Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Ewaaa😂Kwamba
Wanyaki mnapenda wenye uchebe
Ama sijaelewa dada shemeki[emoji1787][emoji848]
Chura ipo?Ila ni za kawaida,siyo kama watu wanavyozioverrate kwa upersonal humu😂😂😂😂.
Hata shepu kama magunia ya vifusi vya mchanga🤗
Shepu ya gunia la kifusi inatoa wapi chura jamani!Chura ipo?
Hiyo shape ikoje kwani?Shepu ya gunia la kifusi inatoa wapi chura jamani!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zile sura ni kazi ngumu.hasa wanawake haaa haaa haaaWalisema zipo kama vile konda amekataa kuturudishia chenji[emoji23]
How is the going?I second U. I married them.
Kwakweli yule anaweza kuwa wa Lilongwe !Eeh si wamefungasha mawowo wahuni wanasema dah mwanamke huyu Amana.vi hatari, nashangaa Tulia kimbaumbau asijekuwa mmalawi yule
Eeh muwe mnatualika kuwadaia madeni😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zile sura ni kazi ngumu.hasa wanawake haaa haaa haaa
Chukua mfuko wa mbolea afu jaza mchanga utaona shepu lake.Hiyo shape ikoje kwani?
[emoji3][emoji3][emoji3] kwakweli dada yangu ameolewa na mtu wakule walikuwa wanamwambia mmeo kakudekeza wao kutwa na shamba na mabeseni ya ndizi Mzee Baba aliwaoa 3/4 anazungusha tu zamu [emoji23][emoji23][emoji23]Eeh muwe mnatualika kuwadaia madeni[emoji3]
Tunaiweza kazi pasina kusomea uloan officer.
Hahaha yani haieleweki wapi mbele wapi nyuma?Chukua mfuko wa mbolea afu jaza mchanga utaona shepu lake.
Au jaza nguo kwenye shangazi kaja,ufunge na zipu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Chukua mfuko wa mbolea afu jaza mchanga utaona shepu lake.
Au jaza nguo kwenye shangazi kaja,ufunge na zipu.
Haaa haa usinichekeshe sahizi [emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha yani haieleweki wapi mbele wapi nyuma?
Leo asubuhi nilikuwa napata chai na chapati mgahawani. Sasa mdada mpishi wa chapati akawa mbele yangu Yuko bize anasukuma na kupika chapati. Mimi nikaanza kuangalia sehemu pendwa daaah........ Hii kauli yako ya Gunia imenikumbusha shape ya yule dadaChukua mfuko wa mbolea afu jaza mchanga utaona shepu lake.
Au jaza nguo kwenye shangazi kaja,ufunge na zipu.
EwaaHahaha yani haieleweki wapi mbele wapi nyuma?
Kwahiyo wewe ndio ulivyo?Ewaa
Hata kiuno hakieleweki
Haaa haa haa ukienda kwenye makanisa ya Moravian utawakuta haaa haa haa vitoto vidogo ukiviona kama viroba vya korosho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]Ewaa
Hata kiuno hakieleweki
Watu wa kusiniNitajie kabila ambalo watu wake hawapendi sifa. 100% down to earth!
[emoji1787][emoji2]Ewaaa[emoji23]
Sisi wenyewe tuna vijindevu,sasa tupate mwanaume ana vijindevu si tutakuwa sawa!
Tunataka wenye bustani ya ndevu.