Vyamavingi
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 5,818
- 5,555
Alijitahidi sana pale Nishati. Hata JK alijikuta anamrudisha JPM Ujenzi ingawa aliwahi kumbadilisha, lkn aliyepewa kuwa Waziri wa Ujenzi baada ya JPM alishindwa kufikia viwango ikabidi JK amrudishe tu.Kwaiyo Kalemani Ni special one, ikitokea amekufa tutakaa giza milele au sio!?
Kama Kalemani aliifanya Wizara na Tanesco kuwa bora na bado yupo, akirudishwa inaswihi.
Vv