Kalemani SI Msukuma per se.Msituletee uchuro wenu wa "kisukuma gang" hapa.
Huyo Kalemani ndiyo nani kwanza? Mtu hajui hata kuongea kiswahili eti tumrudishe wizara ya Nishati!? Ni usukuma tu ndiyo ulimpatia nafasi hiyo enzi za jini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalemani SI Msukuma per se.Msituletee uchuro wenu wa "kisukuma gang" hapa.
Huyo Kalemani ndiyo nani kwanza? Mtu hajui hata kuongea kiswahili eti tumrudishe wizara ya Nishati!? Ni usukuma tu ndiyo ulimpatia nafasi hiyo enzi za jini
Bora kila mtu ajiweke tayari kulitumikia taifa lake badala ya kuhisi uwaziri ni wa wateule wale tu!Umataka tuanzae majaribio wakati walio weza kumdu angalau kwa mda fulani wapo?
Ni mhaya????Kalemani SI Msukuma per se.
Sikufahamu vizuri Ila nadhani hata kijana wangu wa darada la sita B atakua amekuzidi akili mbali Sana!Msituletee uchuro wenu wa "kisukuma gang" hapa.
Huyo Kalemani ndiyo nani kwanza? Mtu hajui hata kuongea kiswahili eti tumrudishe wizara ya Nishati!? Ni usukuma tu ndiyo ulimpatia nafasi hiyo enzi za jini
Unahangaika kumjibu mtu ambae akiwa nyumbani mwenyewe anaangalia pono tu, hawajui lipi jema lipi bayaUkisikia roho mbaya na ushamba ndio kama hu sasa; mtu kujua kuongea vizuri ndio kitu gani sasa? Unaweza kumchukia mtu kwasababu nyingine but sio kwa kuongea kwake vizuri; hivi enzi za Kaleman asiejua kiswahili na enzi za January anaejua kuongea vizuri wapi umeme ulikua stable? Nadhani tungezingatia matokea ya kazi badala ya kuangalia nani anajua kuongea vizuri; huko kuongea vizuri kusaidie kwa wadada wanapopigwa sound sio kwenye mamb o ya maana!
Saivi wanatuambia nyumba ya Mungu kina kimepunguaBado tu unaendeleza Uongo tulioambiwa na January?.
Alituambia Maintenance badae akasema Maji yamepugua na akachukua helkopita akaanza kutembelea mabwawa ya maji. Au wewe hukuona?
Juzi wakasema wanafanya matengeneza na wakatao ratiba, Jana naibu waziri akasema wameamua kutumia umeme wa gesi ili kusiwe na mgao.
Hii janja janja hadi lini?.
Maintenance za mitambo inayopelekea mgao wa umeme inafanyika Tanzania tu?, Kwamba umeme uzimwe ili mitambo iwekewe grease?Nasikia jamaa anapelekewa schedule maintenance, anachomoa, jamani grease inahitajika, oil chafu, hataki,
Na wataalam WA hayo mainjini wanasema tulikuwa tunaelekea kuunguza kabisa ma turbines!
Hatari Sana! Kisa kumfurahisha mwendakuzimu!
Sawa engineer na mtaalam wa mitambo!Maintenance za mitambo inayopelekea mgao wa umeme inafanyika Tanzania tu?, Kwamba umeme uzimwe ili mitambo iwekewe grease?
Tutaendelea Kua mtaji wa wanasiasa kwa akili hizi
Sijasema ni Mhaya. Yeye ni Mtanzania.Ni mhaya????
Kwani Kalemani ana uwezo gani? Nini cha ajabu alichonacho?Ni ombe kwamba Rais Samia amurudishe Medard Kalemani pale Wizara ya Nishati atakusaidia.
Mpeleke January sehemu nyingine akafanye kazi zake huko.
Mfano; Unaweza ukampeleka Mazingira na Muungano ama Viwanda.
Huku Nishati anakuharibia sana, nadhani ni uwezo wake mdogo kumudu mambo magumu.
Naibu wa Nishati aliyepo usimtoe.
Ila mnataka kupendelea wa Msoga au sio?Kwani Kalemani ana uwezo gani? Nini cha ajabu alichonacho?
CV iliyompeleka kuwa Waziri wa Nishati ni kwamba yeye alikuwa ni cousin brother (BINAMU) wa Magufuli.
Hatutaki tena watu waliopendelewa na DIKTETA kurudi madarakani
Attack the idea, don't attack people.Sikufahamu vizuri Ila nadhani hata kijana wangu wa darada la sita B atakua amekuzidi akili mbali Sana!
Hata yule jini hakuwa msukuma per se. Jini alikuwa na 80% za uhutu.Kalemani SI Msukuma per se.
Yalisonga ama walikuwa wanakata kimya kimya bila kutangaza?Sasa mbona mambo yalisonga kuliko sasa?.
Auliyepo uwezo ni mdogo zaidi?
Sasa unadhani inaweza kuwa ni kujua kisukuma??Sifa wa kuwa waziri wa nishati ni kujua kiswahili!!!
Which point did you make here? Kwamba humjui kalemani? Au ni chuki ndio zinakutia upofu? So for five years mabwawa yasipingue maji, mitambo isifanyiwe ukarabati, then effect ije kuonekana miezi michache baada ya kalemani kuondolewa? Ndio mana nikawa na Mashaka na uelewa wako wa mamboAttack the idea, don't attack people.
Kwa huo uwongo wake aliyokuwa anadanganya Watanzania au sifa zipi za huyo mrundi?Ni ombe kwamba Rais Samia amurudishe Medard Kalemani pale Wizara ya Nishati atakusaidia.
Mpeleke January sehemu nyingine akafanye kazi zake huko.
Mfano; Unaweza ukampeleka Mazingira na Muungano ama Viwanda.
Huku Nishati anakuharibia sana, nadhani ni uwezo wake mdogo kumudu mambo magumu.
Naibu wa Nishati aliyepo usimtoe.
Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba Kalani ndiye alisimamia mitambo ya umeme vizuri Sana? Usukuma gang unakuwasha wewe.Which point did you make here? Kwamba humjui kalemani? Au ni chuki ndio zinakutia upofu? So for five years mabwawa yasipingue maji, mitambo isifanyiwe ukarabati, then effect ije kuonekana miezi michache baada ya kalemani kuondolewa? Ndio mana nikawa na Mashaka na uelewa wako wa mambo
Umesharudi kudisplay kilichokujaa kwenye ubongo wako!Kwahiyo unataka kutuaminisha kwamba Kalani ndiye alisimamia mitambo ya umeme vizuri Sana? Usukuma gang unakuwasha wewe.
Tunachosema yule jini akipenda Sana sifa na kukiuka taratibu za kitaalamu za kwa kutofuata ratiba za matengenezo ya mitambo.
Sasa wenye akili wameingia wameamua kufanya matengenezo makubwa ili kuweka sawa mitambo.
Kalemani kampe kazi nyumbani kwako. Mama kampa uwaziri wa nishati Makamba, kama humpendi kasage wembe unywe na kufa.