Ombea udharauliwe na mtu wa kabila lingine lolote lakini usidharauliwe na Mnyakyusa

Ombea udharauliwe na mtu wa kabila lingine lolote lakini usidharauliwe na Mnyakyusa

Eeh muwe mnatualika kuwadaia madeni[emoji3]
Tunaiweza kazi pasina kusomea uloan officer.
[emoji3][emoji3][emoji3] kwakweli dada yangu ameolewa na mtu wakule walikuwa wanamwambia mmeo kakudekeza wao kutwa na shamba na mabeseni ya ndizi Mzee Baba aliwaoa 3/4 anazungusha tu zamu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chukua mfuko wa mbolea afu jaza mchanga utaona shepu lake.

Au jaza nguo kwenye shangazi kaja,ufunge na zipu.
Leo asubuhi nilikuwa napata chai na chapati mgahawani. Sasa mdada mpishi wa chapati akawa mbele yangu Yuko bize anasukuma na kupika chapati. Mimi nikaanza kuangalia sehemu pendwa daaah........ Hii kauli yako ya Gunia imenikumbusha shape ya yule dada
 
Ewaa
Hata kiuno hakieleweki
Haaa haa haa ukienda kwenye makanisa ya Moravian utawakuta haaa haa haa vitoto vidogo ukiviona kama viroba vya korosho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]
 
Back
Top Bottom