Bambushka
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 3,952
- 7,218
Nasikia jamaa anapelekewa schedule maintenance, anachomoa, jamani grease inahitajika, oil chafu, hataki,Huyo Kalemani ndio chanzo Cha huu mgao,mitambo ya TANESCO ilikuwa inaitaji maintenance,yeye kwa kutaka kumfurahisha mjomba wake akatembeza gari bila oil, mashine zika knock
Na wataalam WA hayo mainjini wanasema tulikuwa tunaelekea kuunguza kabisa ma turbines!
Hatari Sana! Kisa kumfurahisha mwendakuzimu!