paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Mlipuko huu wa Corona, kila mtu alinde abiria wake, Mimi Niko kijijini, Nimepiga marufuku mtu yeyote anayetokea mijini kukanyaga kwangu,Siku mwanao akija na kukuonyesha matokeo amescore 7% ukamuhoji na akakwambia “tupo wengi tumepata 7% na wengine wamepata 3%”. nadhani wewe unaweza kuwa happy tu kwa kuwa “wapo wengi na hivyo sio shida” na life likasonga as if hakuna lililotokea
Two wrongs don’t make it a right. Look at the big picture!
Yaani ni sawa na kusema. Mbona wote wanakufa ngoja na Mimi nife tu. Haya ni mawazo ya kijinga. A leader always struggled to overcome others not to be in the same pool .Wewe umeona ni Tanzania tu iliyozuiliwa watu wake kuingia Oman
Na ndio ukweli wenyewe. CHanjo hatutaki, kudhibiti misongamano hatutaki, na kuvaa barakoa ni kwa kulazimishana. Matokeo yake itafikia hatua hakuna Mtanzania ataruhusiwa kutoka kwenda nje ya nchi, kwa sababu atakuwa hajachanjwa na wala taarifa za afya yake hazijulikani. Siasa mbaya sana kwa kweliDunia nzima sasa inatuona Tanzania kama "NUKSI a.k.a MWAJUMA NDALA NDEFU". Mataifa yote duniani huko yanatu "NG'ONG'A NA KUTUSENGENYA".
Juzi African Union ilitoa tamko kwamba Tanzania tujichunge, tunahatarisha bara zima la Africa kwa ukaidi wetu wa kuchukua tahadhari dhidi ya hili janga la Covid-19.
Wao hawaathiriki kwa hatua hiyo,?,kwanini mnapenda kujishusha sana ?Kama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo.
Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana.
Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious kupambana na janga la Corona kama mataifa mengine.
Chanzo: BBC
18% tu?Wanachoangalia ni wingi wa maambukizi maana watanzania wanaoingia Oman wakipimwa kule zaidi ya 18% wanapatikana na virusi vya korona.
Ghana, SA, na kwingineko nako selikali hazifanyi kazi?Yeye ni mtanzania ameamua kuizungumzia nchi yake sasa kuna tatizo gani?Halafu Tanzania kuwekwa kundi moja na nchi kama South Africa ni hatari sana maana hilo Taifa limeathiriwa pakubwa.
Mpaka Oman kufikia kuiwekea vikwazo vya safari Tz basi ujue kuna tatizo kubwa ndani ya serikali hawalifanyii kazi.
Kwanini usijiulize why hizo nchi nyingine?kwa hito unataka tupate faraja kwa sababu ni nchi nyingi?!? swali hapa na masikitiko hapa ni WHY MY TANZANIA!?!? hata kama ingekuwa kwa siku moja tu WHY TANZANIA?!? mi naona ndio la msingi hapa
Kwani hizo nchi zingine zilizozuiliwau mleta uzi hazifahamu?,au anausongo na Tz tu?Watetezi watakuja punde waseme “kwanza hatupo peke yetu by the way, zipo Nchi 10”
Kuna watu siku zote hutafuta namna ya kutetea tuuuu na hawaangalii picha kubwa
Hapa ndio kwenye tatizo.. tumekua waze wakuamini ngano za maombi yatanusuru hili taifa.. namini hata Sir God uko alipo anatuona mazwazwa tumepewa ubongo wakuchakatua mambo lakini bado tunashindwa tatua changamoto zinazotukabiri nakujitia uvivu wa kufikili.. tuite wachungaji tanzania nzima wafunge na kuomba huenda janga likatoka nduki kama shida nimaombiWanachoangalia ni wingi wa maambukizi maana watanzania wanaoingia Oman wakipimwa kule zaidi ya 18% wanapatikana na virusi vya korona.
A leader always struggled to overcome
Nchi nyingine za nini mimi mkuu?!? mi nalia na nchi yangu TZ ndio ninapolali na ndio ninapoamkia, nikahangaike na SA ya nini?!?Kwanini usijiulize why hizo nchi nyingine?
Kwani jamaa yuko nchi gani na wew uko nchi gani ambayo imepigwa ban lakini jamaa hajaisema?JF bwana, zamani ndiyo ilikuwa chanzo changu pekee cha habari.....
Mleta mada amaeishiwa wino wa kuandika nchi nyingine ambazo pamoja na Tanzania watu wake wamezuiwa kuingia Oman..
Aibu yako mleta mada!
Nikumbushe jambo moja Alexander The Great kuwenye mwili wako kuna kitu kinaitwa "subconscious mind" kwa kiswahili wanaita mawazo ya kina....sehemu ambapo vitu vyote vinafanyika bila utashi wako mfano kkupiga kope, kupumua, mapigo ya moyo, nk kuna kitu unaongeza ambacho kitakuwa kinafanyika bila utashi wako....yaani umekitengeneza au kwa kujua au bila kujua na kitakuwa kinafanyika automatically bila utashi wako maana "subconscious mind" huwa hajali unaigiza au unatania....yaani hata ikitokea fursa ya kukunufaisha kale ka element ka KUPOTOSHA mambo katakuwa kanajirudia bila wewe kujua....!
Kasema kabisa kuwa zipo nchi nyingine ikiwemo Tz, yeye ni Mtanzania na yuko Tz hivyo kaandika kuhusu Tz, kwanini na wew usiandike kuhusu hizo nchi nyingine? So ukiambiwa kwa mfano na Ghana wamepigwa ban so akili yako ita justify ujinga wako kwa sababu mjinga siyo wew pekee au?. IdiotWewe umeona ni Tanzania tu iliyozuiliwa watu wake kuingia Oman