,hivyo tungejikita kuhimiza uwekezaji wa viwanda vya nyama na ngozi viwepo hapa nchini as faida itakuwa huku zaidi.hawa ndugu zetu kwa uwezo walionao kifedha wanaweza kununua hata mifugo yote then tukabakiwa na hewa .

Fremantle, Australia
Loading sheep for live export from Fremantle. This video shows preparation, transport and loading of sheep for export from Fremantle

 
Tulieni dawa iwaiingie" huu ni muda wa kulamba asali"

Nimetokea kumchukia sana huyu bibi
 
Back
Top Bottom