Ombi kwa Rais Samia: Mrudishe Kalemani Wizara ya Nishati

Ombi kwa Rais Samia: Mrudishe Kalemani Wizara ya Nishati

Msituletee uchuro wenu wa "kisukuma gang" hapa.

Huyo Kalemani ndiyo nani kwanza? Mtu hajui hata kuongea kiswahili eti tumrudishe wizara ya Nishati!? Ni usukuma tu ndiyo ulimpatia nafasi hiyo enzi za jini
Kalemani SI Msukuma per se.
 
Msituletee uchuro wenu wa "kisukuma gang" hapa.

Huyo Kalemani ndiyo nani kwanza? Mtu hajui hata kuongea kiswahili eti tumrudishe wizara ya Nishati!? Ni usukuma tu ndiyo ulimpatia nafasi hiyo enzi za jini
Sikufahamu vizuri Ila nadhani hata kijana wangu wa darada la sita B atakua amekuzidi akili mbali Sana!
 
Ukisikia roho mbaya na ushamba ndio kama hu sasa; mtu kujua kuongea vizuri ndio kitu gani sasa? Unaweza kumchukia mtu kwasababu nyingine but sio kwa kuongea kwake vizuri; hivi enzi za Kaleman asiejua kiswahili na enzi za January anaejua kuongea vizuri wapi umeme ulikua stable? Nadhani tungezingatia matokea ya kazi badala ya kuangalia nani anajua kuongea vizuri; huko kuongea vizuri kusaidie kwa wadada wanapopigwa sound sio kwenye mamb o ya maana!
Unahangaika kumjibu mtu ambae akiwa nyumbani mwenyewe anaangalia pono tu, hawajui lipi jema lipi baya
 
Bado tu unaendeleza Uongo tulioambiwa na January?.
Alituambia Maintenance badae akasema Maji yamepugua na akachukua helkopita akaanza kutembelea mabwawa ya maji. Au wewe hukuona?

Juzi wakasema wanafanya matengeneza na wakatao ratiba, Jana naibu waziri akasema wameamua kutumia umeme wa gesi ili kusiwe na mgao.

Hii janja janja hadi lini?.
Saivi wanatuambia nyumba ya Mungu kina kimepungua
 
Nasikia jamaa anapelekewa schedule maintenance, anachomoa, jamani grease inahitajika, oil chafu, hataki,
Na wataalam WA hayo mainjini wanasema tulikuwa tunaelekea kuunguza kabisa ma turbines!

Hatari Sana! Kisa kumfurahisha mwendakuzimu!
Maintenance za mitambo inayopelekea mgao wa umeme inafanyika Tanzania tu?, Kwamba umeme uzimwe ili mitambo iwekewe grease?
Tutaendelea Kua mtaji wa wanasiasa kwa akili hizi
 
Maintenance za mitambo inayopelekea mgao wa umeme inafanyika Tanzania tu?, Kwamba umeme uzimwe ili mitambo iwekewe grease?
Tutaendelea Kua mtaji wa wanasiasa kwa akili hizi
Sawa engineer na mtaalam wa mitambo!
 
Ni ombe kwamba Rais Samia amurudishe Medard Kalemani pale Wizara ya Nishati atakusaidia.

Mpeleke January sehemu nyingine akafanye kazi zake huko.

Mfano; Unaweza ukampeleka Mazingira na Muungano ama Viwanda.

Huku Nishati anakuharibia sana, nadhani ni uwezo wake mdogo kumudu mambo magumu.

Naibu wa Nishati aliyepo usimtoe.
Kwani Kalemani ana uwezo gani? Nini cha ajabu alichonacho?

CV iliyompeleka kuwa Waziri wa Nishati ni kwamba yeye alikuwa ni cousin brother (BINAMU) wa Magufuli.

Hatutaki tena watu waliopendelewa na DIKTETA kurudi madarakani
 
Kwani Kalemani ana uwezo gani? Nini cha ajabu alichonacho?

CV iliyompeleka kuwa Waziri wa Nishati ni kwamba yeye alikuwa ni cousin brother (BINAMU) wa Magufuli.

Hatutaki tena watu waliopendelewa na DIKTETA kurudi madarakani
Ila mnataka kupendelea wa Msoga au sio?

Kwa sitaili hili wacha tulale gizani na hari izidi kuwa ngumu kwa wasio na uwezo wa kununua generator.
 
Sasa mbona mambo yalisonga kuliko sasa?.

Auliyepo uwezo ni mdogo zaidi?
Yalisonga ama walikuwa wanakata kimya kimya bila kutangaza?

Umesahau walificha
--taarifa za kipindupindu, Zika,korona na hata kuugua kwa jini kulifanywa Siri?? Jini alikuwa na akili za kipumbavu sana
 
Attack the idea, don't attack people.
Which point did you make here? Kwamba humjui kalemani? Au ni chuki ndio zinakutia upofu? So for five years mabwawa yasipingue maji, mitambo isifanyiwe ukarabati, then effect ije kuonekana miezi michache baada ya kalemani kuondolewa? Ndio mana nikawa na Mashaka na uelewa wako wa mambo
 
Ni ombe kwamba Rais Samia amurudishe Medard Kalemani pale Wizara ya Nishati atakusaidia.

Mpeleke January sehemu nyingine akafanye kazi zake huko.

Mfano; Unaweza ukampeleka Mazingira na Muungano ama Viwanda.

Huku Nishati anakuharibia sana, nadhani ni uwezo wake mdogo kumudu mambo magumu.

Naibu wa Nishati aliyepo usimtoe.
Kwa huo uwongo wake aliyokuwa anadanganya Watanzania au sifa zipi za huyo mrundi?
 
Which point did you make here? Kwamba humjui kalemani? Au ni chuki ndio zinakutia upofu? So for five years mabwawa yasipingue maji, mitambo isifanyiwe ukarabati, then effect ije kuonekana miezi michache baada ya kalemani kuondolewa? Ndio mana nikawa na Mashaka na uelewa wako wa mambo
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba Kalani ndiye alisimamia mitambo ya umeme vizuri Sana? Usukuma gang unakuwasha wewe.

Tunachosema yule jini alipenda Sana sifa na kukiuka taratibu za kitaalamu kwa kutofuata ratiba za matengenezo ya mitambo.

Sasa wenye akili wameingia wameamua kufanya matengenezo makubwa ili kuweka sawa mitambo.

Kalemani kampe kazi nyumbani kwako. Mama kampa uwaziri wa nishati Makamba, kama humpendi kasage wembe unywe na kufa.
 
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba Kalani ndiye alisimamia mitambo ya umeme vizuri Sana? Usukuma gang unakuwasha wewe.

Tunachosema yule jini akipenda Sana sifa na kukiuka taratibu za kitaalamu za kwa kutofuata ratiba za matengenezo ya mitambo.

Sasa wenye akili wameingia wameamua kufanya matengenezo makubwa ili kuweka sawa mitambo.

Kalemani kampe kazi nyumbani kwako. Mama kampa uwaziri wa nishati Makamba, kama humpendi kasage wembe unywe na kufa.
Umesharudi kudisplay kilichokujaa kwenye ubongo wako!
 
Back
Top Bottom