Yeye ni mtanzania ameamua kuizungumzia nchi yake sasa kuna tatizo gani?Halafu Tanzania kuwekwa kundi moja na nchi kama South Africa ni hatari sana maana hilo Taifa limeathiriwa pakubwa.
Mpaka Oman kufikia kuiwekea vikwazo vya safari Tz basi ujue kuna tatizo kubwa ndani ya serikali hawalifanyii kazi.
Mkuu, piga kazi ustake kuiona siku mbaya asubuhiasubuhi!Kasema kabisa kuwa zipo nchi nyingine ikiwemo Tz, yeye ni Mtanzania na yuko Tz hivyo kaandika kuhusu Tz, kwanini na wew usiandike kuhusu hizo nchi nyingine? So ukiambiwa kwa mfano na Malawi wamepigwa ban so akili yako ita justify ujinga wako kwa sababu mjinga siyo wew pekee au?. Idiot
Mkuu mimi pia ni beberu, je wew ni kinyume na beberu?Wewe umeona ni Tanzania pekee iliyozuwiwa watu wake kuingia Oman?
Au na wewe ni walewale Watanzania mwili Ila mioyo Yao ni mabeberu?
Hivi hawa ni ndugu?Wamesemaje hao mabeberu??View attachment 1710290
Beberu??Mkuu mimi pia ni beberu, je wew ni kinyume na beberu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kila nchi imepigwa ban kwa sababu tofauti tofauti, ila Tz kwa mujibuwa mleta uzi ni kwasababu Tz haiko seriousVipi Ghana na SA nao? Maana wamo kwenye hiyo orodha
Na watalii ni hao hao mabeberu au watalii wanatoka nchi tofauti na mabeberu. Inaonekana mabeberu no watu wabaya sana lakini tumenunua dreamliner kuwaleta watalii wasipate shida kabisa. Ebu tuelimishe mkuuBeberu??
Kwetu huku mabeberu tunawaita wapumbavu na wezi wa rasilimali zetu
Kwanin ukiiona hiyo habari usiiruke?Nyuzi za kuhusu mambo ya Coro**
KWA NINI ZISIUNGANISHWE?
Watu wakitaka habari zake waende huko.
Kuna mambo mengine yapo juu ya kipimo cha akili zako, mfano akili zako ni ukubwa wa injini ya bajaj alafu mada ni injini ya boeing 777...hapo utaelewa kweli?Umeandika nini sasa
I meant that a leaders should always strusggle to be unique and excell in whatsoever she/he does not mimicing what others do.I am very pleased with the decision of the Ministry of Justice to change the use of English in court to bring it to our beloved Kiswahili language.
Meaning For most Tanzanians they do not know English like this relative
Use only Swahili
Ha ha hujui lugha ya malkia ila endelea kujipima hapa jf mradi hoja inaelewekaI meant that a leaders should always strusggle to be unique and excell in whatsoever she/he does not mimicing what others do.
I know English my dear more than your eloquent English from SAUT
Mkuu antimatter nilichotaka kufafanua hapo ni kuondoa atmosphere kwamba only Tanzania imepigwa pini, kuna kitu kinatengenezwa as if ni Tanzania tu, jambo ambalo sio sahihi,Kwa hiyo ukikuta mlevi anajisaidia haja kubwa barabarani na ww unajisaidia hapo, afu ukikamatwa unajitetea kuwa siyo ww pekee umefanya kosa?!!!
Suala la Tanzania kupigwa pini ndo mjadala hapa. Hayo ya sudan, sijui Nigeria nk waachie wenyewe, hayatuhusu
Mkuu kwa akili yako ndogo tu, kama unaongelea/kuandika suala la Corona kati ya Tz na Malawi, heading yako utahusisha Malawi au Tz, ndiyo maana hata vichaa wawili kuna mmoja ni kichaa zaidi.Hakika sikufurahi hata BBC walivyo present hii taarifa, heading ilisema "Tanzania na nchi nyingine sijui 10 raia wake wazuiwa kuingia Omani "nikajiuliza kwanini waitaje Tanzania upfront kwanini wasieeme "Nchi 11 raia wake wazuiwa kuingia Omani "baadae kwenye ufafanuzi ndio waitaje hiyo TZ na wenzake?
Naanza kuamini kuna Vita zaidi ya vita dhidi ya Corona
Mkuu, tafadhari bhana!!Na watalii ni hao hao mabeberu au watalii wanatoka nchi tofauti na mabeberu. Inaonekana mabeberu no watu wabaya sana lakini tumenunua dreamliner kuwaleta watalii wasipate shida kabisa. Ebu tuelimishe mkuu
Nikusaidie tu ndugu Mataga, hujalazimishwa ila umepigwa ban ili upambane kivyako, nani kakulazimisha? Sijui umeelewa au ndiyo yale mambo ya kukabidhi bongoHuko wanakochukua hizo tahadhari mbona wanakufa kwa wingi tu? Wasitulushie jumba bovu! Dunia ingekuwa na akili mlipuko ulipotokea China wangefunga mipaka na China, sasa wamesubili korona imesambaa dunia nzima, ndo wanakomaaa! Watuache kila mmoja apambane kivyake tusilazimishane
Kuwa serious kupambana na corona ndo kukojeKama moja ya hatua ya kupambana na Covid-19 nchi ya Oman imezipiga marufuka nchi zipatazo 12 kufika kwao Tanzania ukiwemo.
Ikumbukwe kwamba Tanzania na Oman zina uhusiano wa karibu sana hususan Zanzibar ambao wameoleana sana. Hili litatuathiri sana.
Hii ni kwa sababu tunaonekana hatuko serious kupambana na janga la Corona kama mataifa mengine.
Chanzo: BBC
Umetumia akili nyingi kulielimisha taga na bado halitaelewaSiku mwanao akija na kukuonyesha matokeo amescore 7% ukamuhoji na akakwambia “tupo wengi tumepata 7% na wengine wamepata 3%”. nadhani wewe unaweza kuwa happy tu kwa kuwa “wapo wengi na hivyo sio shida” na life likasonga as if hakuna lililotokea
Two wrongs don’t make it a right. Look at the big picture!
Sawa mahaba sipunguzi, ila bado mnaotumia msamiati wa mabeberu hamtaki kututoa ujinga sisi wenzenu ili tuwatambue pia, wanaokuja TZ wengi ni watalii hao mabeberu wanatoka nchi hizo hizo wanazotoka watalii au tofauti. Mbona mnakuwa wagumu kujibu hoja nyepesi namna hii au na wewe hujui beberu ni nani ?Mkuu, tafadhari bhana!!
Beberu ni beberu, na ndicho nimeandika, wewe umeona nimeandika mtalii au dreamliner hapo?
Punguza mahaba
Anzisha Uzi ujibiweSawa mahaba sipunguzi, ila bado mnaotumia msamiati wa mabeberu hamtaki kututoa ujinga sisi wenzenu ili tuwatambue pia, wanaokuja TZ wengi ni watalii hao mabeberu wanatoka nchi hizo hizo wanazotoka watalii au tofauti. Mbona mnakuwa wagumu kujibu hoja nyepesi namna hii au na wewe hujui beberu ni nani ?