Makamba bado yupo Sana wizara ya Nishati. Fitina na majungu yenu kalaleni nayo kaburini ChatoUmesharudi kudisplay kilichokujaa kwenye ubongo wako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makamba bado yupo Sana wizara ya Nishati. Fitina na majungu yenu kalaleni nayo kaburini ChatoUmesharudi kudisplay kilichokujaa kwenye ubongo wako!
Sina uhakika mkuu.Hata yule jini hakuwa msukuma per se. Jini alikuwa na 80% za uhutu.
Hapo Hana jibu.Sasa kipi bora?
Sukuma gang ama tuendelee kulala giza?.
Kelvin, makamba alipokosea hupaoni au labda unaishi Kenya? Kimsingi makamba hafai kabisa na Ana haribu uchumi wa wengi,2025 andaeni polisi wengi.Hawa watu ni wajinga. Kila raisi ana njia zake za kuongoza nnchi. Sasa ukimuuliza Makamba kakukosea wapi watakujibu ovyo. Personally simjui January Makamba.
Daaaah yaani toka mwendazake aondoke umeme umekua taaaaaaabu.Ni ombe kwamba Rais Samia amurudishe Medard Kalemani pale Wizara ya Nishati atakusaidia.
Mpeleke January sehemu nyingine akafanye kazi zake huko.
Mfano; Unaweza ukampeleka Mazingira na Muungano ama Viwanda.
Huku Nishati anakuharibia sana, nadhani ni uwezo wake mdogo kumudu mambo magumu.
Naibu wa Nishati aliyepo usimtoe.
Umeme ni janga la Taifa kama ilivyo ujingaDaaaah yaani toka mwendazake aondoke umeme umekua taaaaaaabu.
Kila siku matengenezo yasiyoisha
Daaah kweli Magufuli alisema tutamkumbuka
Hao kina makamba,nape ndio maana Magu aliwapiga chini
Huyu aliyekwa ni nani? Ameiweza?Labda ianzishwe Wizara ya Ngome na mbuzi, Nishati mwanasheria yule haiwezi.
Acheni ujinga piece bearing imeisha engine uendelee kuwaka kwa kuwa rais ni magu hiyo haipo,uongo mwingine muwe na aibu kuusema.Huyo Kalemani ndio chanzo Cha huu mgao,mitambo ya TANESCO ilikuwa inaitaji maintenance,yeye kwa kutaka kumfurahisha mjomba wake akatembeza gari bila oil, mashine zika knock
Kama yupo tununue koroboi tu maana hakuna namuna.Makamba bado yupo Sana wizara ya Nishati. Fitina na majungu yenu kalaleni nayo kaburini Chato